Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Mbeya imeshika nafasi ya mwisho Kwa usafi wa majiji.kama ilivyo kawaida yake miaka yote .. ripoti mwaka huuView attachment 2426713
Jiji la matajiri
Mbeya imeshika nafasi ya mwisho Kwa usafi wa majiji.kama ilivyo kawaida yake miaka yote .. ripoti mwaka huuView attachment 2426713
Jiji la matajiri
Kwan CBD ya mbeya inajulikana ilipo basMimi sina wivu na mji wowote wa Tanzania lakini hili jiji la mbeya linaitaji mipango miji ya uhakika yaani mji karibu wote unaitaji kuvunjwa waanza kuujenga upya, cbd ndio kila kitu lazima pawe vizuri well planned, organized na good infrastructures, hizi nyumba tunategemea kuziona huko ndani ndani na sio kwenye cbd![]()
Kuna sank farasi huwa hanatuambia mbeya ina cbd 2 lakini nikagoogle nikasoma nikaona hakuna mji wenye cbd mbili district haziwez kuwa mbili ndani ya city.Kwan CBD ya mbeya inajulikana ilipo bas
CBD Huwa ni Moja ,,,,ila kutokana na mbeya kuwa na disorganized settlement CBD haijulikani ni wapi ,,,,wanaangalia lilipo soko la mwanjelwa au stendi ya daladala kabwe au kwenye ofisi za benki uhindiniKuna sank farasi huwa hanatuambia mbeya ina cbd 2 lakini nikagoogle nikasoma nikaona hakuna mji wenye cbd mbili district haziwez kuwa mbili ndani ya city.
Kanda ya Ziwa hata halmashauri za miji bado ziko vizuri kuliko huu uchafu, halafu unaitwa jiji, tunapeana aibu tu kwa kweli.Ukiondoa soko...mbeya haina tofauti na kigogo...tena kule karibu na chawote![]()
Waache wa kenya watucheke tu hakuna namna.Kanda ya Ziwa hata halmashauri za miji bado ziko vizuri kuliko huu uchafu, halafu unaitwa jiji, tunapeana aibu tu kwa kweli.
Kuna mtu yuko busy kucheka watu wa milimani mwanza.
Unachukua picha ya zamani ndio unaleta humu?View attachment 2426713
Jiji la matajiri
Kwani hapo kosa lake nini? Wakati anasifia huo mradi ulivyo wa viwango na umejengwa kwa gharama ndogo sana tofauti na makisio yao ya milion 50, hakika mama samia na serikali yake wanaupiga mwingi sana hasa kudhibiti wizi na ufujaji wa pesa za serikali kwenye miradi mbalimbali.
Tupo pamoj na mama kwenye safari ya ku![]()
![]()









We acha tu mambo mengine ni aibu. Tumefika hapa kwa ujinga wa wanasiasa na siasa chafu kuongoza nchi.Hapa ndio hilipo CBD ya jiji la Mbeya asee, Tanzania tunasafari bado.
Hii inaingia mara ngapi kwa mji wa kawaida huko kenya wa eldoret.
Kuna mtu yuko busy kucheka watu wa milimani mwanza.
Mbagala iko Dodoma au?Jiji halina tofauti na mbagala.
Manzese na mburahati ziko.jiji gani? 😁😁Ni kama manzese na mburahati...jiji gan hili
Kwa mpangilio huo wa nyumba ina haki na baraka zote kuwa ya mwisho. Mipango miji wauangalia mji huu kwa jicho la huruma. Vijumba vyote vya udongo kwenye CBD vibomolewe na kupangwa upya.Mbeya imeshika nafasi ya mwisho Kwa usafi wa majiji.kama ilivyo kawaida yake miaka yote .. ripoti mwaka huu
Naona Sukuma gang mnaoishi kwenye ule uchafu wa milimani Mwanza mumekuja kujifariji humu 😂😂..Hapa ndio hilipo CBD ya jiji la Mbeya asee, Tanzania tunasafari bado.
Hii inaingia mara ngapi kwa mji wa kawaida huko kenya wa eldoret.
90% ya Mwanza mnaishi kule kwenye dream houses zenu za milimani 😆😆.Kwa mpangilio huo wa nyumba ina haki na baraka zote kuwa ya mwisho. Mipango miji wauangalia mji huu kwa jicho la huruma. Vijumba vyote vya udongo kwenye CBD vibomolewe na kupangwa upya.
Soko gani?Ukiondoa soko...mbeya haina tofauti na kigogo...tena kule karibu na chawote![]()
Huishiwagi maneno baba90% ya Mwanza mnaishi kule kwenye dream houses zenu za milimani.
Nyumba za Mbeya licha ya kuwa slums Ni Bora kuliko.zile za Mwanza ambazo sio tuu Ni slums Bali hazina sifa za nyumba Ni full mabanda na Mawe na Hakuna Barabara..
Mengine ni kujifariji tuu.



Umeshajiandaa kisaikolojia lakini kupanda kwenye Mabehewa ya hii bullet train yenu? 😁😁😁😁..Huishiwagi maneno baba![]()