Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,157
Soko kuu njombe
Endeleeni kujitoa ufahamu.
Kama hapo Ni Town centre na huku Ni wapi?![]()
Nilishasema zamani kwamba Mji pekee wa Kanda ya Ziwa ambao walau nauheshimu Ni Bukoba huko kwingine Ni takataka tuu.
Ni sahihi kabisa Ila huko kwingine Ni Kama dampo 😂😂Kagera na shinyanga zimepangika aseee
Ukerewe ndio wapi? Hiyo ni UK ndogo hakuna mjini wenye mazingira bora huko kusini kushinda hiki kisiwa cha furu na matunda ya kila aina na nyama safi ya n'gombe aina ya zebu na nyankole breed.Tuoneshe majengo ya kawaida ya ya Ukerewe au kwimba naona unavuja Sana 🤪🤪
Acha kufananisha isamilo na cbd ya wakulima wa maparachichi na mpunga.Huyu Famba anajifanya anaijua Mwanza kuliko sisi Isamilo ambayo Spika wake wa Bunge kachukua kiwanjaa, Isamilo is better than the whole CBD of Mbeya
Siku mkiwa manispaa ndio mtakaa ligi moja na kahama kwasasa kapambaneni navijiji vyenu vya mchambawima.😜😜😜😜😜Haha
Ha haha kahama yenye makorongo Kila Kona na vumbi la kutosha ndo ulinganishe na miji ya huku shida sio
Huwa unajiuliza upo wapi? Majalalani au mavumbini?Yaani hua nikiwa natoka chunya kuja mbeya napenda iwe usiku usiku kule mlimani napaki chuma naiangalia mbeya inakua inapendeza sana hasa umeme ukiwepo mji mzima unauchora na unaweza kujiuliza hapa nipo wapi
Ilo ni gap kubwaaaaaaaaa sanaaa ni miaka dahali adi kuja kuliziba🙏🙏🙏🙏🙏Sisi wengine tunachomekea tu mazuri ya mwanza au mbeya lakini mbeya kwa mwanza pana gap kubwa
Maeneo mazuri lakini nyumba ndio za ovyo poleni sana.Tazara mbeya
View attachment 2432655
Siku mkiwa manispaa ndio mtakaa ligi moja na kahama kwasasa kapambaneni navijiji vyenu vya mchambawima.😜😜😜😜😜
Ni sahihi kabisa Ila huko kwingine Ni Kama dampo 😂😂
Maeneo mazuri lakini nyumba ndio za ovyo poleni sana.
Manispaa ya mchongo inaongoza kwa mapato kuliko manispaa ya moshi, na manispaa zote ukitoa Ilemela.Manispaa ya mchongo
OManispaa ya mchongo inaongoza kwa mapato kuliko manispaa ya moshi, na manispaa zote ukitoa Ilemela.
Endeleeni kifariji na mji wenu wa kale, hiyo moshi ilikuwa bora miaka ya 1940 lakini sasa yamebaki magofu, Go kahama go 😛😛😛Kuongoza kwa mapato sio kulingana na Moshi mzee Moshi ipo vizuri zaidi ya kahama mzee
O