Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Unajifanya huoni 1790
Hvyo 1790 kategory yake ni mtaji wa milion 5 + ..washona cherehani ,mashine za kukoboa mpunga ,
PSX_20221023_074021.jpg
 
Kwa Viwanda Mwanza ilishaiacha Mbeya miaka mingi sana, pombe kali aina ya hansonchoice ya Shinyanga inauzwa mbeya breakpoint na chupa zao ni mfano wa chupa za K vant, yaani chupa za glass wakati hao Wa pombe ya master waliopo sido ndio wanajikongoja kuachana na chupa za plastick halafu spirit yao mbovu ladha ya nanasi inawasha koo muda wote ukiinywa
 
SBL mwanza wananunua mtama mwekundu wa kuanzia dodoma, singida, tabora, TBL Mwanza, kiwanda cha madawa ya binadamu mwanza, kiwanda cha bidhaa za plastick mwanza, kiwanda cha viatu cha wachina mwanza, kiwanda cha Patel cha nondo, viwanda mwanza ni vingi
 
Japo napenda ligi yenu lakini tusiishie kusifia mali za watu wengine huu ushindani utupeleke tukaribishane kila mmoja kwao alipo tuone uwekezaji wake ni upi na wengine wajifunze haina maana kupost na kusifia tu vitu vya wengine tujiongeze na kujenga urafiki wa maendeleo na kupeana fursa mpya na zilizopo na tufanye mambo halali tulipe kodi nchi isonge mbele
 
Leta figure za viwanda vikubwa na vya kati maana ndo vinagusa uchumi Moja Kwa Moja na ni alama ya kivutio Cha uwekezaji katika mkoa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂.

Sera ya Nchi ni kukuza viwanda vidogo na vya Kati..

Unajifanya huoni 1790 si ndio? 😜😜.

Na bado 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-081113.png
    Screenshot_20221023-081113.png
    69.9 KB · Views: 7
Ko figure huzioni au .tatizo watu wa ludewa akili zenu FUPI kama mlivyo ... tembea tembea bas utoe ushamba... shinyanga Kuna viwanda Gani sasa au hujisomi ..mwanza Ina space za kutosha za viwanda na maeneo ya EPZ ...Kuna nyamhongolo, kisesa, Usagara, buhongwa.kote ni space na tambalale
Figures zilizopo na nazoziona ni 1790 Mbeya vs 92 ya Mwanza 😂😂😂😂
 
Wewe mara nyingi huwa nakwambia huna akili,mwenzio amekusaidia hapo Chini..

Seems wewe hata Mbeya huijui aisee walau mwenzio katembea tembea kidogo maana maswali yako ni ya Kijinga..

Sasa unadhani GDP ya 9Trn inatoka hewani au?
Wewe ndio hauna akili kabisa, Leta data inayoonyesha Mbeya ina viwanda vingi kuliko Mwanza, Wewe ndio haujafika sehemu yoyote, Mbeya nimefika na sehemu zozote unazobishania nazijua kwa undani iwe mitaa au sehemu yoyote sema Mbeya sikutembea sana ila kwa ile CBD ya Mbeya huwezi fananisha na Mwanza...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio hauna akili kabisa, Leta data inayoonyesha Mbeya ina viwanda vingi kuliko Mwanza, Wewe ndio haujafika sehemu yoyote, Mbeya nimefika na sehemu zozote unazobishania nazijua kwa undani iwe mitaa au sehemu yoyote sema Mbeya sikutembea sana ila kwa ile CBD ya Mbeya huwezi fananisha na Mwanza...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
😂😂 Soma hiyoo 👇
 

Attachments

  • PSX_20221023_073931.jpg
    PSX_20221023_073931.jpg
    65.9 KB · Views: 5
Japo napenda ligi yenu lakini tusiishie kusifia mali za watu wengine huu ushindani utupeleke tukaribishane kila mmoja kwao alipo tuone uwekezaji wake ni upi na wengine wajifunze haina maana kupost na kusifia tu vitu vya wengine tujiongeze na kujenga urafiki wa maendeleo na kupeana fursa mpya na zilizopo na tufanye mambo halali tulipe kodi nchi isonge mbele
Sasa kama hatuwekezi tunaishije? Nipe Kazi mimi ni contractor na kampuni yangu inaitwa Usagatikwa Earthworks Contractors ltd..👇
 

Attachments

  • IMG_20220929_144708_424.jpg
    IMG_20220929_144708_424.jpg
    1.7 MB · Views: 5
  • 5rre2p.jpg
    5rre2p.jpg
    92.1 KB · Views: 7
  • IMG_20220929_142804_716.jpg
    IMG_20220929_142804_716.jpg
    2.1 MB · Views: 7
Basi haviwezi kufikia 1790 ..

Eti Mwanza ina Hospital 11 wakati mlishindwa kuziweka hapa
Tukuwekee hapa ili ...sema nikutumie nauli uje nikutembeze ...nauli ya mbeya ni elfu 60 nichek pm
hizo hospital ni hiz na Sina muda wa kutumia picha waweza google

Sekotouere hospital
Bugando hospital
Uhuru hospital
AAR hospital
Tanzanite hospital
Mwanza hospital
Kamanga medics
Agha Khan hospital
Mwananchi hospital
Nyamagana hospital
Hindu Mandal hospital
.ukitaka addition nakupa
 
Kati ya hivyo viwanda 10 ni vikubwa ..
Kwenye Orodha Hivi hapa havikuwepo,hivi ni viwanda vipya ukiacha hicho Cha malumalu.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-083402.png
    Screenshot_20221023-083402.png
    125.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221023-083344.png
    Screenshot_20221023-083344.png
    143.7 KB · Views: 7
  • Screenshot_20221023-083324.png
    Screenshot_20221023-083324.png
    145.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221023-083313.png
    Screenshot_20221023-083313.png
    146.3 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221023-083300.png
    Screenshot_20221023-083300.png
    126.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221020-115341.png
    Screenshot_20221020-115341.png
    157.6 KB · Views: 7
Kwa Viwanda Mwanza ilishaiacha Mbeya miaka mingi sana, pombe kali aina ya hansonchoice ya Shinyanga inauzwa mbeya breakpoint na chupa zao ni mfano wa chupa za K vant, yaani chupa za glass wakati hao Wa pombe ya master waliopo sido ndio wanajikongoja kuachana na chupa za plastick halafu spirit yao mbovu ladha ya nanasi inawasha koo muda wote ukiinywa
Tunazungumzia Mwanza unataja Shinyanga 😁😁.

Soma hapa 👇
 

Attachments

  • PSX_20221023_073931.jpg
    PSX_20221023_073931.jpg
    65.9 KB · Views: 7
Back
Top Bottom