Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Halmashauri
images (3).jpg
images (3).jpg
 
Pia angalia umbali wa Mwanza na Mbeya kwa barabara..

Ukipata jibu hesabu mabasi mangapi yanaenda Mbeya kutoka Dar na Mangapi yanaenda Mwanza kutoka Dar..

Hata Kigoma na Bukoba ina route nyingi za ndege kuliko Mbeya na sababu ni umbali so mtu analinganisha adha ya kushinda barabarani masaa mengi na bei ana opt Ndege Kwa huko kwenu na huku kwetu Wana opt mabasi...
Mabasi ya dar Mwanza ni mengi kuliko dar mbeya, ndege ndo usiseme.
 
Huko kwenu anakuja kwa sababu Kuna lundo la matatizo ambayo huku hayapo..

Mathalani ziara yake huku Mbeya imekuwa ni full shangwe kwa utekelezaji wa miradi na amewasifia watendaji wake,huko Mwanza keshapangua ma RC mara 3..

Mfano mwingine,Biteko Amesema Wilya ya Chunya imeizidi Kahama na ni ya pili Kwa kuzalisha dhahabu nyingi nyuma ya Geita,ni full shangwe..

Waziri wa Viwanda na Uwekezaji Amesema Mbeya ni ya pili Kwa kuwa na viwanda vingi nyuma ya Pwani na vingine.vingi vinakuja wametoa leseni kama zote..

Na RC amesisitiza tena leo kwamba Mbeya imekusanya Bil.45 na kuvuka malengo kwa hiyo Bashungwa katoa taarifa ya uongo..

Mwisho siku ya 8/8 Rais anazindua miradi 21 ya umwagiliaji Kati ya hiyo 13 iko Mkoa wa Mbeya..

Ndio maana kila siku nawaambia Mbeya hatuhitaji push ya serikali huku tayari watu wanajua wanachofanya sio kama huko msikojielewa.

Matatizo yako huko kusini kulikotengwa, kwanza ilitakiwa yawe mashamba tu lakini nashangaa kwanini watu wanaishi huko, zaidi ya 90% ya dhahabu inachimbwa Kanda ya ziwa, mbeya kimakusanyo iko nyuma ya nyamagana, mbeya kila siku hapa mnalialia mmetengwa hata hii Rais kuja kwenye nanenane mmefurahi mno kwamba mmeanza kukumbukwa wakati ni zuga tu.
 
Matatizo yako huko kusini kulikotengwa, kwanza ilitakiwa yawe mashamba tu lakini nashangaa kwanini watu wanaishi huko, zaidi ya 90% ya dhahabu inachimbwa Kanda ya ziwa, mbeya kimakusanyo iko nyuma ya nyamagana, mbeya kila siku hapa mnalialia mmetengwa hata hii Rais kuja kwenye nanenane mmefurahi mno kwamba mmeanza kukumbukwa wakati ni zuga tu.
Huna hoja..Kusini ni zaidi ya dhahabu huku kuna kila kitu.

Nyanda za Juu Kusini ni Nchi na nusu sio sawa na huko mnakouana hovyo kwa umaskini.

Kusini kumetengwa 😁😁😁😁.

Soma hiyoo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-081331.png
    Screenshot_20220807-081331.png
    154.2 KB · Views: 15
Mabasi ya dar Mwanza ni mengi kuliko dar mbeya, ndege ndo usiseme.
Nikajua umeweka namba kumbe umeandika stori za kutunga. Nasema hivi hamuwezi zidi hata kidogo,kuna basi zaidi ya 15 zinaondoka Mbeya kwenda Dar kila siku..

Hizo ngoma hapa zote zinatoka Mbeya.Driving on Southern Highlands Roads 👇
 

Attachments

  • FZBISSxXkAABmSX.jpeg
    FZBISSxXkAABmSX.jpeg
    86.2 KB · Views: 19
  • FXYK5XlXkAIZEuQ.jpeg
    FXYK5XlXkAIZEuQ.jpeg
    159.7 KB · Views: 17
Taa nazo ni za kujisifia kweli kwenye hicho Kijiji chenu kilichojaa umaskini?

Huku Kusini kila Mji una hizo taa,sio swala la mipango..

Hizi taa ziko hadi Vijijini nyie mngeita mjini 😂😂😂😂.

Soma hiyoo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-081112.png
    Screenshot_20220807-081112.png
    162.4 KB · Views: 16
  • 20220807_081127.jpg
    20220807_081127.jpg
    145.9 KB · Views: 17
Back
Top Bottom