The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,799
- 1,681
Acha ubishi Kagera mvua imeanza tangu mwezi wa 8 maharage yameshakomaa sa hiviOnyesha plot hata moja ya mimea mliyopanda sio kuleta upuuzi hapa
Acha ubishi Kagera mvua imeanza tangu mwezi wa 8 maharage yameshakomaa sa hiviOnyesha plot hata moja ya mimea mliyopanda sio kuleta upuuzi hapa
Pole sana Kumbe hujui kwamba umeme wa Kagera unatoka UgandaLeta picha acha kuweweseka wewe..
Tunazudi kuwapa kichapo na huu Mgao wa umeme ndio mtazidi kuwa maskini.
Kusini Magharibi tunatumia umeme kutoka Zambia tunapeta tuu mjini .Swax town
View attachment 2016944
View attachment 2016945
View attachment 2016946
View attachment 2016947
View attachment 2016948
View attachment 2016949
View attachment 2016950
Uko sahihi kabisa hapa chini tunaendelea na ile kasi ya kupauka,Kusini kumetengwa Rais haji 😝😝..Huko mtapauka sana
Ujenzi wa barabara za vijijini huko misenyi uko Kasi kweli kweli.Swax town inazidi kukichakaza kijiji cha Bukoba kama hivi
View attachment 2016440
View attachment 2016441
View attachment 2016443
View attachment 2016444
View attachment 2016446
Unaleta picha za years back,kwani hamna miradi mipya?Ujenzi wa barabara za vijijini huko misenyi uko Kasi kweli kweli.
Jengeni vijijini nyumba nzr huduma zitawafata huko huko.
Mugana misenyi vijijiniView attachment 2016955View attachment 2016957View attachment 2016958
Na hii ni ya wapi? Acha kutusingizia ,huyo ni mwamba kutoka Kagera 😂😂👇👇hiyo si ya huko Njombe mkuu, maana ndo mlimlawiti huyo kitimoto
Kwani huyu ni wa wapi??? Sawa nawasingizia
Nani kakwambia huo mradi wa zamaniUnaleta picha za years back,kwani hamna miradi mipya?
Mkifika hapa mnitag
View attachment 2016967
View attachment 2016968
View attachment 2016969
View attachment 2016970
View attachment 2016971


Mkajenge secondary kwanza huwezi kuwa na kata 15 alafu secondary 8Kila nyanja Kusini tunakimbiza.
Mkoa wa Songwe-Hospital ya mkoa na Wilaya
View attachment 2016980
View attachment 2016981
View attachment 2016982
Kwa kwel ni maajabu 😃😃😃🙌Mkajenge secondary kwanza huwezi kuwa na kata 15 alafu secondary 8