instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
Bukoba mjini.Anakuja mpumbavu mmoja anafananisha na sehemu fukara kama shinyanga.
Mind you miaka 10 ijayo mikoa ya nyanda za juu kusini itakuwa mbali sana sababu ya mapinduzi makubwa yanayofanyika kwenye kilimo
Hii ndo kagera
Foleni za magari wakirudi vijijini kwao .
Bukoba mjini asubuhi watu huingia mjini na jioni watu hutoka mjini na kurudi vijijiniView attachment 1930719


