Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

nikutoe ujinga hapo ni mabatini na hizo ni kotaz za line police.
😜😜😜 Endelea kuruka ruka 70% ya Mwanza Ni mabanda ya nguruwe πŸ‘‡
Screenshot_20221208-065648.png
 
angekuja na facts sio mdomo tu, bugando inahudumia mikoa mingapi?, kwanini saratani inawapata sana wakina mama kwa 89% prevalence? kama maji yanachangia kwanini sio wanaume? wanasiasa wengi wana ubongo wa samaki.
Kanda ya Ziwa Kuna saratani mnatumia maji ya maiti πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.

Acheni ushirikina nyie mafukara wa kwenye mabanda ya nguruwe
 
Kanda ya Ziwa Kuna saratani mnatumia maji ya maiti πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.

Acheni ushirikina nyie mafukara wa kwenye mabanda ya nguruwe
na wanasiasa wetu karibu wote nao wana akili na mawazo kama yako hakika ili taifa lina safari ndefu kwa vilaza kama nyie kuongoza wananchi.
 
Back
Top Bottom