Ndiyoo, kura za mjini ni za kuwinda na lazima aziwinde kwelikweli, sio kama za huko vijijini kusini zinajileta zenyewe bila hata kuzitafuta
Sasa kwa nini awawazie nyie huko wakati kura zipo za bwelele
.
1.SGR imeanzia dar na Mwanza, kura zinasakwa.
2.madaraja mareeefu ni Mwanza na Dar, kura hizo.
3.Stand za kisasa Mwanza na Dar, kura zinatafutwa.
4. Yaani kila kitu cha maana ni dar na Mwanza tu.
Lakini vijijini kusini Saasa
, mmetengwa lakini mnapiga kura za ndiyo bila hata kuzisaka
, Deo sanga anasema huyu Rais kaletwa na Mungu mwenyewe