Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwa hiyo hivyo ndivyo havipo kwingine? Dhahabu imejaa Chunya na Hamza ni shahidi.

Mji wa Tunduma unafanya uko karibu na Nchi za Zambia,DRC na Malawi na unafanya biashara Sana za mipakani kuliko Kahama.

Sema hivi Kahama imechukua nafasi ya Miji kama Bukoba,Shinyanga,Musoma na Geita ambayo ilistahili ndio iwe Miji mikubwa kutokana na hadhi zao lakini ndio hivyo wachuuzi wamewazidi.

Sisi Kusini hakuna Mji unauzidi Mji mkuu wa Mkoa ,haupo labda Makambako ije kuizidi Njombe siku za baadae but sioni hicho kikitokea kwa sababu Njombe ina nguvu ya uchumi kuliko Makambako.
Kuhusu dhahabu niseme hivi; ni kweli dhahabu ipo maeneo mengi nchini kwetu, sio Chunya tu, hata Sekene ya Singida kuna dhahabu, baadhi ya maeneo ya Morogoro kuna dhahabu, Geita, Kahama nk but the thing is, inategemea na grade, dhahabu ya Chunya grade yake ikoje? Is too low kulinganisha na kanda ya Ziwa, this is why kanda ya ziwa kuna migodi mikubwa mingi kulinganisha na sehemu zingine nchini, wachimbaji wadogo ndio usiseme wengi sana huko kulinganisha na sehemu zingine za Tanzania, nikwambie tu, hata Lushoto ya Tanga pia kuna dhahabu, but ni kwa kiwango gani??? Halafu pia Kahama haiko mpakani kama ilivyo Tunduma though nafikiri moja kati ya sababu ilisababisha mkoa mpya wa Mbozi sijui nini ile iliojitenga na Mbeya, sababu mojawapo ilikua ni ukuaji wa kasi wa Tunduma kibiashara nk, why is because ya biashara ya Tanzania na Zambia
 
Matajiri wa Njombe👇

Screenshot_20210911-124311.png
 
Kijana hizo takwimu zote ni 2018 na ni mwaka mmoja

Kagera Ina per Capita ndogo kwa sababu ya population yake but umaskini ni ya kumi huko.

Rukwa na the like Wana per Capita kubwa kwa sababu ya population kuwa ndogo ndo maana umaskini umetamalaki kweli kweliView attachment 1933190
Kujificha kwenye kichaka cha population kubwa sio excuse ya uzembe na ulazy wenu,kama ni watu wengi basi Dar nayo ingekuwa kwenye level zenu.

Hizi ni Takwimu za 2020 za Rukwa,kwamba Per Capita inaongezeka hadi 2,500 afu eti poverty rates zibakie za 2018..

But kwa Kanda ya Ziwa yote productivity yenu ni ndogo Sana kulinganisha na nguvu Kazi yaani simply wazembe,wavivu na wazinzi ndio mumejaa 😂😂
👇

Screenshot_20210911-164229.png
 
Kahama weeeehhhh, migodi ya dhahabu ni bonus tu. Kahama yenyewe kama Kahama ni fursa.
 
Kahama weeeehhhh, migodi ya dhahabu ni bonus tu. Kahama yenyewe kama Kahama ni fursa.

Mwaka huu Njombe tunawapiga kimapato huku mkiendelea kushangilia ujinga .Saizi ni Khm 7.9b vs Njombe 7.5b..tutaelewana tuu taratibu.
 
Mwaka huu Njombe tunawapiga kimapato huku mkiendelea kushangilia ujinga .Saizi ni Khm 7.9b vs Njombe 7.5b..tutaelewana tuu taratibu.
Tunawekeza kwenye ICD, EPZ na SEZ sasa hivi, vitu ambavyo hata hamviwazi na hamtegemei kuwa navyo, Wakuu wa mikoa walikuja Kahama kujifunza na wa Njombe alikuja 😛 😛 😛
 
