Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Attachments

  • 20220805_191713.jpg
    20220805_191713.jpg
    87.4 KB · Views: 10
  • 20220805_190820.jpg
    20220805_190820.jpg
    259 KB · Views: 13
Ile ni hospital binafsi wewe kenge sio ya serikali..

Hata kwa level za serikali huwezi pata wodi kali kama hii hapa huko Mwanza
hospital imezungukwa na uchafu wa vijumba hata miti hamna na ni hospital ya rufaa
Hospital zinapaswa kuwa hvi
1662484428889.jpg
20220913_215340.jpg
 

Attachments

  • 1662743780206.jpg
    1662743780206.jpg
    45.8 KB · Views: 12

Attachments

  • Screenshot_20220918-110817.png
    Screenshot_20220918-110817.png
    102.2 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220918-110754.png
    Screenshot_20220918-110754.png
    47.8 KB · Views: 10
ndio maana inaitwa kituo Cha afya . hospital ya aghakhan Ni hii
81735353bcdf0ab213c9e60960d07991.jpg
 
ndio maana inaitwa kituo Cha afya . hospital ya aghakhan Ni hii
View attachment 2360487
Sunk cost Fallacy huwa unajihangaisha tu! Yaani mbeya yako hata mtoto mdogo anakukatalia haina hadhi ya Mwanza hata nusu! Kwa watu wa Mbeya pia hawawezi kuifikia hardworking ya watu wa kanda ya ziwa!
Location pia ya mwanza ni potential kwa investment kuja kuliko huko Mbeya!
Yaani Mbeya hadi sasa stend ni kama ya daladala hapo mwanjelwa ni maduka ya kawaida tu na soko mzunguko wake mdogo!
Ukielekea barabara ya kwenda Mbalizi-tunduma majumba takribani yote ni tope hakuna mpangilia wala ujenzi wa kuvutia kama vituo vya mafuta na kadharika!
Kwa ujumla huyu bwana anachuki tu na mwanza na kwa taarifa yake huku kanda ya ziwa kila kijiji na miji watu wanajenga sana!
Kama kipindi cha nyuma hususani wasukuma walikiwa hawajengi nyumba bado hamkuwapita kwa lolote je kwa sasa mtaweza?
Usiumize roho bwana Sunk mwanza haizuiriki kutokana na watu wake kutotegemea Mbeleko ya serkali hata siku moja!
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-113910.png
    Screenshot_20220918-113910.png
    149.2 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220918-113901.png
    Screenshot_20220918-113901.png
    173.8 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220918-113851.png
    Screenshot_20220918-113851.png
    182.7 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220918-113846.png
    Screenshot_20220918-113846.png
    273.3 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220918-113840.png
    Screenshot_20220918-113840.png
    289.2 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220918-113832.png
    Screenshot_20220918-113832.png
    231.9 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220918-113745.png
    Screenshot_20220918-113745.png
    44.7 KB · Views: 12
Another Private Hospital in Mbeya City..

Uwata Hospital-Mbeya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-111234.png
    Screenshot_20220918-111234.png
    228.8 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220918-111223.png
    Screenshot_20220918-111223.png
    225.7 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220918-111219.png
    Screenshot_20220918-111219.png
    129.4 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220918-111240.png
    Screenshot_20220918-111240.png
    85.3 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220918-111228.png
    Screenshot_20220918-111228.png
    118.1 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220918-111325.png
    Screenshot_20220918-111325.png
    70.1 KB · Views: 12
Sunk cost Fallacy huwa unajihangaisha tu! Yaani mbeya yako hata mtoto mdogo anakukatalia haina hadhi ya Mwanza hata nusu! Kwa watu wa Mbeya pia hawawezi kuifikia hardworking ya watu wa kanda ya ziwa!
Location pia ya mwanza ni potential kwa investment kuja kuliko huko Mbeya!
Yaani Mbeya hadi sasa stend ni kama ya daladala hapo mwanjelwa ni maduka ya kawaida tu na soko mzunguko wake mdogo!
Ukielekea barabara ya kwenda Mbalizi-tunduma majumba takribani yote ni tope hakuna mpangilia wala ujenzi wa kuvutia kama vituo vya mafuta na kadharika!
Kwa ujumla huyu bwana anachuki tu na mwanza na kwa taarifa yake huku kanda ya ziwa kila kijiji na miji watu wanajenga sana!
Kama kipindi cha nyuma hususani wasukuma walikiwa hawajengi nyumba bado hamkuwapita kwa lolote je kwa sasa mtaweza?
Usiumize roho bwana Sunk mwanza haizuiriki kutokana na watu wake kutotegemea Mbeleko ya serkali hata siku moja!
Mbeya inaizidi Mwanza almost kwa kila kitu kuanzia huduma za jamii kama Elimu hadi Afya kwa maana ya Hospitals..Mwanza size yake ni Mbeya maana huko kwingine mnatia aibu..

