Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hivi kwa Nini Mkoa wa Iringa wasiuhamishie Kanda ya Kati badala ya Nyanda za Juu Kusini?

Nasema hivi kwa sababu kijiografia uko karibu zaidi na Dodoma kuliko Mbeya..

Nyanda za Juu Kusini tubakie na Mikoa ya Ruvuma , Njombe,Mbeya,Songwe na Rukwa maana hata kimuingiliano iko integrated zaidi.👇
 

Attachments

  • Tanzania,_administrative_divisions_-_sw_-_colored.svg.png
    Tanzania,_administrative_divisions_-_sw_-_colored.svg.png
    66.1 KB · Views: 8
Kijiji cha bulila...bukoba vijijini kagera


Tuzidi kufanya kazi wadau na tupakumbuke vijijini kwetu
Screenshot_20221203-123832.jpg
Screenshot_20221203-123857.jpg
 
Sasa nyumba Kama hiyo najenga Kijijini kwa ajili gani hasa? Hiyo Ni jeuri ya Pesa tuu nothing else
Kwamba kijiji ndo hakufai kuwepo nyumba nzr sio...


Wahaya wana utamaduni wa kujali chimbuko lao...hio nyumba ndo itatumika kwa vikao vya ukoo..na wanaukoo wakirudi kuwaenzi wazee wao na marehemu wao...

Nyumba ni big deal...kuna wilaya nyingine nyumba za udongo hazipo kabisa kagera...kijiji kizima ni nyumba kubwa za 50m na kuendelea..wew mwenyew utaona aibu kwako tu ndo nyumba ya ovyo...
 
Old Bukoba airport Terminal and new Bukoba terminal...

Lakin Tazameni quality ya mitaa nyuma ilivyopangiliwa...na fresh hewa za ziwa pembeni
Screenshot_20221203-123117.jpg
Screenshot_20221203-123058.jpg
Screenshot_20221203-123103.jpg
 
Napendaga maghorofa ya mji wa Bukoba ni classic na yanavutia hata Kuangalia...

Maghorofa mengi ya Bukoba sio marefu sana...lakin yanavutia na classic


Hebu Tazama haya maghorofa modogo madogo yaliyozagaa mjini Bukoba
Screenshot_20221203-123747.jpg
Screenshot_20221203-124205.jpg
Screenshot_20221203-122358.jpg
Screenshot_20221203-122158.jpg
Screenshot_20221203-122944.jpg
Screenshot_20221203-122740.jpg
Screenshot_20221203-122959.jpg
Screenshot_20221203-124402.jpg
Screenshot_20221203-122404.jpg
Screenshot_20221203-123738.jpg
images%20(3).jpg
Screenshot_20221203-122243.jpg
Screenshot_20221203-122111.jpg
20221203_115816.jpg
 
Kwamba kijiji ndo hakufai kuwepo nyumba nzr sio...


Wahaya wana utamaduni wa kujali chimbuko lao...hio nyumba ndo itatumika kwa vikao vya ukoo..na wanaukoo wakirudi kuwaenzi wazee wao na marehemu wao...

Nyumba ni big deal...kuna wilaya nyingine nyumba za udongo hazipo kabisa kagera...kijiji kizima ni nyumba kubwa za 50m na kuendelea..wew mwenyew utaona aibu kwako tu ndo nyumba ya ovyo...
Sasa mtu anayejielewa na mwenye biashara zake anaishije Kijijini? Kama Ni mababu watapanda vipi kwenye Gorofa na uzee?
 
Najua watu wengi hawajahi fika Bukoba physically...mnaweza ona uzuri wa mji huu hapa...
Screenshot_20221203-122950.jpg
Screenshot_20221203-124245.jpg
Screenshot_20221203-123247.jpg
Screenshot_20221203-123534.jpg
Screenshot_20221203-124409.jpg
 
Mwekezaji kaleta Vifurishi vipyaaa vya kufungia mwaka kwa ajili ya Mbeya & Tunduma .

Cc Kitombile👇
 

Attachments

  • 20221203_080113.jpg
    20221203_080113.jpg
    41.3 KB · Views: 6
  • 20221203_080529.jpg
    20221203_080529.jpg
    68.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221203-082639.png
    Screenshot_20221203-082639.png
    164.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221203-082548.png
    Screenshot_20221203-082548.png
    141.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221203-080521.png
    Screenshot_20221203-080521.png
    173.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221203-080645.png
    Screenshot_20221203-080645.png
    164.5 KB · Views: 5
  • 20221203_080115.jpg
    20221203_080115.jpg
    56.2 KB · Views: 6
Back
Top Bottom