Kingine kinachoipiga jeki kahama iko katikati inanjia nane za kutoka na kuingia hivyo ni rahisi kufanya biashara kahama na ukawafikia watu wengi kuliko geita na sehemu zingine kingine ni uwepo wa miundo mbinu rafiki katika uwekezaji na motisha ya serikali ya kahama ukitaka kuwekeza unapewa kiwanja bure pia serikali imeweka kituo cha uwezeshaji wafanyabiashara cha kanda kahama hivyo ukiwa kahama ni rahisi kukopeshwa pia population ya kahama inafanya wawe na soko la ndani la uhakika kwa mfano kwa sasa mji huo unakadiriwa kuwa na wakazi 400 000


