Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Siku mkitoka kwenye hii list,,,,mnaalikwa kubishana na kahama.ila sasa ongezeni lishe na mwondoe udumavu...ndo maana akili zenu haziko sawa
Screenshot_20220815-213618.jpg
 
Njombe kwenye vitu vya kijinga wanaongoza tu . Bado takwimu za TACAIDs
Njombe ni aibu tupu ....yaani vibarabara vinavyojengwa sa hv ndo vinawapa nguvu ya kujiona above...kahama sijapata wasaa wa kupiga picha fresh.na baadhi ya maeneo wanazuia kupiga picha..
Kuna hotel inajengwa phantom opp na the magic ..Ile hotel ni balaa ,,itakuwa rated 3 star au 4 star.. nitajitahidi nipate picha yake niilete.
 
Njombe ni aibu tupu ....yaani vibarabara vinavyojengwa sa hv ndo vinawapa nguvu ya kujiona above...kahama sijapata wasaa wa kupiga picha fresh.na baadhi ya maeneo wanazuia kupiga picha..
Kuna hotel inajengwa phantom opp na the magic ..Ile hotel ni balaa ,,itakuwa rated 3 star au 4 star.. nitajitahidi nipate picha yake niilete.
Na pembeni yake kuna sheli inapanda ghorofa moja, yaani ni shida. Bado opposite Stand ipo kwenye mradi wa TACTIC mwezi wa tisa ujenzi unaweza anza.

Kwa sasa nipo Arusha huku Njiro kuna mitaa ya ovyo sana bora hata Majengo Sokola yetu na Nyihogo
 
Na pembeni yake kuna sheli inapanda ghorofa moja, yaani ni shida. Bado opposite Stand ipo kwenye mradi wa TACTIC mwezi wa tisa ujenzi unaweza anza.

Kwa sasa nipo Arusha huku Njiro kuna mitaa ya ovyo sana bora hata Majengo Sokola yetu na Nyihogo
 
Na pembeni yake kuna sheli inapanda ghorofa moja, yaani ni shida. Bado opposite Stand ipo kwenye mradi wa TACTIC mwezi wa tisa ujenzi unaweza anza.

Kwa sasa nipo Arusha huku Njiro kuna mitaa ya ovyo sana bora hata Majengo Sokola yetu na Nyihogo
Kumbe unapafahamu...wew umenena mkuu... huwezi shindanisha wilaya iliyokuwa yenyew na kuwa manispaa bila kuwa makao makuu ya mkoa
 
kesho nisikuone humu dadek zako

Kwa taarifa yako naenda kukuletea majengo haya kesho ,,camera man Yuko on job
machali tower 6 floor
Igalilimi new tower 5 floor
The planet hotel 4 floor
Hotel river mark 4 floor
NSSSF 6 floor
Phantom new hotel .under construction 7 floor
Mongo house 4 floor.....
Jitaidi mkuu upate hizo picha ili huyu popoma tusimuone tena kwenye huu uzi kama alivyoahidi.
 
Njombe ni aibu tupu ....yaani vibarabara vinavyojengwa sa hv ndo vinawapa nguvu ya kujiona above...kahama sijapata wasaa wa kupiga picha fresh.na baadhi ya maeneo wanazuia kupiga picha..
Kuna hotel inajengwa phantom opp na the magic ..Ile hotel ni balaa ,,itakuwa rated 3 star au 4 star.. nitajitahidi nipate picha yake niilete.
Kuna Kahama tofauti na hiyo kwenye video?😁😁

Vibarabara vipi? Njombe town ina barabara kitambo sana.

Endelea kujifariji..Hamuwezi thubutu kuleta video mnafahamu aibu itakayowakumba.

Njombe town streets 👇
 

Attachments

  • Mitaani huku kulivyo pendeza Njombe mjini. ( 352 X 640 ).mp4
    17.6 MB
Na pembeni yake kuna sheli inapanda ghorofa moja, yaani ni shida. Bado opposite Stand ipo kwenye mradi wa TACTIC mwezi wa tisa ujenzi unaweza anza.

Kwa sasa nipo Arusha huku Njiro kuna mitaa ya ovyo sana bora hata Majengo Sokola yetu na Nyihogo
Nimekwambia sheli za ghorofa Njombe tulishatoka huko na picha nimeweka nyie ndio mnahangaika now 😜😜😜😜..

Ni hivi Miji yote ya Nyanda za Juu Kusini ina hizo sheli zenye ghorofa kuanzia Sumbawanga,Tunduma,Mafinga Njombe na Makambako kote zipo.
 
Back
Top Bottom