Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mwanza kijiografia Mwanza ni mji wa kimkakati, kwenye nchi za eneo la maziwa makuu. Ndio juhudi kubwa za ku link Mwanza zinaendelea, kwa upande wa Anga flights za Rwandair kwenda Uk, kituo baada ya Kigali itakuwa Mwanza, SGR ndio hiyo kick off tayari, bado Daraja la Busisi (TZS700b),

Usafiri wa maji ujenzi wa meli mpya kubwa kuliko zote za abiria na mizigo kwenye eneo EA great lakes unaendelea..
 
Mwanza kijiografia Mwanza ni mji wa kimkakati, kwenye nchi za eneo la maziwa makuu. Ndio juhudi kubwa za ku link Mwanza zinaendelea, kwa upande wa Anga flights za Rwandair kwenda Uk, kituo baada ya Kigali itakuwa Mwanza, SGR ndio hiyo kick off tayari, bado Daraja la Busisi (TZS700b),

Usafiri wa maji ujenzi wa meli mpya kubwa kuliko zote za abiria na mizigo kwenye eneo EA great lakes unaendelea..
Kila Kanda kuna Jiji la kimkakati ,ni ishu ya wapi kinaanza na wapi kutafuata,hakuna rasilimali za kutosha ku push maeneo yote at par..

Serikali ikimalizana na ukanda huo sgr nk vinahamia Kusini,western na Highlands
 
Mkuu hujasoma list hiyo kwani?? Njombe inaongoza ikifuatiwa na majirani zake wote (kanda ya kusini yote). Yaani mnaonekana mpo local sana dunia imewaacha
Tumebadilika Tulikuwa tunashindia misosi aina moja tuu ila sasa tumebadilika maana tuna kila aina ya misosi ila utamaduni ndio ulikuwa tatizo,mtu asipokula ugali anaona hajala.

Ona hapa 👇

Screenshot_20210912-073417.png
 
Hakuna cha kuifungua, wanalima mahindi ambayo mpaka muibembeleze serikali ije inunue kwa bei inayotaka
Ulichelewa kupata miundombinu ya barabara,mwaka 2015 ndio wamepata lami sasa huoni kwamba lazima uwe vibaya kiasi?

Ila ndani ya miaka 6 toka ufunguke unakimbia mbio za farasi kwenye maendeleo.
 
Nyie endeleeni na kupiga maneno sisi tunaendelea kufungua Mikoa yetu kwa kutandika lami kila sehemu .

Miradi yote hii inaanza mwaka huu 👇

Screenshot_20210911-095319.png


Screenshot_20210911-092145.png


Screenshot_20210910-150454.png


Screenshot_20210910-150532.png


Screenshot_20210910-150412.png


Screenshot_20210910-150259.png


Screenshot_20210910-150143.png


Screenshot_20210910-150212.png


Screenshot_20210910-150040.png


Screenshot_20210910-150110.png
 
Kila Kanda kuna Jiji la kimkakati ,ni ishu ya wapi kinaanza na wapi kutafuata,hakuna rasilimali za kutosha ku push maeneo yote at par..

Serikali ikimalizana na ukanda huo sgr nk vinahamia Kusini,western na Highlands
Tofautisha kanda zetu na Great lakes region Boss 😛😛😛. Mwanza ni center kwa capital city zote za EA. Dodoma, Nairobi, Kampala, Gitega (Burundi), Kigali, Kinshasa na Juba
1631344378666.png
 
Hakuna cha kuifungua, wanalima mahindi ambayo mpaka muibembeleze serikali ije inunue kwa bei inayotaka
Ndio nimekwambia ni kasumba ya miaka mingi ila bei za mahindi zimewafosi kubadili hise angani.

Tunaendelea kufungua Mkoa kwa lami kila sehemu,👇

Screenshot_20210911-095319.png


Screenshot_20210911-092145.png


Screenshot_20210910-150532.png


Screenshot_20210910-150454.png


Screenshot_20210910-150412.png


Screenshot_20210910-150259.png


Screenshot_20210910-150212.png


Screenshot_20210910-150143.png


Screenshot_20210910-150040.png


Screenshot_20210910-150110.png
 
In case you dont know 😀😀😀😀😀
 
Fungua per capita Sasa kagera ya mwisho
Yap ni ya mwisho kwa sababu ya population.
GDP ni ndogo kulinganisha na population


Lakin hayo maGDP na per Capita sio kipimo Cha utajiri wa mkoa husika

Mkoa Rukwa una per Capita kubwa tu lakin umaskini ndo ya kwanza nchini
 
Fungua per capita Sasa kagera ya mwisho
Tazama hapa Rukwa Wana per Capita ya 3000+ but ndo mkoa maskini nchini .

So per Capita inategemea GDP na population ya mkoa husika.



Kagera soon inakatwa na unatengenezwa mkoa wa chato ( biharamulo na ngara) so wanajitahidi kuupunguzia mzigo huu mkoa
Screenshot_20210911-102734.jpg
 
Tazama hapa Rukwa Wana per Capita ya 3000+ but ndo mkoa maskini nchini .

So per Capita inategemea GDP na population ya mkoa husika.



Kagera soon inakatwa na unatengenezwa mkoa wa chato ( biharamulo na ngara) so wanajitahidi kuupunguzia mzigo huu mkoaView attachment 1933151
Nadhani tusubirie takwimu mpya, Mkoa kama wa pwani utakuwa umepanda. Viwanda ni vingi mno.
 
