Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Kwani sisi tunaitaka kigoma iwe kanda ya ziwa.Kumbe wewe Ni dish kiasi hiki.
Western zone iko Miaka mingi kabla ya Katavi ilikuwa na Tabota na Kigoma..
Na kwa taarifa yako Serikali inajenga BoT na Hospital ya Kanda Kigoma.
