Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Endelea kujifariji na mabasi ya abood, sisi Mwanza tulishatoka huko muda ngoja tukuache wewe ambaye umekuja kuona luxury buses baada ya kuingia chuo.
Mlishatoka muda 🤪🤪🤪🤪🤸🤸🤸🤸

Mtapanda Sana kwenye mabodi ya vyuma chakavu.

Dar-Tunduma 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221129-162410.png
    Screenshot_20221129-162410.png
    162.9 KB · Views: 6
Hii round about ndio imekuzuzua au kuna kitu kingine hapo, mimi naona ukame na nyumba za ajabu zenye kutu hakuna kingine.
Kwa ugumu huu wa maisha Sina Shaka ndio unakufanya unatokwa mapovu hivyo sio bure 😁😁.

Afu utawasikia wakisema wao Wana chakula kingi 😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-155240.png
    Screenshot_20221130-155240.png
    82 KB · Views: 6
Tanzania inaenda kuwa world biggest supplier wa helium gas huku Mbeya na Rukwa wakipata big boost to their GDP and Revenues..

Tunaita the awakening sleeping giants,this follows the new commercial discoveries of helium gas kwenye Bonde la Ziwa Nyasa.

Mwanza mpo? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221201-061809.png
    Screenshot_20221201-061809.png
    105.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221201-061842.png
    Screenshot_20221201-061842.png
    48.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221201-062131.png
    Screenshot_20221201-062131.png
    53.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221201-061925.png
    Screenshot_20221201-061925.png
    68.7 KB · Views: 5
Isamilo haijawah kuwa na slums labda kama kuna Isamilo nyengne uko Mbeya Uswekeni
Kwa hiyo wewe kwako hapa Kuna Nini Kama sio uswazi? Hii sio Isamilo? Umeanza kukana kwenu baada ya kuona mauchafu?👇
 

Attachments

  • 20221201_063622.jpg
    20221201_063622.jpg
    267.8 KB · Views: 6
Back
Top Bottom