Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Hao wachina wamekuja kutakatisha pesa hapo na kuchota uchumi wenu, amkeni nyie wajinga kutoka usingizini.
Hao wachina wamekuja kutakatisha pesa hapo na kuchota uchumi wenu, amkeni nyie wajinga kutoka usingizini.
Si Bora magofu ya Moshi kuliko hizo slum za kahamaEndeleeni kifariji na mji wenu wa kale, hiyo moshi ilikuwa bora miaka ya 1940 lakini sasa yamebaki magofu, Go kahama go 😛😛😛
Huku kama pesa tu tunazo na rasilimali zpo za kutosha tunacho kifanya ni uchumi shindani na watu wanaotoka kwenye mataifa yaliyoendelea na Hawa ndo wanatuletea teknolojia mpyaHao wachina wamekuja kutakatisha pesa hapo na kuchota uchumi wenu, amkeni nyie wajinga kutoka usingizini.
Til.3 inahitaji Miaka Dalali kuziba? Hili si linaweza tokeoa ndani ya Miaka 5-10 tuu mbona as far as GDP is concerned,But in case of quality of life wanaotakiwa kuziba Hilo gap Ni Mwanza sio Mbeya..Ilo ni gap kubwaaaaaaaaa sanaaa ni miaka dahali adi kuja kuliziba🙏🙏🙏🙏🙏
Wewe Ni hamnazo,hiyo Manispaa ya kutunga labda inaongoza kwa mapato kwa Manispaa fake Kama Singida lakini Kwa Miji ya Nyanda za Juu mkasome,Tayari Tunduma inawanyea mnazoa mavi tuu,soon Njombe nayo itawanyea.Manispaa ya mchongo inaongoza kwa mapato kuliko manispaa ya moshi, na manispaa zote ukitoa Ilemela.
Wajinga wako Usukumani huko,Njombe Kuna werevu ndio maana Wana viwanda Hadi huko huko China.Hao wachina wamekuja kutakatisha pesa hapo na kuchota uchumi wenu, amkeni nyie wajinga kutoka usingizini.
This is nonsense.....ebu Tutoleeni ujinga hapa ...be forward na kodtec ni asian brand....afu story zenu za vijiweni msilete humuWajinga wako Usukumani huko,Njombe Kuna werevu ndio maana Wana viwanda Hadi huko huko China.
Umetumia kigezo Gani kupima quality of lifeTil.3 inahitaji Miaka Dalali kuziba? Hili si linaweza tokeoa ndani ya Miaka 5-10 tuu mbona as far as GDP is concerned,But in case of quality of life wanaotakiwa kuziba Hilo gap Ni Mwanza sio Mbeya..
Mbeya is far ahead of Mwanza kwa individual life.

au ndio Ile ya GDP/population 



...this is pathetic...


Endelea kujitoa akili Kama unashindia mihogo na mapanki ya sangara..Umetumia kigezo Gani kupima quality of lifeau ndio Ile ya GDP/population
...this is pathetic...
Mngekuwa na quality of life msingekuwa two digit kwenye mapato ya Kodi ...ukiona mji haumo hata top ten ya mapato Tanzania ujue level ya individual investment na formal sector Iko chini....then keep in mind MWanza growth quantity yake ni bilioni 800 Hadi trillion 1 Kwa mwaka .wakati mbeya ni bilion 500 Kwa mwaka ...ongezeni growth rate kwanza ndio mfikirie kuipita mwanza.![]()
Kila siku nakuambia hujawahi Kuwa na logic hata siku moja ...GDP per Capita sio quality of life ...GDP per Capital ni wastani wa Pato la mwananchi Kwa mwaka Kwa kutumia thamani ya uchumi wa mkoa kugawia idadi ya watu....maana yake mikoa yenye idadi kubwa ya watu inakuwa na per Capita ndogo...hii ni sawa na kusema GDP per Capita ya china ni US dollar 10000 wakati GDP per Capita ya Spain 30000 us dollar.....Endelea kujitoa akili Kama unashindia mihogo na mapanki ya sangara..
Vigezo Ni vingi tuu hata bila hizo metrics ,mojawapo Ni Wingi wa slums huko Mwanza vs Mbeya,ratio ya Huduma za jamii vs population,ratio ya wasomi vs population nk nk..
Mtu mzima kabisa anaejiita msomi anasema eti GDP Ni panthetic ,huu Ni ukichaa,hoja ingekuwa Hakuna income disparity ndio ungesema GDP sio kitu Ila so long as Uchumi inazalishwa na Watu then how comes GDP sio kitu?
Ulivyo kiazi hiyo growth rate yenu inafanana na Idadi ya watu wenu? Ndio maana mna mfumuko mkubwa wa Bei maana watu wengi Ila mnazalisha kidogo..
Mwisho mapato yapo ya kila dizaini kuanzia TRA Hadi Halmashauri.Mkoa wa hovyo kama Mwanza ndio unaweza ongea kweli? Kwenye Halmashauri zote za Mwanza Ni hizi za mjini tuu ndio Zina mapato huko kwingine kumejaa maskini wankutupwa.
Mbeya Hakuna umaskini Kama huo Halmashauri zote Zina mapato ya kutosha kuhudumia watu wake,mapato yenu ya TRA yanaenda kujenga Dom na Lindi nk.



Ww ndio unaleta story za vijiweniThis is nonsense.....ebu Tutoleeni ujinga hapa ...be forward na kodtec ni asian brand....afu story zenu za vijiweni msilete humu
Kahama hakuna slum katikati ya mji kama huko mbeya na njombeSi Bora magofu ya Moshi kuliko hizo slum za kahama
Bora ata kumwelewesha mjinga atakuelewa kuliko kumfundisha pumbavu kama wewe, leta hizo takwimu za mji wenu wa tunduma kimapato tuone kama wamewazidi kahama annually.Wewe Ni hamnazo,hiyo Manispaa ya kutunga labda inaongoza kwa mapato kwa Manispaa fake Kama Singida lakini Kwa Miji ya Nyanda za Juu mkasome,Tayari Tunduma inawanyea mnazoa mavi tuu,soon Njombe nayo itawanyea.
Wewe ndio mpumbavu,nimeleta Mara nyingi tuu humu na Sasa nakuaibisha Tena fala wewe👇Bora ata kumwelewesha mjinga atakuelewa kuliko kumfundisha pumbavu kama wewe, leta hizo takwimu za mji wenu wa tunduma kimapato tuone kama wamewazidi kahama annually.
Leta mapato ya NBS na siyo hiyo ya tunduma peke yake, na hiyo ni ya mirzi mingap?Wewe ndio mpumbavu,nimeleta Mara nyingi tuu humu na Sasa nakuaibisha Tena fala wewe👇