Nadhani tusubirie takwimu mpya, Mkoa kama wa pwani utakuwa umepanda. Viwanda ni vingi mno.
Sure kabisa.ule mkoa serikali imekeza Sana aisee.

But huko mkuranga,rufiji,kisarawe,bagamoyo na chalinze vijijini Kuna umaskini wa kufa mtu pamoja na kuwa karibu na dar.

So mkoa unaonekana una GDP na per Capita kubwa but kwa sababu sio watu wanaomiliki umaskini bado ni mkubwa
 
Tazama hapa Rukwa Wana per Capita ya 3000+ but ndo mkoa maskini nchini .

So per Capita inategemea GDP na population ya mkoa husika.



Kagera soon inakatwa na unatengenezwa mkoa wa chato ( biharamulo na ngara) so wanajitahidi kuupunguzia mzigo huu mkoaView attachment 1933151
Unatakiwa ulinganishe data za 2018 na hizi za sasa ndio utapata majibu sahihi.

Rukwa hakuna Migodi kwamba income disparity iwe kubwa kwa hiyo taarifa za kuongezeka kwa percpita automatically zimepunguza na umaskini maana hizi Takwimu ni za 2020 na kipindi kile ilikuwa 2018 huko.

Technically haiwezekani per Capita iongezeke.afu poverty rates zisalie kule kule.

Hali hiyo inawezekana kutokea huko Kanda ya Ziwa ambako watu wanategemea uwekezaji wa migodi.
 
Unatakiwa ulinganishe data za 2018 na hizi za sasa ndio utapata majibu sahihi.

Rukwa hakuna Migodi kwamba income disparity iwe kubwa kwa hiyo taarifa za kuongezeka kwa percpita automatically zimepunguza na umaskini maana hizi Takwimu ni za 2020 na kipindi kile ilikuwa 2018 huko.

Technically haiwezekani per Capita iongezeke.afu poverty rates zisalie kule kule.

Hali hiyo inawezekana kutokea huko Kanda ya Ziwa ambako watu wanategemea uwekezaji wa migodi.
Kahama migodi ina input ndogo sana. Kahama sio ya migodi tena. Kipindi mgodi umesimamisha uzalishaji iliyumba lakini sio kwa kiasi kikubwa. Main formal employee wa MIGODI Kahama si wakazi hata hiyo mishahara mikubwa wanayolipwa kiasi kidogo kinabaki Kahama.
 
Unatakiwa ulinganishe data za 2018 na hizi za sasa ndio utapata majibu sahihi.

Rukwa hakuna Migodi kwamba income disparity iwe kubwa kwa hiyo taarifa za kuongezeka kwa percpita automatically zimepunguza na umaskini maana hizi Takwimu ni za 2020 na kipindi kile ilikuwa 2018 huko.

Technically haiwezekani per Capita iongezeke.afu poverty rates zisalie kule kule.

Hali hiyo inawezekana kutokea huko Kanda ya Ziwa ambako watu wanategemea uwekezaji wa migodi.
Kijana hizo takwimu zote ni 2018 na ni mwaka mmoja

Kagera Ina per Capita ndogo kwa sababu ya population yake but umaskini ni ya kumi huko.

Rukwa na the like Wana per Capita kubwa kwa sababu ya population kuwa ndogo ndo maana umaskini umetamalaki kweli kweli
images%20(46).jpg
 
Sure kabisa.ule mkoa serikali imekeza Sana aisee.

But huko mkuranga,rufiji,kisarawe,bagamoyo na chalinze vijijini Kuna umaskini wa kufa mtu pamoja na kuwa karibu na dar.

So mkoa unaonekana una GDP na per Capita kubwa but kwa sababu sio watu wanaomiliki umaskini bado ni mkubwa
Tangu lini viwanda na vya wahindi na migodi vikaongeza ustawi wa maisha ya watu? Utakuwa Mkoa mkubwa kwa GDP tuu ila lifewise watu hoi.

Shughuli za kustawisha uchumi wa mtu ni biashara na kilimo,miti na ufugaji ..Ndio maana Highlands inawapiga gap wengi kwenye maisha ya mtu mmja mmja.

Kwa mfano saizi zao la pareto na mpunga vinaingiza pesa nyingi tuu Tzn na linalimwa huku Highlands 👇

Screenshot_20210911-083932.png


Screenshot_20210911-083826.png
 
Tangu lini viwanda na vya wahindi na migodi vikaongeza ustawi wa maisha ya watu? Utakuwa Mkoa mkubwa kwa GDP tuu ila lifewise watu hoi.

Shughuli za kustawisha uchumi wa mtu ni biashara na kilimo,miti na ufugaji ..Ndio maana Highlands inawapiga gap wengi kwenye maisha ya mtu mmja mmja.

Kwa mfano saizi zao la pareto na mpunga vinaingiza pesa nyingi tuu Tzn na linalimwa huku Highlands

View attachment 1933191

View attachment 1933192
Hizo takwimu zako Tazama coffee ( kahawa) ni zao la tatu nchini kuchangia Pato la taifa na zaidi ya 60% linalimwa kagera


Hapo nadhani unaelewa kwa Nini kagera Ina per Capita ndogo kuliko zote but mkoa sio maskini kuliko mikoa yote
JamiiForums-873071590.jpg
images.jpg
 
Back
Top Bottom