The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Iringa ina tofauti gani na Bukoba? Kamji kadogo tumajengo tuchache tumerundikana hapo Mjini kati..Yap...hata mimi huko kusini...mji ninaoukubali ni iringa...ingawa vijijini huko kilolo, sijui iringa vijijini na mufindi ni majanga...kuna umaskini uliotukuka...kidogo mafinga...
IRINGA NI BORA KULIKO MBEYA...unaonekana mji kweli
Acha kulinganisha Mbeya na vitu vya Kijinga..
Mbeya gorofa 1073 vs Iringa 529 ,So usilinganishe Mbeya na vitu vya Kipuuzi 👇
