Kumbe mtu mwenyew biharamulo huko...
Anyway Tazama vijijini huko bukoba uhayaniView attachment 1990312View attachment 1990313View attachment 1990315View attachment 1990316View attachment 1990317
Tulia dawa ikuingieSame pics always,
Huko kagera mna kijiji kimoja?
Yaan bukoba vijijini tukitoa migomba ile inakuwa bonge la jiji lenye magheto makaliSame pics always,
Huko kagera mna kijiji kimoja?
Imetukomeshaje?
Ni kweli tumetapeliwa ila kudhihirisha utapeli we fungua Star tv na ITV kuna matangazo ya utapeli yanaendelea..Mmetapeliwa na hakuna kilichonyooka. Kwanza kuishi Njombe yataka moyo. Nani akaishi uswekeni huko kama nyani na miumande hiyo. Fyuuuu. Poleni sana.ndio maana mnakula mbwa.
🙏🙏 Watakwambia Kusini kumetengwa,kuna mavumbi Rais haji 🤣🤣Kaz ya ujenzi wa lami inaendelea
View attachment 2017862
Chapeni Kazi maneno achieni wale wanoongoza kuzaa zeruzeru na kansa.Na hii inazungushwa soko la mbao
View attachment 2017849
Wenye nyumba wakijenga wakaacha mabeki 3 wao wako Dar maana hawawezi ishi kwenye mkoa uliotengwa kinaendeleo.Msijali watakuja disemba kuwasalimia 🤭🤭..Yaan bukoba vijijini tukitoa migomba ile inakuwa bonge la jiji lenye magheto makali
Kuliko eneo lolote Tanzania.
Tazama mansions huko vijijiniView attachment 2018187View attachment 2018188View attachment 2018189