Usijitoe akili, hii picha ya basi ni KahamaNaokota wapi Sasa mzee? Hujui kusoma vibao vya mabusi na hayo maelezo?
Wenzio wamekubali wewe bado unashupaa.Tanzania hapa hakuna route inayozidi mabasi kwa Idadi na ubora kushinda route ya Dar-Mbeya/Tunduma na Dar-Njombe/Songea..
Njombe na Superfeo
Nilikosea nilikuwa namaanisha Mwanza- shinyangaππKwa Traffic ipi? Labda angekuwepo Mwendazake ndio angejenga Kama anavyofanya sgr..
Walau Mwanza-Shinyanga nayo Wala Hakuna Traffic hapo Ni sifa tuu.
Uwa anaweka tu bila kuhariri, na umemuumbuaππUnajua picha ya chini ni Kahama???
Kahama mna Kijani Kama hicho na hiyo miti ya Mbao?Unajua picha ya chini ni Kahama???
Vipi bado una swali na wasiwasi kuhusu njia ya Mbeya?Usijitoe akili, hii picha ya basi ni KahamaView attachment 2422087
Ndio maana wameaema watajenga njia 4 Hadi hapo njiapanda ya Mwanangwa..Nilikosea nilikuwa namaanisha Mwanza- shinyangaππ
Kumbe super feo ni mkinga?
Umemaliza kila kitu mkuu ππSuper feo ndio mmiliki wa kampuni ya mabasi ya selou, kachafua kusini kamaliza, kwa sasa anafika mwanza na moshi kutokea songea, halafu master na achinwene na sauli ni matajiri wa dhahabu wa chunya, kwa mabasi kusini sijaona kanda ya kuwafikia hasa Mbeya kwa sasa hawana mpinzani zamani ilikua Arusha/ moshi kwa sasa wametupwa mbali, sehemu pekee utasafiri masaa 24 kufika Dar ni Uyole kwenye hilo watu wa mwanza na kahama siwatetei upande huo mmepigwa tatu bila
Naona kupitia Mwanangwa ndio karibu.Ndio maana wameaema watajenga njia 4 Hadi hapo njiapanda ya Mwanangwa..
Hiyo njia Ni shortcut ya Kwenda Kahama kutoka Mwanza inapita Kijiji fulani huko huwa Kuna Machimbo ya madini sijui Ni Kakola,nimepita nakufahamu..
Swali kutoka Mwanza Kwenda Kahama via Mwanangwa na kutoka Mwanza kwenda Kahama via Magufuli Bridge na Geita wapi Ni mbali?
Tena hilo pembeni ni jengo la Mongo House kahama.Usijitoe akili, hii picha ya basi ni KahamaView attachment 2422087
Endeleen kufurahia hayo mabasi machovu...huku kanda ya ziwa ikiongezeka International airport moja kubwa pande za Bukoba....Sindano tayari imefika kunako..mengine Ni kujifariji tuu.
Tatizo sio kuwa na stand nyingi,swala Ni bus classic..
Yaani watu wanapanda kwenye mabus na mbuzi,michembe,maziwa,wananuka nani awaletee bus Kali?
Nyie Bus zenu ni hizi hapa
Yaan huyu abood...kaangalia maeneo yoteee...kaamua achukue bus zake luxury Bukoba...sio mbeya...sio iringa..sio songea..sio mtwwra but BUKOBA...Huwa nakukubali una mbinu nzuri za kujifariji na ku cool down tempa ukizidiwa..
Moto fireMbeya-Dar-Tunduma
Everything to Bukoba ni luxury...Huyo tuu ndio pekee anajitahidi kuwasitiri maana hata ukifuatilia discussions za ma admn walau wanasema anajitahidi..
Ila Bukoba msijali tunalawaletea hii Abood iliyokuwa Tunduma afu sie tunachukua chuma mpya.
BK kenueni meno ndege zitawamaliza
Na wew ukija dar ukapiga picha juu manzese utasema Dar ni jiji au Kijiji? Watu wa huko kusini utapiamulo unawaondolea akili......Huo ni mji au Kijiji.Manispaa kongwe
Jamaa kabadirika siku hizi yale matusi ya nguoni halishaacha na siku hizi anabishana kistaharabu, nazan atakuwa kafunga ndoa hivi karibuni.View attachment 2422189
Karibu mwanza Sunk Fallacy, nakupa hongera siku hizi matusi umeacha ndio ustaarabu huo.
Ila majuzi nilikuona umewavamia watu wa Arusha kwenye uzi wao walikutakana balaaπππ
Wala sikatai hapa...stendi ya Bukoba ni zizi la ngombe, mbuzi, bata nk...Na wapo tu wakina chalamila wanapiga porojo...NI kama kazizi ka ng'ombe
Hapa sibishi aisee...We jamaa wewe ngoja tumkaribishe instanbul bepari
Ila Raisi kwa nini kamuondoa Bashungwa Tamisemi?Wala sikatai hapa...stendi ya Bukoba ni zizi la ngombe, mbuzi, bata nk...Na wapo tu wakina chalamila wanapiga porojo...
Kama ulishawahi kufika soko la mabibo wakati wa mvua basi stendi ya Bukoba ndo ilivyo mwaka mzima...
Lakin fresh tu kwani watu wa Bukoba wanaishi stendi? Watu wa mabasi na daladala ndo uteseka muda wote wapo kwenye mabuti...
Siku serikali ikiona sawa itajenga isipotaka watajuana wenyew huku...
Kwa mambo ya usafiri Tuko mbali.Everything to Bukoba ni luxury...
Songoro marine kaleta chuma zake mbili hizo...
Mwanza bkb 3hrs tu...View attachment 2422204
Na hii Ni luxury si ndio? ππ.Everything to Bukoba ni luxury...
Songoro marine kaleta chuma zake mbili hizo...
Mwanza bkb 3hrs tu...View attachment 2422204