Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwa kuongezea umy mwalimu alisema kahama MC wamekusanya 9bilion point 6 fuatilia hotuba yake akiwahutubia wakuu wa mikoa hivyo kwa mapato njombe watasubiri sana kwa kahama nisawa na fisi anaesubiri mkono wa binadamu anapotembea utanyofoka aokote
Sitaki hadithi nataka data official na hizo officials zilizoko kwenye website ya Tamisemi ndio nilikuwekea hapo.

Kama ni taarifa za mdomoni kama za Ummy basi hata Njombe tulipata mapato zaidi kwa sababu malengo tuliyowekewa na Serikalini (2020/2021) yalikuwa ni 6.7bln tukavuka malengo kwa kukusanya asilimia 131% yaani ukifanya hesabu Unapata 8.8 bln..

Kahama malengo yalikuwa 6.88 lakini wamekusanya asilimia 109 % ya malengo ambayo haivuki 7.98 sasa hizo za Ummy zimetoka wapi ikiwa Wizara yake inasema hiki yeye anasema kingine?

Kwa hiyo tutaamini taarifa rasmi za kimaandishi zilizoko kwenye tovuti yao sio maneno matupu..👇

Screenshot_20210912-074321.png


Screenshot_20210912-074122.png
 
Tunawekeza kwenye ICD, EPZ na SEZ sasa hivi, vitu ambavyo hata hamviwazi na hamtegemei kuwa navyo, Wakuu wa mikoa walikuja Kahama kujifunza na wa Njombe alikuja 😛 😛 😛
Sisi Njombe tunawekeza kwenye vitu vyenye kuongeza value ya Mazao ya wakulima na shughuli za misitu ..

Viwanda vya wahindi vimewahi mtoa mwananchi gani?

Soma hiyoo 👇

Screenshot_20210912-081944.png


Screenshot_20210906-193814.png


Screenshot_20210906-193825.png


Screenshot_20210906-193805.png


Screenshot_20210912-083956.png
 
Simu yangu sijaweza kuweka attachment ila naomba ufungue tamisemi utaona sehemu ambayo umy mwalimu anaeleza kwa nini kikao cha wakuu wa mikoa yote nchini kimefanyika kahama hoja mojawapo alisema kahama MC imeongoza katika kukusanya mapato katika manispaa imekusanya billion 9point 6 pia imetenga kituo cha businesses part imekuwa ya mfano tz nzi ma hivyo waje wajifunze kwahio hoja yangu kahama wamekunya billion tisa na million 600 labda mapank anisaidia akiandika OR tamisemi Facebook akatafuta hio taarifa ataipata mie nimesema sijui kuweka attached simu yangu inagoma
Tunaamini taarifa za maandishi sio maneno ya mdomoni ya Waziri..

Ni kiongozi mwehu tuu ndio atalazimisha mazingira ya Kahama yafanyike Tandahimba..

Ndio maana sisi Njombe tunapuuza maagizo ya kijinga,sisi tuna deal na fursa za mazingira yetu.

Kabla ya kujiongelesha anatakiwa kujua kwamba tumetoa mapato kutoka average ya 2bln less than 5 years tuko 7.5bln sasa atatuambia nini ?

Attachment ya Tamisemi iliyo na Takwimu za mapato ni hii hapa 👇
 

Attachments

Tunawekeza kwenye ICD, EPZ na SEZ sasa hivi, vitu ambavyo hata hamviwazi na hamtegemei kuwa navyo, Wakuu wa mikoa walikuja Kahama kujifunza na wa Njombe alikuja 😛 😛 😛
Wa Njombe alikuja kula posho tuu ,sisi tuna mipango yetu kulingana na mazingira yetu hatuna ujinga wa kuiga vitu ambavyo havisadifu mazingira yetu unless uwe kichaa.

Mwaka 2018 mapato yetu yalikuwa around 3bln lakini mwaka 2020 yakafika 5bln na mwaka 2021 yako 7.5 bln ..Next year tunakojolea Kahama 😂😂

Sisi sio wajinga wa kuiga mambo yasiyosaidia watu wetu..Sisi tuko busy na kilimo cha kisasa ,misitu na agroproccesding industry na sio ujinga wa ICD Njombe..
 
Kahama migodi ina input ndogo sana. Kahama sio ya migodi tena. Kipindi mgodi umesimamisha uzalishaji iliyumba lakini sio kwa kiasi kikubwa. Main formal employee wa MIGODI Kahama si wakazi hata hiyo mishahara mikubwa wanayolipwa kiasi kidogo kinabaki Kahama.

