Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Acha porojo wewe,pale Geita ukitoa GGM hakuna kitu pale..
Hapo Mwanza hata pawe diversified kiasi Gani ila ukweli ni kwamba huko tuendako mtakalishwa tuu..
Mwanza na Kilimo wapi na wapi na eneo mnalo dogo? Misitu hamna,madini ni dhahabu tuu hapo Sengerema..
Fanyeni ku enjoy saizi ila nitahesabu Miaka 20 kuanzia 2026 nione kama Mwanza na Lake Zone yote hamfunikwi na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini by 2046 tukiwa hai.





....mpaka 2046 mwanza si ishakuwa nchi nyingine kabisa ....Unapofanya future projection lazima uzingatie vitu vitatu.. sustainability, strategies na potentiality..ukitaka kuelewa hayo maneno nenda shule ukasome kwanza....
Kaangalie leading exporter wa mazao haya ndo uje usemee mwanza na kilimo wapi na wapi

pamba,dengu,choroko ,
Unasema geita ukitoa GGM inabaki na nini inanbaki na hvi

Wilaya zote Zina migodi ya dhahabu
kilimo Cha mpunga na matunda
Uvuvi wa samaki
Misitu
Utalii wa hifadhi za taifa
Transportation corridor ya maziwa makuu
biashara mji wa katoro toka Uganda
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app



