President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,760
- 89,782
Mbeya inapumulia mpiraUtakuwa huelewi, Uchumi wa mikoa yetu hautegemei kitu kikoja Bali vitu vingi.
Kwenye hivyo vitu vingi tunajali productivity kuliko quantity..
By the way Mikoa yenu hamjui kulima ila kuparua Ardhi.
Ukitaka kujifunza Kilimo njoo Arusha,Manyara,Mbeya,Njombe, Morogoro,Pwani,Iringa na Dodoma.
.