Kwa kuongezea umy mwalimu alisema kahama MC wamekusanya 9bilion point 6 fuatilia hotuba yake akiwahutubia wakuu wa mikoa hivyo kwa mapato njombe watasubiri sana kwa kahama nisawa na fisi anaesubiri mkono wa binadamu anapotembea utanyofoka aokote
Meanwhile Wakazi wa Kahama yenye mapato wanasema hivi 😝😝😀😀👇

Screenshot_20210912-081357.png


Screenshot_20210912-074536.png


Screenshot_20210912-074512.png


Screenshot_20210912-074448.png


Screenshot_20210912-074408.png


Screenshot_20210912-074428.png
 
Mimi navyojua mwanza sio jiji uchwara hata kidogo.


Nyuma ya Dar hakuna jiji lililoendelea bongo hii zaidi ya mwanza
Hilo ni Jiji uchwara na la kipuuzi kuna maendeleo gani hasa kushinda Arusha na Dom kwa mfano..

Kimji kimejaa slums na hakuna barabara ndio kuna maendeleo hapo? Hivi mtu anaweza toka mkoa mwingine kuja Mwanza kuangalia nini hasa?.

Hilo Jiji lenu uchwara nilishalidharau Sana,jengeni barabara zinazoendana na Jiji kama dual carriage na jengeni majengo marefu ku justify status ya Jiji la pili na mkome kunya ziwani,kujenga tembe milimani na muache ushamba.

Hivi unajua kwamba Mbeya tukishajenga Tanzam kuwa dual carriage ya 4 lanes na kujenga Uyole na Iwambi bypass tutawapiga mbali sana.

Kwani kuna kitu gani cha maana Mwanza inazidi Mbeya kwa mfano?

Nje ya Dar ,Jiji pekee la kuogopwa ni Dodoma tuu hakuna kwingine.
 
Hilo ni Jiji uchwara na la kipuuzi kuna maendeleo gani hasa kushinda Arusha na Dom kwa mfano..

Kimji kimejaa slums na hakuna barabara ndio kuna maendeleo hapo? Hivi mtu anaweza toka mkoa mwingine kuja Mwanza kuangalia nini hasa?.

Hilo Jiji lenu uchwara nilishalidharau Sana,jengeni barabara zinazoendana na Jiji kama dual carriage na jengeni majengo marefu ku justify status ya Jiji la pili na mkome kunya ziwani,kujenga tembe milimani na muache ushamba.

Hivi unajua kwamba Mbeya tukishajenga Tanzam kuwa dual carriage ya 4 lanes na kujenga Uyole na Iwambi bypass tutawapiga mbali sana.

Kwani kuna kitu gani cha maana Mwanza inazidi Mbeya kwa mfano?

Nje ya Dar ,Jiji pekee la kuogopwa ni Dodoma tuu hakuna kwingine.
Kweli we mtu ya njombe una udumavu wa akili.

Na Wala hujawahi fika mwanza
 
Kweli we mtu ya njombe una udumavu wa akili.

Na Wala hujawahi fika mwanza
Wewe ni kenge ,Tzn naifahamu olmost yote..Mwanza sisimuliwi nimeishi miaka 3 hapo last time nilitoka huko 2016 na kuna ndugu zangu kibao..

Mwanza yote na Wilaya ya Misungwi yote naijua,I used to a totor wa Civil Engineering hapo Misungwi CDTTI kwa hiyo huna cha kunisimulia Kuhusu Mwanza.
 
Wewe ni kenge ,Tzn namfahamu olmost yote..Mwanza sisimuliwi nimeishi miaka 3 hapo last time nilitoka huko 2016 na kuna ndugu zangu kibao..

Mwanza yote na Wilaya ya Misungwi yote naijua,I used to a totor wa Civil Engineering hapo Misungwi CDTTI kwa hiyo huna cha kunisimulia Kuhusu Mwanza.
Duuuuhhhhhhhh! Kumbe Misungwi, basi sawa 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛
 
Huu ndo ukweli.

Geita imeunganishwa na mwanza hapoView attachment 1934573
Kwa nini unapenda taarifa uchwara wewe? NBS wametenganisha taarifa za kila mkoa wewe unakomaa na sources uchwara Ili Kagera iwemo but official statistics huo mkoa Maskini haupo.

Ukija kwenye official data Kagera haipo hata top ten na Shinyanga sio ya 3,look here 👇

Screenshot_20210912-124500.png
 
Kwa nini unapenda taarifa uchwara wewe? NBS wametenganisha taarifa za kila mkoa wewe unakomaa na sources uchwara Ili Kagera iwemo but official statistics huo mkoa Maskini haupo.

Ukija kwenye official data Kagera haipo hata top ten na Shinyanga sio ya 3,look here

View attachment 1934597
Nabishana na popoma mwenye udumavu wa akili .hebu Soma taarifa yako vzr.

Hiyo ndo GDP ya mkoa?!!!

Eti civil engineer


Una matatizo makubwa sana
 
Back
Top Bottom