Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Umeshajiandaa kisaikolojia lakini kupanda kwenye Mabehewa ya hii bullet train yenu? ..

Tumeambiwa hayo ndio Mabehewa ya masafa marefu Mikoa ya Mwanza,Kigoma,Katavi nk ..

Hayo Mabehewa yenu na ya Tazara yapi Bora?
Hivi hata first class yatakuwa haya haya au kuna tofauti. Me naona haya ni ya third class bana.Utapanda daraja unalotaka kwa urefu wa mfuko wako.
 
Hivi hata first class yatakuwa haya haya au kuna tofauti. Me naona haya ni ya third class bana.Utapanda daraja unalotaka kwa urefu wa mfuko wako.
Sasa uweke first class mje kupanda na mbuzi,ndama,kuku,nguruwe,mbwa na magunia ya michembe? 😆😆🤸🤸..

Jifunzeni ustaarabu kwanza afu ndio muhitaji Mabehewa ya first class na hapo lazima yatakuwa yanaenda mwendo wa Bus tuu.
 
Mimi sina wivu na mji wowote wa Tanzania lakini hili jiji la mbeya linaitaji mipango miji ya uhakika yaani mji karibu wote unaitaji kuvunjwa waanza kuujenga upya, cbd ndio kila kitu lazima pawe vizuri well planned, organized na good infrastructures, hizi nyumba tunategemea kuziona huko ndani ndani na sio kwenye cbd🙏🙏🙏
Aliyekuambia kwamba Mbeya haijapangwa Ni Nani? Kwa taarifa yako sehemu kubwa ya Jiji la Mbeya limepangwa kuliko hata Mwanza..

Mji haujapangwa kwenye mitaa Michache na bahati mbaya hiyo Michache ndio iko sehemu ya biashara yaani Ni rahisi kufikika..

Sokomatola Mjini city centre Centre 👇
 

Attachments

  • 20221125_083948.jpg
    20221125_083948.jpg
    644.1 KB · Views: 12
CBD Huwa ni Moja ,,,,ila kutokana na mbeya kuwa na disorganized settlement CBD haijulikani ni wapi ,,,,wanaangalia lilipo soko la mwanjelwa au stendi ya daladala kabwe au kwenye ofisi za benki uhindini
Wivu utakuua,Kama hii Ni disorganised settlement Basi tuletee hapa organised settlement ya Mwanza..

Mbeya City 👇
 

Attachments

  • 20221125_083717.jpg
    20221125_083717.jpg
    23 KB · Views: 10
  • 20221125_083948.jpg
    20221125_083948.jpg
    644.1 KB · Views: 10
Kanda ya Ziwa hata halmashauri za miji bado ziko vizuri kuliko huu uchafu, halafu unaitwa jiji, tunapeana aibu tu kwa kweli.
Wivu Ni kidonda 😂😂.

Tufanye hapa Ni Misenyi Basi sio Mbeya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221125-083740.png
    Screenshot_20221125-083740.png
    177.1 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221125-085700.png
    Screenshot_20221125-085700.png
    225.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221125-085424.png
    Screenshot_20221125-085424.png
    222.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221125-085015.png
    Screenshot_20221125-085015.png
    169.6 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221125-084900.png
    Screenshot_20221125-084900.png
    200.8 KB · Views: 8
Sasa uweke first class mje kupanda na mbuzi,ndama,kuku,nguruwe,mbwa na magunia ya michembe? ..

Jifunzeni ustaarabu kwanza afu ndio muhitaji Mabehewa ya first class na hapo lazima yatakuwa yanaenda mwendo wa Bus tuu.
Siye tupande na hiyo mifugo tukienda wapi aisee wakati tumeshazoea kupanda ndege meli za viwango na mabasi classic, hivi siyo vitu vigeni kwetu tumevizoea mzee
 
Aliyekuambia kwamba Mbeya haijapangwa Ni Nani? Kwa taarifa yako sehemu kubwa ya Jiji la Mbeya limepangwa kuliko hata Mwanza..

Mji haujapangwa kwenye mitaa Michache na bahati mbaya hiyo Michache ndio iko sehemu ya biashara yaani Ni rahisi kufikika..

Sokomatola Mjini city centre Centre
Hivi green city huwa inatokea wapi hapa? Mmejitahidi kupapanga hapa lakini mbona mpauko?
 
Picha ya kwanza angalau miti nimeiona, imejaribu kuikaribia Bukoba kwa miti
Ajenda iliyopo Ni miti au? 😁😁😁😁.

Mbeya itawapasua bandama nyie 👇
 

Attachments

  • 2940500_tzcucom-___CP4r_ptNOB5___-.jpg
    2940500_tzcucom-___CP4r_ptNOB5___-.jpg
    84.3 KB · Views: 6
  • 2940495_grcityhotelmbeya-___CO1rhybhDdm___-.jpg
    2940495_grcityhotelmbeya-___CO1rhybhDdm___-.jpg
    55.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20210807-062944.png
    Screenshot_20210807-062944.png
    382.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20210906-201313.png
    Screenshot_20210906-201313.png
    183.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221106-072503.png
    Screenshot_20221106-072503.png
    142.7 KB · Views: 6
Hivi green city huwa inatokea wapi hapa? Mmejitahidi kupapanga hapa lakini mbona mpauko?
Huwa inatokea mitaa mbali mbali ya Mbeya..

Tofautisha miti ya Mjini na msitu Mjini..

