Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Toa uchafu hapa,leta barabarani za fishing village town ya Bukoba
Maskini wivu unakusumbua. Bukoba vijijini panatia hasira ukitazama vijiji vyako


Vijijini kagera
Screenshot_20210909-154650.jpg
Screenshot_20210909-155100.jpg
Screenshot_20210909-153409.jpg
Screenshot_20210909-151944.jpg
Screenshot_20210909-150522.jpg
Screenshot_20210909-152039.jpg
 
Eti kiangazi.

Hiv unajua bukoba ni kijani mwaka mzima halafu unalinganisha vimji vilivyokauka


Kibeta anyama hills bukoba look at the greenshView attachment 1931591
Sasa shida iko wapi kukiwa kijani mwaka mzima? Hiyo zone si iko jirani na Equator au? Sasa cha kushangaza nini? Mazingira ya hivyo yako Tukuyu na Njombe kwa Kusini ni special case.

Lakini kwa Maeneo mengine ya Highlands mvua zinakata mwezi wa 5 msimu wa kiangazi unaanza sasa how comes kuwe na greenish msimu mzima?

Msimu wa masika things turn like this @👇

Screenshot_20210910-090903.png


Screenshot_20210910-090201.png


Screenshot_20210910-090209.png


Screenshot_20210910-090133.png


Screenshot_20210910-090146.png


Screenshot_20210910-090111.png


Screenshot_20210910-090057.png


Screenshot_20210910-085949.png


Screenshot_20210910-090009.png


Screenshot_20210910-085930.png


Screenshot_20210909-075036.png


Screenshot_20210909-075045.png
 
Nadhani madini hasa dhahabu na ukaribu wa nchi za Rwanda, Burundi and Congo
Kwa hiyo hivyo ndivyo havipo kwingine? Dhahabu imejaa Chunya na Hamza ni shahidi.

Mji wa Tunduma unafanya uko karibu na Nchi za Zambia,DRC na Malawi na unafanya biashara Sana za mipakani kuliko Kahama.

Sema hivi Kahama imechukua nafasi ya Miji kama Bukoba,Shinyanga,Musoma na Geita ambayo ilistahili ndio iwe Miji mikubwa kutokana na hadhi zao lakini ndio hivyo wachuuzi wamewazidi.

Sisi Kusini hakuna Mji unauzidi Mji mkuu wa Mkoa ,haupo labda Makambako ije kuizidi Njombe siku za baadae but sioni hicho kikitokea kwa sababu Njombe ina nguvu ya uchumi kuliko Makambako.
 
Unahangaika sana mkuu, Alafu sisi tunakupa radha zote mjini na vijijini alaf wewe umekomaa na tupicha twako tuletule
Tatizo la mshikaji ndilo hilo anarudia picha hiyo hiyo tu na picha zote naona ni barabara ya sumbawanga mara kagorofa kamoja akapige picha pande ishirini then aanze kutuma katika view mbalimbali mara mafilling station huyu jamaa ni maniac sio bure.
 
Tatizo la mshikaji ndilo hilo anarudia picha hiyo hiyo tu na picha zote naona ni barabara ya sumbawanga mara kagorofa kamoja akapige picha pande ishirini then aanze kutuma katika view mbalimbali mara mafilling station huyu jamaa ni maniac sio bure.
Huyu jamaa atakuwa mtu mfupi. Mbishi kwa kujitutumua
 
Kwa hiyo hivyo ndivyo havipo kwingine? Dhahabu imejaa Chunya na Hamza ni shahidi.

Mji wa Tunduma unafanya uko karibu na Nchi za Zambia,DRC na Malawi na unafanya biashara Sana za mipakani kuliko Kahama.

Sema hivi Kahama imechukua nafasi ya Miji kama Bukoba,Shinyanga,Musoma na Geita ambayo ilistahili ndio iwe Miji mikubwa kutokana na hadhi zao lakini ndio hivyo wachuuzi wamewazidi.

Sisi Kusini hakuna Mji unauzidi Mji mkuu wa Mkoa ,haupo labda Makambako ije kuizidi Njombe siku za baadae but sioni hicho kikitokea kwa sababu Njombe ina nguvu ya uchumi kuliko Makambako.
Bukoba munispalityView attachment 1931737View attachment 1931733View attachment 1931736View attachment 1931735View attachment 1931734
images%20(8).jpg
 
Huyu jamaa atakuwa mtu mfupi. Mbishi kwa kujitutumua
Bukoba imechakakaza kusini nzima, nilikuwa nafatilia mtanange bila kucoment naona wanarusha vipicha vya marudio sijui mara twa sumbawanga, mara njombe, sijui iringa, adi mbeya wameweka kushindana na bukoba, hakika nyie hakina nshomile waitu mko juu kama mawingu ya mbinguni achana na miji ya ajabu ajabu iliyoendekeza ushirikina kwenye kutafuta mali🤝🤝🤝.
 
