Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Abiria mia sita kama lecture theater ya chuoHaters wa Mbeya wanataka Uwanja wa Kimataifa wa Songwe uanze kutumika wakati haujakamilika.
Ujenzi unaendelea![]()



Abiria mia sita kama lecture theater ya chuoHaters wa Mbeya wanataka Uwanja wa Kimataifa wa Songwe uanze kutumika wakati haujakamilika.
Ujenzi unaendelea![]()



Tuwekee hapa uwezo wa jengo la abiria la Mwanza.Abiria mia sita kama lecture theater ya chuo![]()
Sasa Hilo ni jengo la abiria au supermarket ya Mangi? 😂😂..kijengo kama manispaa ya kahama ...na hili je likikamilika Tena hili ni la muda tu wakati wakijiandaa kujenga lingine
View attachment 2383874
Acha kufananisha mwanza airport na uchafu wako .... yaani hicho kijengo mnachojengewa ni sawa na terminal iliyopo sa hv...Sasa Hilo ni jengo la abiria au supermarket ya Mangi?..
Tunazungumza vitu vilivyopo wewe unaleta hadithi za kwenye makaratasi eti wakijiandaa..
Tuwe capacity ya hilo soko unaloita passager terminal.
Kama kiingereza huelewi nichek PM nikupe tafsiriAcha kufananisha mwanza airport na uchafu wako .... yaani hicho kijengo mnachojengewa ni sawa na terminal iliyopo sa hv...
Mwanza wanajengewa terminal 1 yenye capacity ya watu 400000 Kwa mwaka .sawa na abiria 1100 Kwa siku ..View attachment 2383906

In addition.the third busiest airports in TanzaniaMwanza airport ndo Ina runway ndefu kuliko airport zote.siku nyingine usirudie kulinganisha mwanza na utopolo wakoView attachment 2383913
Manispaa ya Mchongo ya Kahama Kamwe haiwezi kuja kupata stand kali kama hii ya Njombe![]()




hiyo ni stendi au uwanja wa shule 

Maskini Kahama,pole ndio hivyo vumilia.hiyo ni stendi au uwanja wa shule
![]()
Kitu poa kutoka Mbeya 👇In addition.the third busiest airports in Tanzania
Imagine Bukoba sasa Kuna ujenzi wa Tawi la chuo kikuu UDSM...Chuo cha NIT...chuo cha Nelson Mandela....Habari njema Kwa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini hii![]()
Sasa hivi Vyuo si ndio vitawaongezea white color job syndrome?Imagine Bukoba sasa Kuna ujenzi wa Tawi la chuo kikuu UDSM...Chuo cha NIT...chuo cha Nelson Mandela....
Bukoba port inapanuliwa upya...
Ujenzi wa uwanja wa kaitaba majukwa mapya...
Uwanja wa ndege unafungwa taa za usiku...
Bukoba kuna high school ya mfano tz nzima...
Na kesho wanafungua chuo cha veta cha mfano Tz nzima....
VETA Kagera...View attachment 2385143View attachment 2385144View attachment 2385145View attachment 2385146View attachment 2385147View attachment 2385148View attachment 2385149
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hiki ni kitu kizito kichwaniIn addition.the third busiest airports in Tanzania



Kakijiji kakubwaMahakama kuu Kanda ya Mbeya![]()
Mtu wa Kenya ucheke Tz kuna slums? Wakati Africa nzima kuna slums sio kitu cha ajabuKo mzee baba ulitaka kama ni ukweli miji ya Tzn haijangika na ukuaji wake ni wa ki slums slums niseme Google ya mzungu haitambui wakati kila mtu anaona![]()
Sawa..hiv manispaa ndogo kama Bukoba ikipata vyuo vikuu si watu wataongezeka? Sehemu ikishakua na vyuo fursa zitakuwa nyingi eneo hilo...hiv mfano Morogoro ukitoa vyuo kunabaki nini pale...Sasa hivi Vyuo si ndio vitawaongezea white color job syndrome?
Vyuo vitakuja kwa sababu mnapenda kusoma ila haitaondoa umaskini huko kwenu Kwa sababu wote mtajifanya Wasomi hakuna atakayernda kwenye extractive sectors..
Mngekuwa na Kipato Cha Kati sijui Cha juu how comes mnaongoza kwa umaskini?Sawa..hiv manispaa ndogo kama Bukoba ikipata vyuo vikuu si watu wataongezeka? Sehemu ikishakua na vyuo fursa zitakuwa nyingi eneo hilo...hiv mfano Morogoro ukitoa vyuo kunabaki nini pale...
Halafu acha akili za ajabu..na kukalili..jamii ya wahaya ni moja ya jamii yenye watu wengi wenye kipato cha kati na cha juu nchini...na hii yote sababu ya elimu unayoidharau...
Mkoa wao utaendelea vzr kama Serikali itaendelea kuwekeza kama inavyofanya sasa...
Sasa yale madini ya nickel yakianza kuchimbwa sio mkoa utakuwa top 5 kabisa...
Unasema white collar jobs..
Vip kuhusu hiki chuo kikubwa cha veta nchini...au hujakionaView attachment 2385435View attachment 2385436View attachment 2385437View attachment 2385438View attachment 2385439View attachment 2385440View attachment 2385441
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwan wahaya ndo wanaongoza kwa umaskini...au mkoa ndo maskini?Mngekuwa na Kipato Cha Kati sijui Cha juu how comes mnaongoza kwa umaskini?
Vyuo vitasidi kuwaongezea ugonjwa wa white color job syndrome na hivyo hamuwezi kufanya Kazi zaidi ya kusubiria ajira na Kujifanya Wasomi maneno meeengi..