Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

uliyekuwa unatak video...hyo hapo shy town

Niliomba video ya Kahama ambayo najua huwezi thubutu kuweka kwa sababu Mji ni mbaya,umejaa mavumbi na uko disorganized..

Lakini video yenyewe mumeweka ya kuonyesha barabara tuu ,nataka drone footage kama tulivyoweka hapo juu..

Najua lengo lako ulitaka nione taa,haya nimeziona Shinyanga naifahamu na nimewahi lala hapo ikiwa tofauti na hivi ilivyo leo..japo huko mtaani kuna tembe kama zote.

Mabango ya Mwendazake ya kampeni yanafanya nini hadi leo hii humo kwenye post za taa?

Na ukweli mchungu ni kwamba Shinyanga town ni pazuri kuliko Kahama na pana barabara nzuri hata Mwanza hakuna na mjin hauna uswazi na uko somehow organized..

By the way hivi old Shinyanga Road ina lami? Maana last time tulikuwa tunazungukia Mwigumbi.
 
Kusini kunazidi kunoga..

Mbeya-Tanga 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220812-232614.png
    Screenshot_20220812-232614.png
    331.3 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220812-232111.png
    Screenshot_20220812-232111.png
    224.6 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220812-232245.png
    Screenshot_20220812-232245.png
    147.3 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220812-232022.png
    Screenshot_20220812-232022.png
    180 KB · Views: 16
Baada ya kuona hii video ya Kahama nimekata tamaa na kuidharau Sana hiyo Kahama..

Nilikuwa na ratiba ya Kwenda Mwanza kupitia Kahama ila kiukweli nimekatishwa tamaa na jinsi ni mbaya na hakuna hata kitu cha kwenda kuona ukilinganishwa na kelele zinazopigwa humu..

Imagine inayoitwa Manispaa yaani kupata majengo mazuri Mji mzima yako 2 tuu,la Nssf na hilo la mjini hapo..

Kwa Hali hii,huko Kanda ya Ziwa sehemu nzuri na inayopendeza ni Bukoba tuu na huko nitaenda kutembea,kidogo na Musoma na Mwanza.

Mji umejaa mavumbi,uko disorganized,full mabodaboda na mabakeli,barabara mbaya,mitaro michafu,vijumba vya watu vibaya na upuuzi mwingine kama vile ni gulio la mda, yaani no order at all..

Mtu anaweza sema ni wivu hebu angalieni hizi video afu fananisha.

Ukisikia wasimuliaji unaweza dhani ni Bonge la Mji,ona Kahama ilivyo👇
 

Attachments

  • BMG TV_ Uzuri wa Tanzania (S02-E15) Kahama inakimbia kimaendeleo ( 360 X 640 ).mp4
    39.9 MB
Harafu hiyo Kahama ya Hovyo na Mbovu ndio wanashindanisha eti na Njombe..

Hii video ya Njombe inaonyesha sehemu ndogo tuu ya pale mjini,Mji umepangika, barabara za lami, mandhari nzuri,kuna ustaarabu na majengo mengi mazuri marefu yanayopamba Mji..

Shida ni moja,hizo bati za nyumba zingeoakwa rangi tofauti mtaa mmja hadi mwingine kungenoga zaidi..

Kamwe utopolo wa Kahama hautokuja kulingana na Njombe 👇
 

Attachments

  • MUONEKANO WA JUU WA MJI WA NJOMBE. @2022 ( 472 X 854 ).mp4
    38.1 MB
Baada ya kuona hii video ya Kahama nimekata tamaa na kuidharau Sana hiyo Kahama..

Nilikuwa na ratiba ya Kwenda Mwanza kupitia Kahama ila kiukweli nimekatishwa tamaa na jinsi ni mbaya na hakuna hata kitu cha kwenda kuona ukilinganishwa na kelele zinazopigwa humu..

Imagine inayoitwa Manispaa yaani kupata majengo mazuri Mji mzima yako 2 tuu,la Nssf na hilo la mjini hapo..

Kwa Hali hii,huko Kanda ya Ziwa sehemu nzuri na inayopendeza ni Bukoba tuu na huko nitaenda kutembea,kidogo na Musoma na Mwanza.

Mji umejaa mavumbi,uko disorganized,full mabodaboda na mabakeli,barabara mbaya,mitaro michafu,vijumba vya watu vibaya na upuuzi mwingine kama vile ni gulio la mda, yaani no order at all..

Mtu anaweza sema ni wivu hebu angalieni hizi video afu fananisha.

Ukisikia wasimuliaji unaweza dhani ni Bonge la Mji,ona Kahama ilivyo
Unakuja mwanza ,ujionee uzuri wake . ...maana ulikuwa inategemea google ..
 
Baada ya kuona hii video ya Kahama nimekata tamaa na kuidharau Sana hiyo Kahama..

Nilikuwa na ratiba ya Kwenda Mwanza kupitia Kahama ila kiukweli nimekatishwa tamaa na jinsi ni mbaya na hakuna hata kitu cha kwenda kuona ukilinganishwa na kelele zinazopigwa humu..

Imagine inayoitwa Manispaa yaani kupata majengo mazuri Mji mzima yako 2 tuu,la Nssf na hilo la mjini hapo..

Kwa Hali hii,huko Kanda ya Ziwa sehemu nzuri na inayopendeza ni Bukoba tuu na huko nitaenda kutembea,kidogo na Musoma na Mwanza.

Mji umejaa mavumbi,uko disorganized,full mabodaboda na mabakeli,barabara mbaya,mitaro michafu,vijumba vya watu vibaya na upuuzi mwingine kama vile ni gulio la mda, yaani no order at all..

Mtu anaweza sema ni wivu hebu angalieni hizi video afu fananisha.

Ukisikia wasimuliaji unaweza dhani ni Bonge la Mji,ona Kahama ilivyo
Una chuki na kahama sio Siri ...
 
Unakuja mwanza ,ujionee uzuri wake . ...maana ulikuwa inategemea google ..
Mwanza naifahamu na nimesoma huko na nakuja kwa sababu maalumu ila nilipanga kuja daraja likikamilika maana ndio structure pekee ya kunifanya nishangae..

,ila Kahama siwezi tena kwenda nimeshapadharau Bora hata Kasulu na Masasi.
 
Baada ya kuona hii video ya Kahama nimekata tamaa na kuidharau Sana hiyo Kahama..

Nilikuwa na ratiba ya Kwenda Mwanza kupitia Kahama ila kiukweli nimekatishwa tamaa na jinsi ni mbaya na hakuna hata kitu cha kwenda kuona ukilinganishwa na kelele zinazopigwa humu..

Imagine inayoitwa Manispaa yaani kupata majengo mazuri Mji mzima yako 2 tuu,la Nssf na hilo la mjini hapo..

Kwa Hali hii,huko Kanda ya Ziwa sehemu nzuri na inayopendeza ni Bukoba tuu na huko nitaenda kutembea,kidogo na Musoma na Mwanza.

Mji umejaa mavumbi,uko disorganized,full mabodaboda na mabakeli,barabara mbaya,mitaro michafu,vijumba vya watu vibaya na upuuzi mwingine kama vile ni gulio la mda, yaani no order at all..

Mtu anaweza sema ni wivu hebu angalieni hizi video afu fananisha.

Ukisikia wasimuliaji unaweza dhani ni Bonge la Mji,ona Kahama ilivyo👇
Sunk kama sunk popoma mkubwa, yaani wewe wakuilinganisha kahama na kijiji cha ujamaa cha njombe hakika umepotoka mkuu, hilo pepo la chuki litoke kwa jina la yesu.
 
Back
Top Bottom