Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Hakuna Mji hapo,hapa tunaonyesha fahari ya Miji yetu yote ya Kusini,Baada ya Kahama kukosa cha kuishinda Njombe ndio mkaja na fishing village ya Bukoba sasa ikabidi tuwaoneshe kwamba tuna miji zaidi na Sumbawanga tuu imewatosha ..
Kama Mbeya City ilichakaza Mwanza kwa Vyuo vikuu mpaka hapo unaweza ona huko poverty zone ni hopeless kabisa.
Nyinyi mliweka vyuo vya mkoa mzima wa mbeya lakini yule baharia alitupia vyuo vya wilaya moja tu ya Nyamagana acheni uzwazwa mnaitaji safari ndefu sana kufika mahali kanda ya ziwa walipofikia japokuwa kuna hawamu ya kishenzi ile hawamu ya nne ya yule mkwere ilitaka kutusahau lakini juhudi na maarifa na uchapakazi na kuchapa sehemu za uzazi ndizo zilituletea maendeleo.Hakuna Mji hapo,hapa tunaonyesha fahari ya Miji yetu yote ya Kusini,Baada ya Kahama kukosa cha kuishinda Njombe ndio mkaja na fishing village ya Bukoba sasa ikabidi tuwaoneshe kwamba tuna miji zaidi na Sumbawanga tuu imewatosha ..
Kama Mbeya City ilichakaza Mwanza kwa Vyuo vikuu mpaka hapo unaweza ona huko poverty zone ni hopeless kabisa.


