Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Buzwagi mgodi umefungwa muda tu, huu sijui mwaka wa ngapi na Kahama inapepea tu.Bloangu madini yanaisha,kama Almasi Mwadui zimeacha mashimo,miti inapandwa tu leo kesho
Buzwagi mgodi umefungwa muda tu, huu sijui mwaka wa ngapi na Kahama inapepea tu.Bloangu madini yanaisha,kama Almasi Mwadui zimeacha mashimo,miti inapandwa tu leo kesho
Kahama kuna ujenzi upi wa maana na wapi pamepangwa?Nipo Tunduma wiki ya pili sasa. Daah Tunduma ni Kama Shunu iliyochangamka tu( Shunu ipo nje kidogo ya mji wa Kahama)
Mji upo hovyo hovyo ujenzi holela sana , uchafu kila sehemu, maji huku ni shida sana. Huu mji sidhani kama kuna viongozi.
Failures mnafarijiana 😁😁.Ni kweli jamaa ni mchekeshaji anatuburudisha sana kwa vituko vyake...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Tukuwekee hapa ili ...sema nikutumie nauli uje nikutembeze ...nauli ya mbeya ni elfu 60 nichek pm
hizo hospital ni hiz na Sina muda wa kutumia picha waweza google
Sekotouere hospital
Bugando hospital
Uhuru hospital
AAR hospital
Tanzanite hospital
Mwanza hospital
Kamanga medics
Agha Khan hospital
Mwananchi hospital
Nyamagana hospital
Hindu Mandal hospital
.ukitaka addition nakupa
Zaidi ya dhahabu hakuna kitu kingine hiyo Mikoa yenu..Halafu Mwanza mbona inataka kuufungua mgodi mkubwa wa dhahabu misungwi mbona hatujitapi unajua Gdp itakayopatikana hapo?
Tajiri wenu Mwazinga kafa.Zaidi ya dhahabu hakuna kitu kingine hiyo Mikoa yenu..
Nimeoridhesha Orodha ya migodi mipya ambayo iko mbioni kufunguliwa Mbeya,migodi iliyokuwa imesimama ikafufuliwa na migodi inayopanuliwa ujenzi sanjali na vinu vya Kuzalisha umeme..
Vyote hivyo vikiwa operational mtatukuta wapi nyie mnaotegemea dagaa na dhahabu tuu?
Hata hiyo dhahabu iko Chunya na Mbarali,Soko la dhahabu la Chunya ni namba 2 Tanzania kwa mapato ya dhahabu..
Hakuna kitu Mwanza watakuwa nacho Mbeya ikakosa.
Nipo Tunduma wiki ya pili sasa. Daah Tunduma ni Kama Shunu iliyochangamka tu( Shunu ipo nje kidogo ya mji wa Kahama)
Mji upo hovyo hovyo ujenzi holela sana , uchafu kila sehemu, maji huku ni shida sana. Huu mji sidhani kama kuna viongozi.


.shunu hongwa Sangara mnazo ??Zaidi ya dhahabu hakuna kitu kingine hiyo Mikoa yenu..
Nimeoridhesha Orodha ya migodi mipya ambayo iko mbioni kufunguliwa Mbeya,migodi iliyokuwa imesimama ikafufuliwa na migodi inayopanuliwa ujenzi sanjali na vinu vya Kuzalisha umeme..
Vyote hivyo vikiwa operational mtatukuta wapi nyie mnaotegemea dagaa na dhahabu tuu?
Hata hiyo dhahabu iko Chunya na Mbarali,Soko la dhahabu la Chunya ni namba 2 Tanzania kwa mapato ya dhahabu..
Hakuna kitu Mwanza watakuwa nacho Mbeya ikakosa.

Mwaka Jana mwanza iliongoza ...tunaifukuzia dar ....,,,na soon TCRA wanaenda kujenga kiwanda Cha Simu pale nyamhongolo.....it's gonna be a silicon valley of TanzaniaIlipo Mwanza lazima Mbeya ipo![]()
😁😁😁😁😁 Eti silicon valleyMwaka Jana mwanza iliongoza ...tunaifukuzia dar ....,,,na soon TCRA wanaenda kujenga kiwanda Cha Simu pale nyamhongolo.....it's gonna be a silicon valley of Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndegesela si amefilisika ..au anataka ahamie mwanza ..maana huku kahama biashara zake haziendiNawakumbusha tu mwekezaji wa Royal hospital ya Mwanza ni akina Ndegesela wa Kahama, wenye kiwanda cha magunia, mabati, ginery, phamarcy na kiwanda cha mikate pale kahama
Mwaka huu utajinyonga ... imagine kiwanda kikikamilika itakuwaje..Eti silicon valley
Royal supermarket ipo mzee! NaHuyu ndegesela si amefilisika ..au anataka ahamie mwanza ..maana huku kahama biashara zake haziendi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo kahama now ...Royal supermarket ipo mzee! Na
Royal pharmacy ipo inapiga kazi! fika ujionee!
Sawa! Anaweza kubwa mnaona katetereka Labda amebadirisha model ya biashara! Maana Mzee Ndegesela alishakabidhi shughuli zake kwa mdogo wake Shija ambaye ni msomi wa shahada ya uchumi!
Sawa! Anaweza kubwa mnaona katetereka Labda amebadirisha model ya biashara! Maana Mzee Ndegesela alishakabidhi shughuli zake kwa mdogo wake Shija ambaye ni msomi wa shahada ya uchumi!
Ndo maana unaona jamaa Royal company inajipanua sana!
Ila sijajua vizuri kama Royal hospital ya mwanza iko chini ya Ndegesela!Yes Ndegesela aliachia miradi na kampuni kwa mdogo wake, ambao ukumbuke ginery yao hizalisha mafuta ya kula na kuiuzia WFP sudani kusini ambako wana tenda mbalimbali za mafuta ya kula
Mwanza inakimbizana na DarIlipo Mwanza lazima Mbeya ipo 👇