Kila siku nakuambia hujawahi Kuwa na logic hata siku moja ...GDP per Capita sio quality of life ...GDP per Capital ni wastani wa Pato la mwananchi Kwa mwaka Kwa kutumia thamani ya uchumi wa mkoa kugawia idadi ya watu....maana yake mikoa yenye idadi kubwa ya watu inakuwa na per Capita ndogo...hii ni sawa na kusema GDP per Capita ya china ni US dollar 10000 wakati GDP per Capita ya Spain 30000 us dollar.....
Kipimo kinachotumika kuidentify quality of life ya eneo ni HDI (human development index) ..sasa ili tuprove mbeya mna quality of life leta figure za HDI Kwa Kila mkoa ...sio porojo tu na uchumi wako wa kijiweni
Kingine huwezi kupima quality of life Kwa kuangalia slums,, kama ni hivyo bas dar haina quality of life kuzidi mbeya na ukikubali hii scenario maana yake takwimu zako za GDP per Capita zinakuwa hazina maana Kwa sababu per Capita dar is ahead of mbeya

