Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hilo sharti lilitoka pamoja na ombi la kupewa wilaya ya kisesa....,,watu wa buchosa waliomba kuhamishiwa geita Kwa sababu ni km 58 tu tofauti na mwanza ni km 100 ... mwanza waliomba wilaya ya kisesa...Kwa hyo sharti ni kuwa mwanza watoe buchosa wapewe kisesa

Sent using Jamii Forums mobile app
waache utapeli kwani kisesa ipo mkoa gani?
 
Hilo sharti lilitoka pamoja na ombi la kupewa wilaya ya kisesa....,,watu wa buchosa waliomba kuhamishiwa geita Kwa sababu ni km 58 tu tofauti na mwanza ni km 100 ... mwanza waliomba wilaya ya kisesa...Kwa hyo sharti ni kuwa mwanza watoe buchosa wapewe kisesa

Sent using Jamii Forums mobile app
waache utapeli kwani kisesa ipo mkoa gani? mimi najua kisesa pia ipo Mwanza wilaya ya Geita. wakitaka maeneo wakachukue huko kakonko mkoani kigoma.
 
waache waondoke wenyewe na mizigo yao hiyo buchosa waiache hapo hapo.
Mbona buchosa hata syo ya kuipigania..wilaya potential mwanza ni sengerema, misungwi na kwimba..hizi wilaya Zina reserve kubwa ya madini ya almasi na dhahabu.pamoja ardhi yenye rutuba ..
Kuhusu ziwa Wilaya ya magu na ilemela na ukerewe zipo na zinachangia vizuri kwenye uchumi wa blue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona buchosa hata syo ya kuipigania..wilaya potential mwanza ni sengerema, misungwi na kwimba..hizi wilaya Zina reserve kubwa ya madini ya almasi na dhahabu.pamoja ardhi yenye rutuba ..
Kuhusu ziwa Wilaya ya magu na ilemela na ukerewe zipo na zinachangia vizuri kwenye uchumi wa blue

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu huwa nakukubali sana kwenye mambo ya uchumi au labda huijui Buchosa nakuomba uangalie upya ramani ya mkoa wa Mwanza na angalia mahali buchosa ilipo theni uje uandike upya kamanga wangu.
 
Mbona buchosa hata syo ya kuipigania..wilaya potential mwanza ni sengerema, misungwi na kwimba..hizi wilaya Zina reserve kubwa ya madini ya almasi na dhahabu.pamoja ardhi yenye rutuba ..
Kuhusu ziwa Wilaya ya magu na ilemela na ukerewe zipo na zinachangia vizuri kwenye uchumi wa blue

Sent using Jamii Forums mobile app
sengerema unayojitambia kuwa kuna uchumi wa blue ni kwasababu ya halmashauri yake ya buchosa na visiwa vyake.
 
Hilo sharti lilitoka pamoja na ombi la kupewa wilaya ya kisesa....,,watu wa buchosa waliomba kuhamishiwa geita Kwa sababu ni km 58 tu tofauti na mwanza ni km 100 ... mwanza waliomba wilaya ya kisesa...Kwa hyo sharti ni kuwa mwanza watoe buchosa wapewe kisesa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Kisesa ipo wapi...?!

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hatugawi watu pekee Bali tunagawa ukubwa wa eneo,nature of Terrain na Potential ya eneo GDP na kusogeza huduma zaidi.

Mawilaya ya huko Tabora mengi ni tambarare na yamejee wavivu kama wewe..

Mwisho kabla ya kugawa ,Iringa ilikuwa kubwa kuliko Tabora.
Siyo kweli hata kabla ya kugawanywa Iringa ilikuwa ni ndogo kwa Tabora. Tafadhali usidanganye watu
 
Wewe mara nyingi huwa nakwambia hunaga akili..

Sasa ukitoa Kahama ikawa Mkoa kwa Hiyo Shinyanga itakuwa nini sasa? Maana Wilaya zote za Za Mkoa wa Shinyanga ziko upande wa Kahama huko..

Kuongezeka kwa idadi ya watu sio kigezo cha kugawa Mkoa bali hadhi ya Mji kukua na kuongeza ngazi za chini kama Halmashauri mpya nk..

Ingekuwa hivyo basi kila Wilaya ya Dar ingekuwa Mkoa sasa..

Shinyanga itabakia hivyo hivyo hadhi ya Mji inaweza badilikuwa kuwa na Jiji au Halmashauri zingine..

Kigezo kikubwa cha kugawa Mkoa ni geografia ya eneo na nature of Terrain..

Ndio Maana Njombe ilimegwa kutoka Iringa kwa sababu kutoka Makambako kwenda Iringa Mjini ni zaidi ya km 100 hapo bado hujataja Njombe,Makete na Ludewa..

Hivyo hivyo Kwa Geita,Manyara na Katavi.Mfano kutoka Mpanda ambao ndio mkoa wa Katavi hadi Sumbawanga ni km 245.

Kwa muktadha huo basi Mikoa itakayogawanywa ni Tabara, Morogoro,Ruvuma na Lindi..

Chato haina vigezo bali ni upuuzi na ubinafsi wa Mwendazake.
Hujui kitu kabisa. Kutoka Mwanza kwenda Geita kupitia Kamanga Ferry ni km 98 tu. Aidha, kutoka Mwanza kwenda Geita kupitia Busisi ni Km 120 tu siyo km 200 kama unavyodanganya.
 
Back
Top Bottom