Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Huko mtaletewa magarasa,mpya zitaenda Njombe route fupi,huwa hataki shida..

Anakimbia SGR Effect ila angekuwa na akili angeweka route ya Mbeya-Kahama,Mbeya-Musoma via Lamadi na Sumbawanga to Dodoma..

SGR italeta mabus mapya mengi Sana Mkoani.
Unafikiri kuna mtu wa Bukoba atapanda gari mbovu mbovu...


Dar lux sijui aliendaga wap...
Dar Bukoba kuna mabusi kibao tu na yanazidi kuongezeka na Kuna abiria wengi bila kuhesabu wale wanaopitia mwanza na kupanda meli hadi Bukoba...

Bila kusahau na abiria wengi wa ndege...imagine Bukoba ina abiria wengi wa ndege kuliko Dodoma na sio makao makuu wala mji mkubwa kivile..
 
Kwa hiyo umechagua pale pabaya unapopenda wewe Ili kuja kuwadanganya mazuzu wenzio si ndio? ..

Kwa nini usiende kupiga picha Tazara au VETA Ikulu nk?

Kama hutojali tuletee na picha za mabatini Mwanza
Mbeya Kuna mtaa gani mzuri ,zaidi ya vumbi tu .leta hapa tuone .nimekuletea hyo poda hapo..mbalizi au leo utasema mbalizi sio mbeya h
 
Mbeya Kuna mtaa gani mzuri ,zaidi ya vumbi tu .leta hapa tuone .nimekuletea hyo poda hapo..mbalizi
emoji16.png
au leo utasema mbalizi sio mbeya h
emoji16.png
emoji16.png
emoji95.png
Mbalizi ni mbali Sana huko,shida picha za Mbeya nyingi haziko kwenye mtandao but nitakuja na picha za live..

Sio mtaa Bali Kuna mitaa..Uyole nzima ile haina slums kama ilivyo Mbalizi..

Ilemi iko vizuri,Tazara iko vizuri,Iwambi iko vizuri,Uzunguni,Forest mpya,forest ya Zamani,Block T,Na eneo loote kuelekea TEKU hakuna uswahili na pote ni Mjini hapo..
 
Mbalizi ni mbali Sana huko,shida picha za Mbeya nyingi haziko kwenye mtandao but nitakuja na picha za live..

Sio mtaa Bali Kuna mitaa..Uyole nzima ile haina slums kama ilivyo Mbalizi..

Ilemi iko vizuri,Tazara iko vizuri,Iwambi iko vizuri,Uzunguni,Forest mpya,forest ya Zamani,Block T,Na eneo loote kuelekea TEKU hakuna uswahili na pote ni Mjini hapo..
Usidhani mbeya hatuijui ..pale uyole ndo takataka kabisa ..
 
Fursa zilizopo ni zile zile kama za Mafinga ila kilichoongezeka huku ni biashara ya mpakani na biashara zinazohusiana na transit kama migahawa,malazi na maduka makubwa ya jumla ya kuwauzia watu wa Zambia...

Pia Tunduma ni Mji mpya Kwa maana ya kwamba Halmashauri ya Mji imeanza mwaka 2010 tofauti na Mafinga ni ya Kitambo so huduma za shule za binafsi nk Bado zina soko..
Ahsantee kwa maoni yako
 
Mbeya Kuna mtaa gani mzuri ,zaidi ya vumbi tu .leta hapa tuone .nimekuletea hyo poda hapo..mbalizi au leo utasema mbalizi sio mbeya h
Hakuna aliyesema mbalizi sio mbeya,hata chunya pia ni mbeya,swali ni je mbalizi ni sehemu ya mbeya mjini? Au nikuulize unapozungumzia mbeya mjini mipaka yake ni ipi kuelekea tunduma,uyole na chunya
 
Watu wa mbeya akili zipo matakoni ..hapa ndipo unapaona ndio wealthy planned yenu ...aisee mtafika mbingunj mkiwa hoi
Uyole baby .. uswahili mtupu .kidogo kauwanja kameokoa mandhari View attachment 2360049View attachment 2360050
Kauli zako za matusi tu zinatosha kuonyesh wewe ni mtu usiyejitambua,labda nikusaidie kitu cha nyongeza,wilaya zote za mbeya zinajiweza kiuchumi hali inayopelekea uwekezaji kutawanyika maeneo tofauti,kwa lugha nyepesi tofauti ya mbeya jijin na wilaya zake sio kubwa,hili swala sizan kama lipo kwa mwanza kama unabisha pitia takwimu za mapato
 
Hakuna aliyesema mbalizi sio mbeya,hata chunya pia ni mbeya,swali ni je mbalizi ni sehemu ya mbeya mjini? Au nikuulize unapozungumzia mbeya mjini mipaka yake ni ipi kuelekea tunduma,uyole na chunya
Leo unasema mbalizi sio mbeya mjini ,...nyie si mnasema mbeya ni kubwa inaanzia uyole hadi mbalizi ... nimekuletea hata mitaa ya mbeya mjini hapo juu ni hovyo tu hamna unafuu
 
Kauli zako za matusi tu zinatosha kuonyesh wewe ni mtu usiyejitambua,labda nikusaidie kitu cha nyongeza,wilaya zote za mbeya zinajiweza kiuchumi hali inayopelekea uwekezaji kutawanyika maeneo tofauti,kwa lugha nyepesi tofauti ya mbeya jijin na wilaya zake sio kubwa,hili swala sizan kama lipo kwa mwanza kama unabisha pitia takwimu za mapato
Ungeleta figure,ningekuona wa maana...Kwa mapato yapi mmeipita mwanza maybe TRA,GDP,au halmashauri .. ukiniletea figure yoyote inayodhihirisha Hilo .nitakaa kimya
 
Kauli zako za matusi tu zinatosha kuonyesh wewe ni mtu usiyejitambua,labda nikusaidie kitu cha nyongeza,wilaya zote za mbeya zinajiweza kiuchumi hali inayopelekea uwekezaji kutawanyika maeneo tofauti,kwa lugha nyepesi tofauti ya mbeya jijin na wilaya zake sio kubwa,hili swala sizan kama lipo kwa mwanza kama unabisha pitia takwimu za mapato
Maji ya maiti yamewasababishia mtindio wa ubongo,wasamehe bure sio wao ni Kansa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20211118-215300.png
    Screenshot_20211118-215300.png
    148.9 KB · Views: 17
Leo unasema mbalizi sio mbeya mjini ,...nyie si mnasema mbeya ni kubwa inaanzia uyole hadi mbalizi ... nimekuletea hata mitaa ya mbeya mjini hapo juu ni hovyo tu hamna unafuu
Lini Mbalizi ni Mbeya Mjini? Usagara au Kisesa ni Mwanza Mjini?
 
Chuma kali zinawekwa kwa wakali nyie washamba komaeni na KISBO ndio inawafaa muwe mnaopanda na mifugo 😆😆.

New babies in Town 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-074712.png
    Screenshot_20220918-074712.png
    146.6 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220918-075208.png
    Screenshot_20220918-075208.png
    99.5 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220918-075245.png
    Screenshot_20220918-075245.png
    152.2 KB · Views: 17
  • 20220918_075430.jpg
    20220918_075430.jpg
    59.8 KB · Views: 18
  • 20220918_074717.jpg
    20220918_074717.jpg
    63.5 KB · Views: 18
  • 20220918_075121.jpg
    20220918_075121.jpg
    64.5 KB · Views: 15
Back
Top Bottom