Mwaka huu Njombe tunawapiga kimapato huku mkiendelea kushangilia ujinga .Saizi ni Khm 7.9b vs Njombe 7.5b..tutaelewana tuu taratibu.
Simu yangu sijaweza kuweka attachment ila naomba ufungue tamisemi utaona sehemu ambayo umy mwalimu anaeleza kwa nini kikao cha wakuu wa mikoa yote nchini kimefanyika kahama hoja mojawapo alisema kahama MC imeongoza katika kukusanya mapato katika manispaa imekusanya billion 9point 6 pia imetenga kituo cha businesses part imekuwa ya mfano tz nzi ma hivyo waje wajifunze kwahio hoja yangu kahama wamekunya billion tisa na million 600 labda mapank anisaidia akiandika OR tamisemi Facebook akatafuta hio taarifa ataipata mie nimesema sijui kuweka attached simu yangu inagoma
 
Tunawekeza kwenye ICD, EPZ na SEZ sasa hivi, vitu ambavyo hata hamviwazi na hamtegemei kuwa navyo, Wakuu wa mikoa walikuja Kahama kujifunza na wa Njombe alikuja 😛 😛 😛
Kwa kuongezea umy mwalimu alisema kahama MC wamekusanya 9bilion point 6 fuatilia hotuba yake akiwahutubia wakuu wa mikoa hivyo kwa mapato njombe watasubiri sana kwa kahama nisawa na fisi anaesubiri mkono wa binadamu anapotembea utanyofoka aokote
 
Kujificha kwenye kichaka cha population kubwa sio excuse ya uzembe na ulazy wenu,kama ni watu wengi basi Dar nayo ingekuwa kwenye level zenu.

Hizi ni Takwimu za 2020 za Rukwa,kwamba Per Capita inaongezeka hadi 2,500 afu eti poverty rates zibakie za 2018..

But kwa Kanda ya Ziwa yote productivity yenu ni ndogo Sana kulinganisha na nguvu Kazi yaani simply wazembe,wavivu na wazinzi ndio mumejaa


View attachment 1933554
Kwa hiyo unaweza. Linganisha uwekezaji uliofanywa na serikali katika mkoa wa Dar na mkoa wa kagera??? Utakuwa punguani kabisa.

Data za serikali zingekuwa sahihi Kama uwekezaji katika mikoa yote ungekuwa unafanana.

Asilimia 80 ya mapato yako uwekeze dar huku kagera asilimia 2 mkoa una 3.2 million people halafu utegemee GDP ya kagera ikimbizane na dar?

Binafsi naona kagera Kama mkoa unajitahidi Sana maana uwekezaji wa serikali uko chini na hata baada ya mkoa kupata majanga Kama vita mkoa umeachwa umerecover wenyew Bila ya msaada wa serikali.
 
Kwa hiyo unaweza. Linganisha uwekezaji uliofanywa na serikali katika mkoa wa Dar na mkoa wa kagera??? Utakuwa punguani kabisa.

Data za serikali zingekuwa sahihi Kama uwekezaji katika mikoa yote ungekuwa unafanana.

Asilimia 80 ya mapato yako uwekeze dar huku kagera asilimia 2 mkoa una 3.2 million people halafu utegemee GDP ya kagera ikimbizane na dar?

Binafsi naona kagera Kama mkoa unajitahidi Sana maana uwekezaji wa serikali uko chini na hata baada ya mkoa kupata majanga Kama vita mkoa umeachwa umerecover wenyew Bila ya msaada wa serikali.
Ndicho na nyie malazy mnatunyonya, yaani mikoa yetu ya Kusini inaingiza pesa nyingi afu mnachukua kwenda kuwekeza huko kwenu.

Ndio maana nilikuwa namchukia Mwendazake,kama vipi Serikali iimarishe mamlaka za serikali za kitaa kila watu washinde mechi zao.

Saizi kuna sera za kijinga za kubeba mikoa ya wazembe,eti Halmashauri zenye mapato kuanzia 5b plus zitumie 60% kwenye shughuli zao afu pesa inayobaki iende kubebea mbereko vimiji upuuzi kama Bukoba nk..

Huu upuuzi ukome, rasilimali zinazotambulika kama za Taifa ndizo zifanye kubeba wazembe sio jasho letu kupelekwa kwingine.Huu upuuzi unanikera,kila Halmashauri ijitegemee.
 
Back
Top Bottom