Mbeya the Green City 👇
 

Attachments

  • 20221125_083717.jpg
    20221125_083717.jpg
    23 KB · Views: 10
  • 20221125_082212.jpg
    20221125_082212.jpg
    58.8 KB · Views: 9
  • 20221125_082217.jpg
    20221125_082217.jpg
    55.4 KB · Views: 9
  • 20221125_081957.jpg
    20221125_081957.jpg
    132.8 KB · Views: 9
  • 20221125_081216.jpg
    20221125_081216.jpg
    507.1 KB · Views: 9
  • 20221125_080539.jpg
    20221125_080539.jpg
    325.6 KB · Views: 10
  • 20221125_080533.jpg
    20221125_080533.jpg
    99.1 KB · Views: 10
  • 20221125_080530.jpg
    20221125_080530.jpg
    114.7 KB · Views: 9
  • 20221125_080238.jpg
    20221125_080238.jpg
    46.1 KB · Views: 10
  • 20221125_080215.jpg
    20221125_080215.jpg
    57.5 KB · Views: 9
  • 2940501_jr_sports_tz-___CRcAdcUroHE___-.jpg
    2940501_jr_sports_tz-___CRcAdcUroHE___-.jpg
    138.1 KB · Views: 7
  • 2940503_Screenshot_20210918-123445_1631958166649.jpg
    2940503_Screenshot_20210918-123445_1631958166649.jpg
    39.7 KB · Views: 8
Aliyekuambia kwamba Mbeya haijapangwa Ni Nani? Kwa taarifa yako sehemu kubwa ya Jiji la Mbeya limepangwa kuliko hata Mwanza..

Mji haujapangwa kwenye mitaa Michache na bahati mbaya hiyo Michache ndio iko sehemu ya biashara yaani Ni rahisi kufikika..

Sokomatola Mjini city centre Centre
Hii ndo mnaita green city?

Vumbi na nyumba zenye kutu...kama sumbawanga tu..


Kwangu iringa ina skyline bora kuliko mbeya...ingawa iringa nako kuna mitaa kama ya mburahati na buguruni...ovyo kabisa huko kusini
 
Hii ndo mnaita green city?

Vumbi na nyumba zenye kutu...kama sumbawanga tu..


Kwangu iringa ina skyline bora kuliko mbeya...ingawa iringa nako kuna mitaa kama ya mburahati na buguruni...ovyo kabisa huko kusini
Utaruka ruka Sana na kubadili gia angani 😂😂.

Baada ya kuwa outshine na hoja mbuzi ya uswazi Sasa umehamia kwenye vumbi 😁😁..

Magorofa ya Mbeya Ni twice ya Iringa,Mambo ya skyline Ni utoto usio na maana..

Mbeya piga hao pimbi wameanza kutafuta visingizio 🤸🤸👇
 

Attachments

  • 2940501_jr_sports_tz-___CRcAdcUroHE___-.jpg
    2940501_jr_sports_tz-___CRcAdcUroHE___-.jpg
    138.1 KB · Views: 7
  • 2940503_Screenshot_20210918-123445_1631958166649.jpg
    2940503_Screenshot_20210918-123445_1631958166649.jpg
    39.7 KB · Views: 10
  • 2940502_mdopeiddehotel_tz-___CTujdtdtA1K___-.jpg
    2940502_mdopeiddehotel_tz-___CTujdtdtA1K___-.jpg
    123.3 KB · Views: 7
  • 2940495_grcityhotelmbeya-___CO1rhybhDdm___-.jpg
    2940495_grcityhotelmbeya-___CO1rhybhDdm___-.jpg
    55.4 KB · Views: 7
  • 2940500_tzcucom-___CP4r_ptNOB5___-.jpg
    2940500_tzcucom-___CP4r_ptNOB5___-.jpg
    84.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20210906-201313.png
    Screenshot_20210906-201313.png
    183.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20210807-062944.png
    Screenshot_20210807-062944.png
    382.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20210804-224127.png
    Screenshot_20210804-224127.png
    273.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220918-105737.png
    Screenshot_20220918-105737.png
    190.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221021-221456.png
    Screenshot_20221021-221456.png
    316.4 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221106-072422.png
    Screenshot_20221106-072422.png
    243.5 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221106-072350.png
    Screenshot_20221106-072350.png
    275.3 KB · Views: 9
  • 20221106_072512.jpg
    20221106_072512.jpg
    301.3 KB · Views: 10
Shinyanga-Mwanza ni mbali sana wewe mtu wa Njombe una matatizo.
.
Ona una ndoto mfu tena kwamba Njombe baada ya miaka 10-15 itazipita Iringa na Songea hivi hao watu wa Iringa watakuwa wamelala tu?
.
Njombe inaweza kuipita Lindi ila sio Iringa na Songea
Njombe ilishaipita LINDI mda mrefu, labda lindi ipindue MEZA kwa sababu ya uwekezaji wa gesi
 
Wivu utakuua,Kama hii Ni disorganised settlement Basi tuletee hapa organised settlement ya Mwanza..

Mbeya City 👇
Endeleeni kujifanya wajuani tunawaambia ukweli hilo likijiji la mbeya ni disoriented pia ni disorganized unakalia maneno, shauri yenu wenyewe bakini na ujinga wenu, palipo na mapungufu kubalini kukosolewa, mbona sisi Mwanza tunakubali tuna shida sana ya barabara.
 
Endeleeni kujifanya wajuani tunawaambia ukweli hilo likijiji la mbeya ni disoriented pia ni disorganized unakalia maneno, shauri yenu wenyewe bakini na ujinga wenu, palipo na mapungufu kubalini kukosolewa, mbona sisi Mwanza tunakubali tuna shida sana ya barabara.
Maneno meengi.

Weka hapa ramani ya Jiji la Mwanza Kama nilivyoweka ili tuone wapi Kiko disorganised au unaona aibu ya zile dream houses zenu? 😆😆.
 
Back
Top Bottom