instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
Naam kagera ipo top Five kwa idadi ya majengoHivyo ndio vigezo rasmi vya siku zote .
Swala la Morogoro halina tofauti na Tabora..
Unfortunately hapa Tanzania mambo ya mgawanyo wa kimaeneo yanategemea fadhila hata kama yana vigezo..
Kwa hiyo kama hamna wakubwa wa ku push mtaendelea kupiga miayo hivyo hivyo..
Kwa Taarifa Yako Tanga na Pwani wanataka Mikoa nao,ndio kusema Rais Samia angekuwa anapenda hayo makitu angeshayagawa hayo maeneo kuanzisha Mikoa mipya maana Wana watu wa ku push..
Sasa hayp majengo sio kwamba yapo kwenye mji mdogo kama Bukoba...la asha yapo huko vijijini na majumba na majumba...