Mbeya is third kwa GDP hapa Tanzania sasa sijui una nini kingine Cha kusema.

Anyway turudi kwenye mada,Hospitali ya Mkoa wa Mbeya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-110003.png
    Screenshot_20220918-110003.png
    51.2 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220918-110107.png
    Screenshot_20220918-110107.png
    210 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220918-110249.png
    Screenshot_20220918-110249.png
    245.5 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220918-110218.png
    Screenshot_20220918-110218.png
    232.2 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220918-110056.png
    Screenshot_20220918-110056.png
    249.7 KB · Views: 10
  • mbarara-260x145.png
    mbarara-260x145.png
    19 KB · Views: 13
Kusini kumetengwa kumejaa mavumbi 😂😂😂😂..

Ujenzi wa barabara ya Ntendo/Sumbawanga-Kilyamatundu/Kamsamba ukiendelea.

Barabara Hii itaunganisha Mkoa wa Rukwa na Mikoa ya Songwe na Katavi kupitia Bonde la Ziwa Rukwa 👇
 

Attachments

  • IMG_20220918_121003_930.jpg
    IMG_20220918_121003_930.jpg
    616.8 KB · Views: 11
  • IMG_20220918_121953_630.jpg
    IMG_20220918_121953_630.jpg
    706.5 KB · Views: 13
  • IMG_20220918_121950_104.jpg
    IMG_20220918_121950_104.jpg
    817 KB · Views: 11
  • IMG_20220918_130159_873.jpg
    IMG_20220918_130159_873.jpg
    830.5 KB · Views: 11
  • IMG_20220918_130131_969.jpg
    IMG_20220918_130131_969.jpg
    718.4 KB · Views: 12
  • IMG_20220918_121852_082.jpg
    IMG_20220918_121852_082.jpg
    404.4 KB · Views: 12
Kama Mkoa wako hauko kwenye list ya 5G Tunaomba mtupishe, nadhani watu wa Kahama tumeelewana.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-160138.png
    Screenshot_20220918-160138.png
    55.3 KB · Views: 16
Nje ya mada kidogo,naomba nikuulize,kati ya tunduma na mafinga ni mji gani mkubwa kwa eneo,wingi wa watu na upi una fursa nyingi kiuchumi?
Nataka nikuongezee utofauti mwingine Ni mafinga asilimia kubwa pale wanategemea misitu ndo maana viwanda vya product za misitu vipo vingi Sana na vimefunguliwa na wachina Hali hiyo Ni sawa na iliyopo Kwa Sasa mji mdogo wa mtwango ambao Kuna baadhi ya wawekezaji wametoka mafinga na kuhamia mji mdogo huu maana una fursa sawa na mafinga unapatikana barabara ya makambako to njombe kutoka makambako Ni km 24 ingawa kimakazi nyumba zimeungana Ni sehemu ambayo Kwa Sasa inaibuka Sana Kwa viwanda vya bidhaa za misitu na ndio imepelekea njombe DC mapato ya ndani kukua zaidi ko Kama una unaenda hizo sehemu ujue mbao, nguzo,no ndo biashara zao kubwa tofauti na tunduma kule Ni mpakani biashara Ni mchanganyiko na population Ni kubwa tofauti na mafinga nimekupa tofauti hizi nimefanya biashara miji hii yote miwili na mzunguko wa pesa tunduma Ni mkubwa sana
 
Mbeya inaizidi Mwanza almost kwa kila kitu kuanzia huduma za jamii kama Elimu hadi Afya kwa maana ya Hospitals..Mwanza size yake ni Mbeya maana huko kwingine mnatia aibu..

Mbeya is third kwa GDP hapa Tanzania sasa sijui una nini kingine Cha kusema.

Anyway turudi kwenye mada,Hospitali ya Mkoa wa Mbeya
Acha uongo, Mbeya anazidiwa hadi na Iringa...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom