The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Wewe umetembea wapi? Bujora au? 😁😁Ukiambia leta hotel utaleta hivyo vibanda vya mbeya, mbona unakuwa kama hujawahi kutembea.
Wewe umetembea wapi? Bujora au? 😁😁Ukiambia leta hotel utaleta hivyo vibanda vya mbeya, mbona unakuwa kama hujawahi kutembea.
We endelea kutembelea stendi zenu na kupiga picha ya mabasi ndio kazi uliyobakiza😁😁😁Wewe umetembea wapi? Bujora au? 😁😁
Stand gani? 🤸🤸.We endelea kutembelea stendi zenu na kupiga picha ya mabasi ndio kazi uliyobakiza😁😁😁
Roughly kuna stand 4 za magari yanayounganisha Kahama na maeneo jirani, mbili zipo kwenye mpango ya TACTIC 😀 😀 😀 😀Stand gani? 🤸🤸.
Kahama Kuna stand?
Aisee kwa hiyo Kahama Ina stand nyingi kuliko Mwanza,Mbeya,Dodoma nk 😂😂😂😂😂Roughly kuna stand 4 za magari yanayounganisha Kahama na maeneo jirani, mbili zipo kwenye mpango ya TACTIC 😀 😀 😀 😀
Yes, Kahama geographical advantage yake inaifanya kuwa kituo kuu cha biashara kanda ya ziwa baada ya Mwanza, kila siku watu wanaotoka na kuingia Kahama ni wengi. 1. Stand Kuu (Yutong / Higer/ Marcopolo/ Asia Star 2. Stand ndogo (Bus za zamani/ Tata/ Noah/ Hiace) 3. CDT (Tata za Mikoani) 4. Stand ya Dodoma (Tata/ Hiace/ Noah). Mradi wa Tactic una chapa stand mbili ya 1 na 4.Aisee kwa hiyo Kahama Ina stand nyingi kuliko Mwanza,Mbeya,Dodoma nk![]()
Hakuna Mji utakuja kuizidi Mbeya kwa vyuma vikali full Mineso yaani..New babe in town, made in Mwanza
View attachment 2421219😍😍😍😍
Tutawapasua kwa pressure ya Mineso ya Mbeya,Kaa kwa Kutulia dozi ikuingie.We endelea kutembelea stendi zenu na kupiga picha ya mabasi ndio kazi uliyobakiza😁😁😁
Wapi hapo Boss??? Ubaruku????
Wivu unawasumbua 😆😆..Wapi hapo Boss??? Ubaruku????
Ata kanda ya ziwa wanamabasi ya ukweli kuliko hayo😜😜😜😜😜Tutawapasua kwa pressure ya Mineso ya Mbeya,Kaa kwa Kutulia dozi ikuingie.
Another Baby Mneso in the City,kazi ya dhahabu ya Chunya.
Dar-Mbeya na Achimwene Safaris 👇
Cladding inachukua miaka mingapi kufanyika?Wivu unawasumbua 😆😆..
Hiyo picha nilipiga mwenyewe Kabwe Mbeya,subiria jengo lifanyiwe cladding wewe kima.
Ili eneo ni cbd ya mbeya au nje kabisa huko ndani ndani naomba unisaidie.
Kamuulize mwenye jengo lakeCladding inachukua miaka mingapi kufanyika?
Myatoe wapi? Hakuna bus classic zitakuja kwenye mabarabara mabovu hayo 😂😂..Ata kanda ya ziwa wanamabasi ya ukweli kuliko hayo😜😜😜😜😜
Ilo jengo lina miaka 12 lipo hivyo hivyo tu, nazani likiisha ndio litakuwa jengo refu na zuri mbeya nzima.Kamuulize mwenye jengo lake
Hayo mabasi mbona ya kawaida sana, ni kama yale yanayoenda bariadi na maswa.Myatoe wapi? Hakuna bus classic zitakuja kwenye mabarabara mabovu hayo 😂😂..
Cites nakozitoa ndio cites za watu wa mabasi na wao ndio husema Hakuna route yenye mabasi makali Kama ya Mbeya..
Sio tuu mabasi makali Bali kila mwaka Kuna kampuni mpya..
Mtaelewa tuu,hii hapa unatoka Kitwe -Dar na Dar-Mbeya-Tunduma..
Royal Luxury Coach 👇
Humu hakuna wapiga debe wa stand wengine zaidi yako, ndio maana kwenye mabasi hatukujibu. Simple tu, kanda haiwezi kuwa na miji zina stand zaidi ya mbili na zikose bus classic, hiyo ni dalili kanda ina huduma za mabasi nyingi na nzuri, Ukija kwenye usafiri wa abiria / ndege hakuna kanda makampuni makubwa yanafanya biashara kama Lake zone.Myatoe wapi? Hakuna bus classic zitakuja kwenye mabarabara mabovu hayo 😂😂..
Cites nakozitoa ndio cites za watu wa mabasi na wao ndio husema Hakuna route yenye mabasi makali Kama ya Mbeya..
Sio tuu mabasi makali Bali kila mwaka Kuna kampuni mpya..
Mtaelewa tuu,hii hapa unatoka Kitwe -Dar na Dar-Mbeya-Tunduma..
Royal Luxury Coach 👇