Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

ukisema kijiji cha Mbeya kina CBD nne basi Mwanza itakuwa na Cbd sita na kwenye hizo cbd sita za mwanza cbd ya mbeya haiwezi kuzidi hizo ata miaka 10 ijayo.
Hata mkiwa nazo 100 ila inajulikana moja tuu ya hapo Mjini..

Mbeya ofisi ziko city centre kama posta na biashara ziko Mwanjelwa kama Kariakoo Dar.
 
Wewe ndio kimba kabisa ,hizo unasosema naokoteza ziko CBD na Nimekwambia Mbeya ni kama.Dar ina CBD nzuri.
Usifananishe dar na upuuzi...mwanjelwa ipi unayoifananisha na kariakoo.hii au
images (34).jpg
images (37).jpg
images (38).jpg
 
Back
Top Bottom