Nenda Google tafuta submarine hotel ina gorofa 5 huwezi kuiona kwa hizo video ulizoweka kwa sababu kila mchukua video huwa na interest zake kwani hotel hio iko pembeni na mji sio rahisi kupata video yake kwa hao wanaochukua picha barabaraniWeka hapa,video nimekuwekea weka jengo hata moja la ghorofa 4 hapa.
Jamani hii stand🥰🥰Hamna kitu haponyegezi terminal shopping complex
maumivu ni makali mno kkwa wanapaluhengo
View attachment 2378243View attachment 2378244
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ukubwa wa eneo Airport ya Mwanza ni ya 2 baada ya Airport ya DarMbeya kumetengwa 😁😁.
Wakati airport ya Mwanza ikijengwa chini ya kiwango,Songwe airport inazidi kupata hadhi stahiki👇
Tunaweka rekodi na kuvunja wenyewwe jamaa hujielewi ..jiji pekee lenye stendi mbili za kisasa ni mwanza tu hamna kwingine..mbeya Kwa ukubwa Gani wa kuwa na stendi mbili labda bajaji
nyegezi terminal vs nyamhongolo View attachment 2378274View attachment 2378275View attachment 2378276View attachment 2378277View attachment 2378278
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ona ulivyo kiazi,Tactic iko Nchi nzima sasa sijui unawezaje kusema mtafairika zaidi..We tulia miradi ya tactic ianze tuone wapi watafidika zaidi na hii miradi, nyie endeleeni kupewa mita kadhaa sisi tukiwaza too far juu ya miradi mikubwa, hapo mlipo sisi tulishatoka miaka 20 iliyopita😅😅😅
Ona hili taahira 😆😆😆😆.Songwe ni Mbeya...?! hata hivyo Airport ya huko haina Flight nyingi kama ya Mwanza...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nionyeshe huruma ilipo na mimi nikuonueshe zile nyumba zenu za kisasa 😂😂Kwa kweli mbeya wanatia huruma ..imagine hapa ni mjini ...e..View attachment 2378287
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wivu 😁😁.Ana leta tumiradi twa mitaa eti tubarabara twa mita tatu, wakatati watu wanamiradi ya barabara zaidi ya 15km🤣🤣🤣

Yaani hii ndio barabara watu wa Kagera wanafanya sherehe licha ya kupauka na kujaa mavumbi hivyo? 😆😆😆😆..
Nimeamini Kusini Kumetengwa 😂😂..
Barabra ya Biharamulo vs Nanyumbu 👇
Tunaongelea uwanja wa Ndege kwanza, mbina unatuhamisha????


nilijuaga songwe ni international airport kumbe ni minor airport nimeona juzi kwenye tovuti ya TAA .ndo nilikuwa amazed international airport Gani haina hata flight za kwenye jirani hapo lilongwe.au bas hata ATCL ikawa na flight za Kila siku .hamna kitu ,,, flight zake ni sawa na za bukoba airport 


Pole Sana..Unataka international flight kabla ya kukidhi vigezo na kupata certification zinazotakiwa?nilijuaga songwe ni international airport kumbe ni minor airport nimeona juzi kwenye tovuti ya TAA .ndo nilikuwa amazed international airport Gani haina hata flight za kwenye jirani hapo lilongwe.au bas hata ATCL ikawa na flight za Kila siku .hamna kitu ,,, flight zake ni sawa na za bukoba airport
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Unachekesha sanaaa, tayari ndege mpya ya mizigo B767 Frighter kituo chake kikuu itakuwa ni KIA kwa mujibu wa wazara ya miundo mbinu na usafirishaji, yaani huko msubiri mpaka sugu awe Raisi.Pole Sana..Unataka international flight kabla ya kukidhi vigezo na kupata certification zinazotakiwa?
Songwe International Airport imekuwa ikididimizwa miaka mingi toka Alivyoondoka Mwandosya..
Kwa sasa tunategemea ipewe clearance ya ndege za Kimataifa baada ya kufungwa taa ,rader,kuletwa vifaa vya Zima moto na uokozi,kukamilishwa kwa njia za kurukia ndege nk..
Na kwa taarifa yako huu utakuwa uwanja maalumu kwa ajili ya ndege za mizigo so just wait mda utasema.
Usilinganishe Bukoba airport na sijui songwe ni mbingu na ardhi..nilijuaga songwe ni international airport kumbe ni minor airport nimeona juzi kwenye tovuti ya TAA .ndo nilikuwa amazed international airport Gani haina hata flight za kwenye jirani hapo lilongwe.au bas hata ATCL ikawa na flight za Kila siku .hamna kitu ,,, flight zake ni sawa na za bukoba airport
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app