Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ukiangalia hii idadi ya Magorofa ukalinganisha ukongwe na ukubwa wa mkoa kijiografia utagundua kuwa Njombe inapiga maendeleo kwa Kasi sana.Kwenye mikoa mikongwe Magorofa mengine ni ya NHC yaliyojengwa miaka Mingi sana kwenywe makao makuu ya mikoa.Njombe ndio mkoa wenye eneo dogo kabisa Tanzania ukiondoa mikoa ya Zanzibar lakini Ina Magorofa mengi kwa uwiano wa idadi ya makazi na Magorofa karibia asilimia ishirini yapo vijijini.We are in the right direction.
Hakuna kitu mkoa mzima watu laki nane tu. Huko uswekeni tu.
 
Then shinyanga apewe Kwimba na baadhi ya maeneo ya Usagara ili Kutengeneza Metropolitan City nzur kwa upande wa Mwanz
Hujui kitu tuulize sisi tunaojua, Ipo proposal ya mkoa mpya wa Nyanza ambao utakuwa na Wilaya za Busega, Magu, Kwimba, Sengerema, Buchosa na Misungwi. Huku baadhi ya maeneo ya kata za Magu na Misungwi zikianzisha wilaya mpya ya Kisesa na kulifanya Jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania (Mwanza ) kuwa na Wilaya tatu yaani Nyamagana, Ilemela na Kisesa. Wazo la Chato kuwa mkoa linakufa natural death.
 
Hujui kitu tuulize sisi tunaojua, Ipo proposal ya mkoa mpya wa Nyanza ambao utakuwa na Wilaya za Busega, Magu, Kwimba, Sengerema, Buchosa na Misungwi. Huku baadhi ya maeneo ya kata za Magu na Misungwi zikianzisha wilaya mpya ya Kisesa na kulifanya Jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania (Mwanza ) kuwa na Wilaya tatu yaani Nyamagana, Ilemela na Kisesa. Wazo la Chato kuwa mkoa linakufa natural death.
Hii habari nyeti sana, na iwe hivyo
 
Hujui kitu tuulize sisi tunaojua, Ipo proposal ya mkoa mpya wa Nyanza ambao utakuwa na Wilaya za Busega, Magu, Kwimba, Sengerema, Buchosa na Misungwi. Huku baadhi ya maeneo ya kata za Magu na Misungwi zikianzisha wilaya mpya ya Kisesa na kulifanya Jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania (Mwanza ) kuwa na Wilaya tatu yaani Nyamagana, Ilemela na Kisesa. Wazo la Chato kuwa mkoa linakufa natural death.
me hapo sijaelewa kitu kwa hiyo mkoa wa Mwanza utakuwa na wilaya tatu za nyamagana, ilemela na kisesa tu?
 
Huoni chato ikipelekwa kuwa mkoa geita itabaki haina eneo ...Kwa sababu wilaya ya bukombe ,katoro na chato zenyewe zitaondolewa Geita ..ndo maana Geita waliomba buchosaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Katoro haiondoki Geita hujafuatilia. Inaondoka Bukombe na Chato kuungana na Biharamulo na Ngara. Hii ndio propasal.
 
Mbona buchosa hata syo ya kuipigania..wilaya potential mwanza ni sengerema, misungwi na kwimba..hizi wilaya Zina reserve kubwa ya madini ya almasi na dhahabu.pamoja ardhi yenye rutuba ..
Kuhusu ziwa Wilaya ya magu na ilemela na ukerewe zipo na zinachangia vizuri kwenye uchumi wa blue

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana. Wilaya ya Sengerema bila Buchosa hakuna kitu.
 
me hapo sijaelewa kitu kwa hiyo mkoa wa Mwanza utakuwa na wilaya tatu za nyamagana, ilemela na kisesa tu?
Ndio mpango ulivyo, we subiri utaona. Kumbuka watu wa Busega mpaka leo wanaona kwamba walionewa sana kupelekwa Simiyu na ndio mambo yanakwenda hivyo.
 
Ndio mpango ulivyo, we subiri utaona. Kumbuka watu wa Busega mpaka leo wanaona kwamba walionewa sana kupelekwa Simiyu na ndio mambo yanakwenda hivyo.
Hii kitu itakuja kutokea miaka 500 ijayo sio sasa
 
Hujui kitu tuulize sisi tunaojua, Ipo proposal ya mkoa mpya wa Nyanza ambao utakuwa na Wilaya za Busega, Magu, Kwimba, Sengerema, Buchosa na Misungwi. Huku baadhi ya maeneo ya kata za Magu na Misungwi zikianzisha wilaya mpya ya Kisesa na kulifanya Jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania (Mwanza ) kuwa na Wilaya tatu yaani Nyamagana, Ilemela na Kisesa. Wazo la Chato kuwa mkoa linakufa natural death.
Kwamba mnaiga Dar ilivyozungukwa na Pwani au? 😃😃.

Mwendazake akifufuka mtamwambia nini?
 
Wewe mara nyingi huwa nakwambia hunaga akili..

Sasa ukitoa Kahama ikawa Mkoa kwa Hiyo Shinyanga itakuwa nini sasa? Maana Wilaya zote za Za Mkoa wa Shinyanga ziko upande wa Kahama huko..

Kuongezeka kwa idadi ya watu sio kigezo cha kugawa Mkoa bali hadhi ya Mji kukua na kuongeza ngazi za chini kama Halmashauri mpya nk..

Ingekuwa hivyo basi kila Wilaya ya Dar ingekuwa Mkoa sasa..

Shinyanga itabakia hivyo hivyo hadhi ya Mji inaweza badilikuwa kuwa na Jiji au Halmashauri zingine..

Kigezo kikubwa cha kugawa Mkoa ni geografia ya eneo na nature of Terrain..

Ndio Maana Njombe ilimegwa kutoka Iringa kwa sababu kutoka Makambako kwenda Iringa Mjini ni zaidi ya km 100 hapo bado hujataja Njombe,Makete na Ludewa..

Hivyo hivyo Kwa Geita,Manyara na Katavi.Mfano kutoka Mpanda ambao ndio mkoa wa Katavi hadi Sumbawanga ni km 245.

Kwa muktadha huo basi Mikoa itakayogawanywa ni Tabara, Morogoro,Ruvuma na Lindi..

Chato haina vigezo bali ni upuuzi na ubinafsi wa Mwendazake.
Wewe ndio huna akili, sijataja kigezo chochote kwa nini kahama itamegwa, ila umejibu kana kwamba ni idadi ya watu.
Kivevele nenda taratibu🤣🤣
 
Wewe ndio huna akili, sijataja kigezo chochote kwa nini kahama itamegwa, ila umejibu kana kwamba ni idadi ya watu.
Kivevele nenda taratibu🤣🤣
Mara nyingi nyie Misukule wa Mwendazake huwana hamna emotional stabiliy na mnadanganywa kirahisi Sana 😁😁😁😁..

Kahama haiwezi kumegwa labda utamegwa wewe kama Hawa mama zako wanaomegwa na popo bawa huku 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221031-182419.png
    Screenshot_20221031-182419.png
    141.2 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221031-182446.png
    Screenshot_20221031-182446.png
    111.9 KB · Views: 10
Back
Top Bottom