The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Mafinga Bus Terminal Ni Stand ya Wazi iko pembezoni tuu ya Barabara Kuu 👇Mbona kama parking ya barabarani.
Mafinga Bus Terminal Ni Stand ya Wazi iko pembezoni tuu ya Barabara Kuu 👇Mbona kama parking ya barabarani.
Hebu tumia akili japo kidogo...Huyo anatangaza biashara yake...hayo mbona ya kawaida sana kwa Bukoba?Nimecheka Sana yaani..
Soma hapa![]()
😂😂😂😂😂 Wewe ndio huna akili kwani hujasoma hayo maelezo mnayoshangilia Hilo lichuma la zamani mkiita Luxury?Hebu tumia akili japo kidogo...Huyo anatangaza biashara yake...hayo mbona ya kawaida sana kwa Bukoba?
Unakumbuka Dar lux zilikuwa zinaenda Bukoba? Hata happination za sasa hiv ziko vzr na inawezekana zinazidi hizo abood zake...
Muache aje kwa mbwembwe...hasiposoma wasafiri wake vzr hio route yake ataifuta tu
Tafuta hela na wew ununue mabus yako...sina muda wa kubishania mali za wanaume kama mimi....Wewe ndio huna akili kwani hujasoma hayo maelezo mnayoshangilia Hilo lichuma la zamani mkiita Luxury?
Mlivyoona ule msururu wa chuma mpya mkajua zinakuja huko.
Gari mpya zimeenda njia ya Mbeya afu hayo yakiyochoka wameyaleta Bukoba na Arusha.
Soma hapa Tena![]()
😁😁😁😁 Nyie Mwanza na Bukoba hamchekani maana wote mabasi yenu Ni dume Kama haya hapa 👇Kwamba wakina nshomile walikuwa wamezoea mabasi hardcore, na siyo luxury, alafu huyo mwandishi ana maanisha gari za luxury zilikuwa hazijawahi kuingia bukoba😂😂😂😂, mwandishi fala sana.
Unataka tuwe na mabasi majike kama nyanda za juu kusini😂😂😂😁😁😁😁 Nyie Mwanza na Bukoba hamchekani maana wote mabasi yenu Ni dume Kama haya hapa 👇
Hayo yenu Ni matela ya tractors sio mabasi 😂😂😂😂.Unataka tuwe na mabasi majike kama nyanda za juu kusini😂😂😂
Hizi nazo ni basi😂😂😂😂 zinafanana na scrapper tu.Hayo yenu Ni matela ya tractors sio mabasi 😂😂😂😂.
Mabasi huwa yanafanana hivi 👇
Fly One LogisticsHizi nazo ni basi😂😂😂😂 zinafanana na scrapper tu.
Acha wivu 😁😁.Hizi nazo ni basi😂😂😂😂 zinafanana na scrapper tu.
Huku Ni kukata tamaa,hatubishanii Mali za watu Bali Huduma zinazopatikana maeneo yetu.Tafuta hela na wew ununue mabus yako...sina muda wa kubishania mali za wanaume kama mimi....
We jamaa kwani wenye mabasi ni mabwana zako mbona una promote sana mabasi ya wanaume wenzakoHayo yenu Ni matela ya tractors sio mabasi 😂😂😂😂.
Mabasi huwa yanafanana hivi 👇
Huyo anafanya utani tu kuna Happy Nation, Frester alileta vitu vipya sema huyu ameamua kuzingua tuKwamba wakina nshomile walikuwa wamezoea mabasi hardcore, na siyo luxury, alafu huyo mwandishi ana maanisha gari za luxury zilikuwa hazijawahi kuingia bukoba, mwandishi fala sana.


Ulitaka Ni promote mabasi ya Wanawake wenzako?We jamaa kwani wenye mabasi ni mabwana zako mbona una promote sana mabasi ya wanaume wenzako
Umemuona Sunk farasi yupo hapo kwenye uzinduziAisee![]()