Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mwalimu thiso ๐Ÿ™๐Ÿ™.

Njombe-Dom ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220915-122829.png
    Screenshot_20220915-122829.png
    240.8 KB · Views: 16
Abood hiyooo na chuma mpya na route Mpya..Kahama hakuna wateja ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Dar-Moro-Njombe.

Dar-Moro-BK๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220916-123909.png
    Screenshot_20220916-123909.png
    148.2 KB · Views: 16
Soon route Mpya inazinduliwa,chuma kali za Royal Luxury.

Dar-Mbeya-Lusaka ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220916-125009.png
    Screenshot_20220916-125009.png
    125.4 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220916-123713.png
    Screenshot_20220916-123713.png
    148.8 KB · Views: 14
Abood ameamua apeleke bus zake Bukoba?

Hasilete chakavu chakavu kama zile zake za mwanza...

Halafu ukisikia bus ya bukoba hujue zitapita kahama tu..
Huko mtaletewa magarasa,mpya zitaenda Njombe route fupi,huwa hataki shida..

Anakimbia SGR Effect ila angekuwa na akili angeweka route ya Mbeya-Kahama,Mbeya-Musoma via Lamadi na Sumbawanga to Dodoma..

SGR italeta mabus mapya mengi Sana Mkoani.
 
Hii ndo green city tunayoambiwa Kila siku ..si bora hata singida Pako green...mji ni vumbi uswahili mtupu ...
Aisee mbeya mna suburbs mbaya kuliko majiji yote ...
Mbalizi
1663421584422.jpg
1663421601493.jpg
1663421601493.jpg
1663421623083.jpg
 
Hii ndo green city tunayoambiwa Kila siku ..si bora hata singida Pako green...mji ni vumbi uswahili mtupu ...
Aisee mbeya mna suburbs mbaya kuliko majiji yote ...
Mbalizi View attachment 2359866View attachment 2359867View attachment 2359868View attachment 2359870
Kwa hiyo umechagua pale pabaya unapopenda wewe Ili kuja kuwadanganya mazuzu wenzio si ndio? ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†..

Kwa nini usiende kupiga picha Tazara au VETA Ikulu nk?

Kama hutojali tuletee na picha za mabatini Mwanza ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Kama hutojali naomba unipe sababu mkuu kuna namna zitanisaidia,yani fursa gani unaziona tunduma dhidi ya mafinga
Fursa zilizopo ni zile zile kama za Mafinga ila kilichoongezeka huku ni biashara ya mpakani na biashara zinazohusiana na transit kama migahawa,malazi na maduka makubwa ya jumla ya kuwauzia watu wa Zambia...

Pia Tunduma ni Mji mpya Kwa maana ya kwamba Halmashauri ya Mji imeanza mwaka 2010 tofauti na Mafinga ni ya Kitambo so huduma za shule za binafsi nk Bado zina soko..
 
Njombe itaendelea kuwa strategic Region kwa Tanzania..

Maelfu ya ekari za Block farming in Njombe ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • 20220917_090527.jpg
    20220917_090527.jpg
    103 KB · Views: 19
Kusini kuna mavumbi, Serikali imekutenga ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜..

Rukwa-Ujenzi wa barabara ukiendelea,hii inaenda mpakani na Zambia ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • IMG_20220917_125932_315.jpg
    IMG_20220917_125932_315.jpg
    1.2 MB · Views: 21
  • IMG_20220917_130005_781.jpg
    IMG_20220917_130005_781.jpg
    1.2 MB · Views: 16
  • IMG_20220917_125942_512.jpg
    IMG_20220917_125942_512.jpg
    1 MB · Views: 18
  • IMG_20220917_131136_667.jpg
    IMG_20220917_131136_667.jpg
    1 MB · Views: 16
  • IMG_20220917_130121_918.jpg
    IMG_20220917_130121_918.jpg
    1.2 MB · Views: 17
Back
Top Bottom