Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

View attachment 2446177
Hiyo ndio picha aliyoweka kwenye uzi wenu wa dar vs nairobi, wakamuuliza wakenya mbona mji hauna ata barabara za kupitisha pikipiki kwahiyo wanajenga wakiwa hawana hitaji la magari wala chombo chochote cha usafiri?
Acha ujinga yaani hiyo picha Ni ya zamani balaa ,ukipiga picha ya Sasa Wala haiko hivyo.

Mafiati hapo pako tofauti,hiyo airport ya zamani Ni maduka ya Machinga na ujenzi mwingine kibao umefanyika..
 
Hospital ya Mtakatifu Consolata Ikonda,Makete 👇
AE2B101A-502F-4FCF-9CAF-BF2B89B5D4C9.jpeg
 
Back
Top Bottom