Nyie hata muwe na bara bara kumi na nne za kwenda ruvuma ila hazitasaidia kitu wewe. Mikoa yote tunaifaha acha kujitia ujinga. Sehemu za maana kusini ni mbalali, tunduma , kyela na kidogo kule nyasa mbamba bay. Nako Wana lake zone ndo Wana drive uchumi wa maeneo hayo.Una akili timamau? Sawa ilikuwepo waambie basi watoa taarifa hapo kwamba wamekosea Kwa nini wanaitaja wakati ilikuwepo?
Huu ni Mwanzo tuu wa maumivu,na bado
.
