Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Moja ya mitaa ya kishua bukoba...



Kashura hills...
1663586550211.jpg
 
Mambo yanazidi kunoga Mkoa wa Rukwa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220919-160251.png
    Screenshot_20220919-160251.png
    120.7 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220919-160307.png
    Screenshot_20220919-160307.png
    46.2 KB · Views: 13
Kusini hiyo kwao ni hotel kali wakati bukoba ni nyumba za makazi
Kiuhalisia ukiacha takwimu za serikali ...bukoba watu wana majumba na majumba hasa vijijini..

Naona siku hiz Bukoba kuna mitaa imejengeka kweli kweli...na mji unapanuka...

Serikali ya bukoba ndo imelala ..hawataki kumalizia stendi na soko..lakin sekta binafsi bukoba iko vzr sana ukiongeza na ukijani wake wa mwaka mzima
 
Kusini kumetengwa Rais haji 😂😂😂😂..

Tender ya ujenzi wa barabara ya Mafinga hadi Mtwango Kwa lami iko tayari na mkandarasi karibu atapatikana 👇
 

Attachments

  • 20220701_105525.jpg
    20220701_105525.jpg
    160 KB · Views: 13
  • 20220701_105528.jpg
    20220701_105528.jpg
    338 KB · Views: 12
Tuendelee kuushangaa huyu mkoa maskini kadri ya Serikali...

Kyerwa Kagera km 190 kutoka bukoba mjini
Screenshot%20(20220919-093014).jpg
Screenshot%20(20220919-092939).jpg
Screenshot%20(20220919-092958).jpg
Screenshot%20(20220919-093032).jpg
 

Attachments

  • IMG_20220919_193342_184.jpg
    IMG_20220919_193342_184.jpg
    339.6 KB · Views: 10
  • IMG_20220919_193148_880.jpg
    IMG_20220919_193148_880.jpg
    357.1 KB · Views: 12
  • IMG_20220919_193143_157.jpg
    IMG_20220919_193143_157.jpg
    436.2 KB · Views: 11
  • IMG_20220919_193138_919.jpg
    IMG_20220919_193138_919.jpg
    423.7 KB · Views: 8

Attachments

  • IMG_20220919_192921_055.jpg
    IMG_20220919_192921_055.jpg
    313.4 KB · Views: 9
  • IMG_20220919_192921_677.jpg
    IMG_20220919_192921_677.jpg
    308.9 KB · Views: 10
  • IMG_20220919_192610_597.jpg
    IMG_20220919_192610_597.jpg
    437.7 KB · Views: 10
  • IMG_20220919_192007_541.jpg
    IMG_20220919_192007_541.jpg
    332 KB · Views: 12
Naona mavumbi na vichaka tuu hapo sijui ni makazi ya magemu au? 😃😃
Barabara za Mitaani huko Sumbawanga nyakati za Usiku 👇
Hoya lofa unaandika kwa hisia sana eti barabara za mitaa za huko sumbawanga, wakati nikiangalia picha naona barabara moja kwenye mtaa moja na kisehemu kidogo kimoja kisichozidi mita ishirini, ushamba na chuki vitakumaliza bwege wewe.
 
Muwe mnatembea na maeneo mengine ya nchi sio kukaa ndani tu kama utumbo mala kashai kibeta kitendaguro kahororo.ihungo nyakanyasi ghana sasa miji mingine mtaijuaje?
Na hili ndo tatizo mtu kajifungia ukanda mmoja anajua yanayo fanyika hko kwingine hayafanyiki kumbe mambo yarisha badilika muda mrefu na Kuna miji michanga imekuwa zaidi ya miji mikongwe
 
Back
Top Bottom