Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Umetumia kigezo Gani kupima quality of life au ndio Ile ya GDP/population ...this is pathetic...
Mngekuwa na quality of life msingekuwa two digit kwenye mapato ya Kodi ...ukiona mji haumo hata top ten ya mapato Tanzania ujue level ya individual investment na formal sector Iko chini....then keep in mind MWanza growth quantity yake ni bilioni 800 Hadi trillion 1 Kwa mwaka .wakati mbeya ni bilion 500 Kwa mwaka ...ongezeni growth rate kwanza ndio mfikirie kuipita mwanza.
Pia sensa imeongea kila kitu, kuhusu makazi, huduma za afya, huduma za elimu n.k Mwanza is ahead.
 
Kila siku nakuambia hujawahi Kuwa na logic hata siku moja ...GDP per Capita sio quality of life ...GDP per Capital ni wastani wa Pato la mwananchi Kwa mwaka Kwa kutumia thamani ya uchumi wa mkoa kugawia idadi ya watu....maana yake mikoa yenye idadi kubwa ya watu inakuwa na per Capita ndogo...hii ni sawa na kusema GDP per Capita ya china ni US dollar 10000 wakati GDP per Capita ya Spain 30000 us dollar.....
Kipimo kinachotumika kuidentify quality of life ya eneo ni HDI (human development index) ..sasa ili tuprove mbeya mna quality of life leta figure za HDI Kwa Kila mkoa ...sio porojo tu na uchumi wako wa kijiweni
Kingine huwezi kupima quality of life Kwa kuangalia slums,, kama ni hivyo bas dar haina quality of life kuzidi mbeya na ukikubali hii scenario maana yake takwimu zako za GDP per Capita zinakuwa hazina maana Kwa sababu per Capita dar is ahead of mbeya
Kwa hiyo hiyo HDI itapatikana bila kuwa na Per Capita Kubwa? Kiazi wewe..

Kwa kutumia Mfano tuu unaoutoa Ni wazi uko less informed na Sina haha ya kurudia takwimu nilishaleta humu..

Mikoa inayoongoza kwa Per Capita income kubwa hivyo hivyo Ina HDI kubwa ,na Mikoa hiyo Ni
Dar,
Kilimanjaro,
Iringa,
Arusha,
Njombe.

Narudia Tena kwa metric yeyote ya ubora wa maisha,Mwanza mnajambiwa na Mbeya by far,umeelewa wewe bogus?
 
Leta mapato ya NBS na siyo hiyo ya tunduma peke yake, na hiyo ni ya mirzi mingap?
Ona Sasa ulivyokuwa mpumbavu na kutafuta excuses za kijinga.

Sasa uzidiwe mapato ya Halmashauri ndio utakuwa na mapato Mengi hata kwa Takwimu za NBS?

Sina mda wa kubishana na Jambo Liko obvious Mkoa wa Songwe uko top 10 ya mapato ya TRA na 3/4 yanatokea hapo hapo Tunduma,Shinyanga hata haipo Sasa mtatuzidi vipi ikiwa takwimu zote hizo mumepigwa given your large number of people in your region and Kahama MC in particular.
 

Attachments

  • 20221125_083948.jpg
    20221125_083948.jpg
    644.1 KB · Views: 10
  • 20221125_080215.jpg
    20221125_080215.jpg
    57.5 KB · Views: 10
  • 20221125_080209.jpg
    20221125_080209.jpg
    512.8 KB · Views: 8
  • 20221125_083717.jpg
    20221125_083717.jpg
    23 KB · Views: 8
Ona Sasa ulivyokuwa mpumbavu na kutafuta excuses za kijinga.

Sasa uzidiwe mapato ya Halmashauri ndio utakuwa na mapato Mengi hata kwa Takwimu za NBS?

Sina mda wa kubishana na Jambo Liko obvious Mkoa wa Songwe uko top 10 ya mapato ya TRA na 3/4 yanatokea hapo hapo Tunduma,Shinyanga hata haipo Sasa mtatuzidi vipi ikiwa takwimu zote hizo mumepigwa given your large number of people in your region and Kahama MC in particular.
Je mbeya ndio top ten ya mapato ya TRA?
 
Kwa hiyo hiyo HDI itapatikana bila kuwa na Per Capita Kubwa? Kiazi wewe..

Kwa kutumia Mfano tuu unaoutoa Ni wazi uko less informed na Sina haha ya kurudia takwimu nilishaleta humu..

Mikoa inayoongoza kwa Per Capita income kubwa hivyo hivyo Ina HDI kubwa ,na Mikoa hiyo Ni
Dar,
Kilimanjaro,
Iringa,
Arusha,
Njombe.

Narudia Tena kwa metric yeyote ya ubora wa maisha,Mwanza mnajambiwa na Mbeya by far,umeelewa wewe bogus?
Utakuwa nashida sehemu.
 
KAHAMA weeeeeehhhhh😄😄😄😄😄
Inaondoka Buzwagi inakuja Tembo Nickel soon mitambo ya kuchenjua madini itaanza kufungwa baada ya masuala la assessment kukamilika, na sasa wapo kwenye hatua environmental/ social impact assessment ya mradi. Full oparation ikianza kuna uwezekano wa kuongeza eneo la mradi Kahama.

Matangazo kama yote kwenye local radio na TBC FM kuhamasisha ushiriki wa wananchi.
 
KAHAMA weeeeeehhhhh
Inaondoka Buzwagi inakuja Tembo Nickel soon mitambo ya kuchenjua madini itaanza kufungwa baada ya masuala la assessment kukamilika, na sasa wapo kwenye hatua environmental/ social impact assessment ya mradi. Full oparation ikianza kuna uwezekano wa kuongeza eneo la mradi Kahama.

Matangazo kama yote kwenye local radio na TBC FM kuhamasisha ushiriki wa wananchi.
Operation zishaanza kitambo tu ... mgodi wanachimba muda tu. .
 
Hii ni processing plant, kwa ajili ya Nickel ya Ngara / Kabanga. Inakuwa installed eneo la Buzwagi
Dah kwa hiyo mapato ya Ngara kagera...yanaenda kuhesabiwa kahama shinyanga?...

Halafu wakitoa takwimu za mikoa yenye GDP kubwa kagera inakuwa haimo..na mkoa unaonekana maskini..

Kwa nini hizo processing plant zisijengwe huko huko ngara?...

Hii kitu ilifanyika kwenye kahawa miaka mingi tu...soko na mnada wake unakuwa moshi na mapato kuhesabiwa huko Kilimanjaro wakati wakulima wako kagera...

Pia kwenye sukari ya kagera...mapato na tathmini yake inahesabiwa Dar huko...ndo maana bei ya sukari bado iko juu hata maeneo ya karibu na viwanda...
 
Back
Top Bottom