Nishafatilia na ukweli ni kwamba ... mipango iliyopo ni kuanzishwa Kwa wilaya ya kisesa ,mapendekezo ya RCC mkoa wa mwanza mwezi wa 5. 2021,ikapitishwa na baraza la madiwani la wilaya magu ,na baraza la madiwani wilaya ya misungwi,,Kisha baraza la madiwani la manispaa ya ilemela...
Mwezi wa 8 2021 madiwan wa buchosa walipendekeza kuhamishiwa mkoa wa geita ,kikaitishwa kikao Cha RCC.ikapendekezwa buchosa ipelekwe geita Kwa sharti la kisesa kuwa wilaya..
RCC geita wakati wanajadili kuundwa mkoa wa chato , walipendekeza buchosa ije geita ,na bukombe iende chato ...
.na Kuna proposal ya kuanzishwa wilaya ya sumve kama sio halmashauri...kutoka kwimba ...ambayo itahusisha kata za kanyerere, koromije (misungwi)bugomba , mantare,sumve, bungulwa,nyamatara,bukwimba ,na nyambiti ..
Sent using
Jamii Forums mobile app