Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
kumbe upanuzi wa hiyo barabara yenu ni jambo la lazima asee.Folen tunduma
View attachment 2403511
kumbe upanuzi wa hiyo barabara yenu ni jambo la lazima asee.Folen tunduma
View attachment 2403511
na dar je kwenye uwiano wa makazi umeiangalia acha kuiponda Mwanza tu.Wewe mara nyingi hunaga akili na hata shule ulikuwa kukamilisha vidato tuu..
Mikoa ya Kanda ya Ziwa ina Msongamano mkubwa sana wa watu ni kama mnaishi kwenye zizi badala ya nyumba..
Mfano Kwa Mwanza 3,690,000/868,000 Unapata uwiano wa nyumba moja inakaliwa na watu 4.25 wakati Kwa Mbeya 2,340,000/623,000 Unapata uwiano wa 3.75..
Sasa kwa hesabu hizo wapi wanaishi kwenye makazi ya tembe,tope na kwenye slums?
Tena baadhi ya mikoa yetu uwiano ni mdogo zaidi mfano Njombe tuna 3.1 kumaanisha we live in decent houses.
Dar na Mwanza hakuna tofauti sehemu zote ni horrible life na mnashindia mlo mmja Kwa siku hakuna maji unga Bei juu 😜😜na dar je kwenye uwiano wa makazi umeiangalia acha kuiponda Mwanza tu.
leta hizo report mkuuHalafu takwimu za majengo yanayoendelea na ujenzi mwanza imeipiga chini Hadi dar 😄😄😄😄
Wewe utakuwa unapelekewa moto na popobaya sio bure 👇Njombe mna nini lakini?View attachment 2404340
Fursa pekee, itakayonipeleka NjombeNjombe hakuna tatizo la mbususu,ziko bwerere![]()



TACTIC 26KM + 2KM fedha za mapato ndani ya Manispaaa![]()
Bado kuna soko, stand 2 za bus
Kahama, Kahama, Kahamaa![]()
Kahama inakua sana ,,,,tatizo barabara,,,,,ni wakati wa kurekebisha barabara ya isaka , barabara ya mwime mgodini , barabara ya masaki ,kuwekewa road light barabara ya tabora.....na barabara ya nyasubi kupitia mbulu Hadi mhongolo .maana ni itakuwa bypass ya magari yanayotaka kwenda mwakitolyo Hadi mwanza
TACTIC 26KM + 2KM fedha za mapato ndani ya Manispaaa![]()
Bado kuna soko, stand 2 za bus
Kahama, Kahama, Kahamaa![]()
Kaka wataimaliza Shinyanga, Mkoa umechinjwa sanaKwa baadae kahama nahisi itakuja kumegwa pamoja na maeneo ya tabora kutengeneza mkoa


, Simiyu ingechelewa Kahama ilikuwa inakuwa Mkoa.
Kufika 2025 wataongeza miradi mingine, mahitaji ya barabara Kahama mjini ni zaidi ya KM 70Kahama inakua sana ,,,,tatizo barabara,,,,,ni wakati wa kurekebisha barabara ya isaka , barabara ya mwime mgodini , barabara ya masaki ,kuwekewa road light barabara ya tabora.....na barabara ya nyasubi kupitia mbulu Hadi mhongolo .maana ni itakuwa bypass ya magari yanayotaka kwenda mwakitolyo Hadi mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Fact mkoa wa njombe ukifatilia population projection ya 2019 utaona kwamba Kuna baadhi ya maeneo Yana maeneo makubwa population ndogo Sana ukiangalia ludewa ,makete ,na njombe mji Ni halmashauri zenye maeneo makubwa laki Ni mapori tofauti na njombe DC makambako tc na wangingombe haya maeneo yameubeba mkoa kwa uwingi wa makazi na population zaidi ya nusu ya wakaz wa mkoa wapo halmashauri hizo labda ufunguz wa barabara na mgodi unaweza kuongeza watu tusubir ila kijiografia bado ngumu hayo maeneo Yana milima sanaYaani waliiacha kuigawa tabora yenye watu zaidi ya milioni 3 .wakaenda kugawa iringa ,matokeo yake mkoa mzima wa njombe una watu sawa na wilaya ya sengerema...
Kahama inatakiwa iunganishwe na nzega ,urambo ,ushetu ,na msalala watengeneze mkoa Mpya ..
Sent using Jamii Forums mobile app
TACTIC 26KM + 2KM fedha za mapato ndani ya Manispaaa
Bado kuna soko, stand 2 za bus
Kahama, Kahama, Kahamaa![]()
Kwa hiyo chapisho la sasa halioneshi idadi ya watzn?