Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Michezo ya Njombe
hiyo hiyo
Michezo ya Njombe
hiyo hiyoKwa ajili ya nini hasa? Tupe tafiti inayoonyesha hiyo 30% contribution vinginevyo ni porojo za kujifariji.Daraja la kigongo busisi likiisha na kuanza kazi mwanza itakuwa kiuchumi sana zaid ya asilimia 30 malori mengi sana yatapita mwanza hapo bado sijazungumzia reli ikiisha na meli ya mv mwanza hapa kazi tu yan kiukweli geographical location ya mwanza inaibeba sana aisee
Usichanganye Songwe airport na Songwe mkoa,Songwe Airport Iko mbeyaSongwe ni Mbeya...?! hata hivyo Airport ya huko haina Flight nyingi kama ya Mwanza...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yaani wewe uelewe GDP halafu mimi nisielewe...?! hata ikirudishwa Mbeya haisogei, Li Mbeya ni li kubwa lakini hakuna kitu hebu jiulize kutoka Mbeya Mjini hadi Rungwe ni kama km 298 eti bado hiyo ni Mbeya...Jamaa umeongea kiunyonge Sana.
Ukielewa maana ya GDP ndio utajua kuna Nini?..
Rudisheni GDP ya Busega Simiyu Ili tupunguze figures ya Mwanza.
Unaropokaga tuu wewe hujawahi kuwa na akili 😁😁..Yaani wewe uelewe GDP halafu mimi nisielewe...?! hata ikirudishwa Mbeya haisogei, Li Mbeya ni li kubwa lakini hakuna kitu hebu jiulize kutoka Mbeya Mjini hadi Rungwe ni kama km 298 eti bado hiyo ni Mbeya...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
We bwana Kichaa, nilikuwa Mbeya nikaona Rungwa Km 298Unaropokaga tuu wewe hujawahi kuwa na akili..
Mbeya-Kyela km 120 hiyo km 298 ya Rungwe umeitoa wapi?

..hata haters hawakubaliani kuwa mbeya ni jiji kubwa



...hapo hizo terminal hazikamilika vizuri
Mbeya ya kwenye k yako labda ndio ina huo umbali.We bwana Kichaa, nilikuwa Mbeya nikaona Rungwa Km 298
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Tunajuaje kama ni wewe mwenyewe huko Twitter je?Vile stendi ya nyegezi haijakamilika vizuri.huko mtandaonj haters washapagawa ....hata haters hawakubaliani kuwa mbeya ni jiji kubwa
...hapo hizo terminal hazikamilika vizuri View attachment 2381797
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Excuse as normalTunajuaje kama ni wewe mwenyewe huko Twitter je?
Wewe ni mkun...Mbeya ya kwenye k yako labda ndio ina huo umbali.
Wilaya gani hiyo ambayo ilikua Mwanza ikapelekwa Simiyu na ina figures Nyingi za kuiondoa Mwanza namba 2Toa utoto wako,hiyo Shinyanga iko namba 4 ni kwa sababu ndani kuna Simiyu..
Hata figure ya Mwanza sio sahihi kwa sababu Kuna mojawapo ya Wilaya ya Simiyu imehesabiwa upande wa Mwanza..
Baada ya Break through Top 10 kwa Kanda ya Ziwa kutakuwa na Mwanza na Geita tuu..
So starategic infrastructure zitakuja tuu kwa sababu tuna kila aina ya fursa,subiria migodi mikubwa ya Songwe na Rukwa ianze kutema madini.
Sasa Busega ilikua na mchango gani kwa Mwanza coz hiyo ilikua sehem ya Magu kama sikosei, Magu inamchango kidogo sana kwa MwanzaBusega
Acha kukurupuka,nani kasema Kuiondoa Mwanza namba 2?Wilaya gani hiyo ambayo ilikua Mwanza ikapelekwa Simiyu na ina figures Nyingi za kuiondoa Mwanza namba 2
Ww ni Zwazwa kwelAcha kukurupuka,nani kasema Kuiondoa Mwanza namba 2?
Nasema kuipunguzia figures zake.
Sorry to say this office building is Ugly and dirty..😁😁Wakati kusini mkisubiri ruzuku ndio mjenge miradi yenu huku hatuna huo muda .. mapato ya ndani yanatosheleza Kila kitu ...kahama ni republicView attachment 2383024
Sorry to say this office building is Ugly and dirty..
Kahama mnatia aibu Sana kiukweli yaani hilo ndio jengo la Manispaa?
Fananisha Njombe TC DED Office![]()





..hyo ofisi Ina tofauti Gani na high school ya tambaza pale dar es salaam