Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Huko mnakocheza ngoma na kuongoza kwa umaskini ndio zone zenye uchumi 🤭🤭😂😂..Kabisa anatembelea zone ambazo ziko kwenye target ya uchumi tz wa njombe wakulika waendelee kutuzalishia vyakula tu huko mashambani
Imagine Jiji la Mwanza lenye Manispaa with population ya around 1,000,000 you just collect a tatal of 20b kama mapato ya ndani VS Mbeya City with around population ya 600,000 we collect 15 b kama mapato ya ndani.
Hamuoni mnavyotia aibu kwa umaskini?

