Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Iringa ni kama mtt wa mwanza sema kamji ni kadogo sana
Usilinganishe Iringa na matakataka haya 👇
mwanze-stad-1920x1280-18.jpg
TZ_Mwanza.jpg
dusk-mwanza-tanzania-night-falls-over-city-north-western-s-second-largest-major-port-lake-vict...jpg
mwanza-7.jpg
mwanza-4.jpg
 
wizara_elimutanzania_1671214285623246.jpg
wizara_elimutanzania_1671214285623662.jpg
wizara_elimutanzania_1671214285623950.jpg
Ujenzi wa Chuo Cha Ualimu Sumbawanga 👇
 
Huyu jamaa akidumu miezi 3 tuu nitaomba life ban kwa jf,anaowapelekea luxury wamezoea kupanda mikokoteni na hawana Pesa 😁😁😁.

Someni wenyewe maskini hao ndio watalipa nauli 120,000? 🏃🏃
Screenshot_20221215-142823.png
Screenshot_20221215-142942.png
Screenshot_20221217-074131.png
 
Unajivunia chuma ya msukuma huyo tena wa Mwanza anaitwa SHILATU! Wewe baki kubwabwaja!
Haijalishi Ni ya msukuma wa Mwanza au wa Majimoto swala.la msingi analeta chuma Kali Mbeya maana anafahamu sie Ni wastaarabu huwa hatupandi mikokoteni au matrekta mnayoita mabasi 😂😂

Kqmatia hapo hapa Fikoshi/Ruchoro ili kiimane vizuri na Isamilo na Premier
20221218_075032.jpg


Mbeya lazima iheshimiwe 👆
 
Back
Top Bottom