The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Umeanza kuongea upuuzi,swala la ndege ya mizigo kuweka hub KIA linazuia vipi uwanja wa Songwe kutumika?Unachekesha sanaaa, tayari ndege mpya ya mizigo B767 Frighter kituo chake kikuu itakuwa ni KIA kwa mujibu wa wazara ya miundo mbinu na usafirishaji, yaani huko msubiri mpaka sugu awe Raisi.
Uwanja Haujakamikika na Wala haujawa certified kwa ndege za Kimataifa afu unaongea pumba,mda ukifika itakuwa hivyo..
Mbeya ina GDP ya 3 Kwa Tanzania ni obvious itakuwa busy tuu siku za usoni.


....Baki na takwimu zenu