Kwa hiyo hivyo ndivyo havipo kwingine? Dhahabu imejaa Chunya na Hamza ni shahidi.

Mji wa Tunduma unafanya uko karibu na Nchi za Zambia,DRC na Malawi na unafanya biashara Sana za mipakani kuliko Kahama.

Sema hivi Kahama imechukua nafasi ya Miji kama Bukoba,Shinyanga,Musoma na Geita ambayo ilistahili ndio iwe Miji mikubwa kutokana na hadhi zao lakini ndio hivyo wachuuzi wamewazidi.

Sisi Kusini hakuna Mji unauzidi Mji mkuu wa Mkoa ,haupo labda Makambako ije kuizidi Njombe siku za baadae but sioni hicho kikitokea kwa sababu Njombe ina nguvu ya uchumi kuliko Makambako.
Bukoba ni mji wa vilima vilima.

Vilima vya kashura na kyebitembe Bukoba
images%20(5).jpg
images%20(4).jpg
images%20(6).jpg
images%20(3).jpg
 
Vitega uchumi bukoba.

Bukoba munispality
Screenshot_20210909-155133.jpg
JamiiForums419506737.jpg
JamiiForums-382463922.jpg
images.jpg
Screenshot_20210908-193657.jpg
JamiiForums-232447913.jpg
 

Attachments

  • ESwYWuNUMAEdnRh.jpg
    ESwYWuNUMAEdnRh.jpg
    138.2 KB · Views: 6
Bukoba imechakakaza kusini nzima, nilikuwa nafatilia mtanange bila kucoment naona wanarusha vipicha vya marudio sijui mara twa sumbawanga, mara njombe, sijui iringa, adi mbeya wameweka kushindana na bukoba, hakika nyie hakina nshomile waitu mko juu kama mawingu ya mbinguni achana na miji ya ajabu ajabu iliyoendekeza ushirikina kwenye kutafuta mali🤝🤝🤝.
Hakuna Mji hapo,hapa tunaonyesha fahari ya Miji yetu yote ya Kusini,Baada ya Kahama kukosa cha kuishinda Njombe ndio mkaja na fishing village ya Bukoba sasa ikabidi tuwaoneshe kwamba tuna miji zaidi na Sumbawanga tuu imewatosha ..

Kama Mbeya City ilichakaza Mwanza kwa Vyuo vikuu mpaka hapo unaweza ona huko poverty zone ni hopeless kabisa.
 
hadi makaburi we noma aisee🙂🙂🙂🙂
Kwan Kuna shida gan.

Na hayo makaburi na kuzikana ni utamaduni unaofanya vijijini bukoba kuwe kuzuri.

Wahaya hupenda Sana kuzika vijijini so mtu akipata hela Lazima ajenge kijijini kwake ili azikwe mahali karibu na nyumba yake.


NB. Kuna connection kubwa Kati wafu na waliohai katika uhaya.

Tuendelee kuenjoy vijijini huko bukoba
Screenshot_20210909-160756.jpg
Screenshot_20210909-153314.jpg
Screenshot_20210909-151555.jpg
Screenshot_20210909-150601.jpg
Screenshot_20210909-150554.jpg
Screenshot_20210909-153506.jpg
 
Karibuni kwenye mada.

Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.

Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Labda uilinganishe Katoro na Njombe nasio Kahama
 
Hakuna Mji hapo,hapa tunaonyesha fahari ya Miji yetu yote ya Kusini,Baada ya Kahama kukosa cha kuishinda Njombe ndio mkaja na fishing village ya Bukoba sasa ikabidi tuwaoneshe kwamba tuna miji zaidi na Sumbawanga tuu imewatosha ..

Kama Mbeya City ilichakaza Mwanza kwa Vyuo vikuu mpaka hapo unaweza ona huko poverty zone ni hopeless kabisa.
fahari gan mnaonyesha hapa zaidi ya mavumbini huko.


Huko kusini hakuna miji kabisa .just imagine karibia kila kitu kicholimwa kusini kinalimwa mkoa mmoja tu wa kagera.

Kitu gan Cha kusini hakilimwi kagera


Kagera ipo top five ya kilimo Cha nanasi
FB_IMG_16308950830647914.jpg
 
Hakuna Mji hapo,hapa tunaonyesha fahari ya Miji yetu yote ya Kusini,Baada ya Kahama kukosa cha kuishinda Njombe ndio mkaja na fishing village ya Bukoba sasa ikabidi tuwaoneshe kwamba tuna miji zaidi na Sumbawanga tuu imewatosha ..

Kama Mbeya City ilichakaza Mwanza kwa Vyuo vikuu mpaka hapo unaweza ona huko poverty zone ni hopeless kabisa.
mnateseka sana, mjini mmejaza slums na vijijini mmejaza tembe yaani ni shida tupu njoo mjifunze huku
154.jpeg
images.jpeg
2248158_images2031.jpeg
147.jpeg
 
Back
Top Bottom