Eti na Kabukoba Village town nako kanajiita Manispaa


yaani ni aibu hakana street lights,hakuna duala carriage roads,hakana service roads,hakuna stands na mbaya zaidi ni kamanispaa maskini hakuna income generating activities.
Hako kamji kamebakia kutegemea fadhila za serikali Kuu na remittances za wakazi wake walioko nje ya mkoa huo.
Hata airport wanayolingia ni matokeo ya kukosekana kwa barabara za maana kwa miaka mingi kuunganisha na sehemu zingine za nchi ,ikabidi airport iwe suluhisho la fasta kama ilivyo Kigoma.
Kuishi kimji kama Bukoba ni kutaka kufa ukiwa maskini.Nje ya Mwanza na Kahama hakuna kitu Kanda ya Ziwa kulinganisha na Kusini tuna miji mikubwa mingi Sana na inakua na ina mzunguko Mkubwa wa pesa.