Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Tuna Miji mizuri, ya kisasa na iliyojengeka vema. Kama vile Iringa, Mafinga, Songea, Mbeya, Sumbawanga,
Huko kanda ya ziwa ni mwanza pekee,
Bukoba hamna tofauti na halmashauri ya mji wa Kyela.
Miji ilivyojengeka indeed


Mwenzenu kapost njombe halisi
JamiiForums-269141321.jpg
JamiiForums-1195505781.jpg
 
Tuna Miji mizuri, ya kisasa na iliyojengeka vema. Kama vile Iringa, Mafinga, Songea, Mbeya, Sumbawanga,
Huko kanda ya ziwa ni mwanza pekee,
Bukoba hamna tofauti na halmashauri ya mji wa Kyela.
Miji uliyotaja hapo sio mbeya,iringa sijui Nini

Slums tupo.



Vijijini Sasa Kuna wachawi watupu
 
Yaani kuleta vimiji kama bukoba ni kidhalilisha hadhi ya manispaa. Imagine Iringa iwe manispaa halafu na vijiji kama Bukoba navyo viwe manispaa.
Iringa hii ya ipogoro,Samora,sijui mkwawa

Hiv unaonaga tofauti ya manzese na iringa

Kimji kidogo halafu baridi Sasa. Shukuru kidogo mna tugorofa na vyuo but mji ule ni laan tupu

Ndo maana ATCL hawaendi huko Tena
 
Eti na Kabukoba Village town nako kanajiita Manispaa yaani ni aibu hakana street lights,hakuna duala carriage roads,hakana service roads,hakuna stands na mbaya zaidi ni kamanispaa maskini hakuna income generating activities.

Hako kamji kamebakia kutegemea fadhila za serikali Kuu na remittances za wakazi wake walioko nje ya mkoa huo.

Hata airport wanayolingia ni matokeo ya kukosekana kwa barabara za maana kwa miaka mingi kuunganisha na sehemu zingine za nchi ,ikabidi airport iwe suluhisho la fasta kama ilivyo Kigoma.

Kuishi kimji kama Bukoba ni kutaka kufa ukiwa maskini.Nje ya Mwanza na Kahama hakuna kitu Kanda ya Ziwa kulinganisha na Kusini tuna miji mikubwa mingi Sana na inakua na ina mzunguko Mkubwa wa pesa.
Eh eh hiv Kati ya njombe , sumbawanga na mbeya na bukoba ni wap lami iliwahi kujengwa

Nyie Hadi leo mnaangaika na barabara za wilaya 2021?



Halafu mtakuwa watu wafupi maneno mengi but nothing nothing
 
Mh. Rais anakuja tena kwa mara nyingine kanda kuu kanda ya ziwa, Ni mara ya tatu Sasa ndani ya miezi mitano toka awe Rais, kusini kumesahaulika mno hadi rais mwenyewe anapasahau
 
Mh. Rais anakuja tena kwa mara nyingine kanda kuu kanda ya ziwa, Ni mara ya tatu Sasa ndani ya miezi mitano toka awe Rais, kusini kumesahaulika mno hadi rais mwenyewe anapasahau
Aende kufanya Nini huko kusini.
 
Eh eh hiv Kati ya njombe , sumbawanga na mbeya na bukoba ni wap lami iliwahi kujengwa
emoji23.png


Nyie Hadi leo mnaangaika na barabara za wilaya 2021?



Halafu mtakuwa watu wafupi maneno mengi but nothing nothing
Lami gani mliyokuwa nayo
Eh eh hiv Kati ya njombe , sumbawanga na mbeya na bukoba ni wap lami iliwahi kujengwa

Nyie Hadi leo mnaangaika na barabara za wilaya 2021?



Halafu mtakuwa watu wafupi maneno mengi but nothing nothing
Unaongea ujinga mwingi Sana dingi , hadi 2000 kulikuwa hakuna barabarani ya kutoka Mwanza hadi Dar achilia mbali huko kijijini kwenu Bukoba mlikuwa mnalazimika kuzunguka Uganda.

Wakati hayo yakiendelea Kusini kulikuwa na barabarani kitambo kabisa kwa mfano toka miaka ya 1980 barabarani ya Makambako Songea ipo hapo sijagusia highway ya Tanzam.

Nyie ni limbukeni tuu.Kuhusu barabara za wailaya ndio kwaanza Tarura haina hata miaka 5 sijui unaongea nani.
 
Lami gani mliyokuwa nayo

Unaongea ujinga mwingi Sana dingi , hadi 2000 kulikuwa hakuna barabarani ya kutoka Mwanza hadi Dar achilia mbali huko kijijini kwenu Bukoba mlikuwa mnalazimika kuzunguka Uganda.

Wakati hayo yakiendelea Kusini kulikuwa na barabarani kitambo kabisa kwa mfano toka miaka ya 1980 barabarani ya Makambako Songea ipo hapo sijagusia highway ya Tanzam.

Nyie ni limbukeni tuu.Kuhusu barabara za wailaya ndio kwaanza Tarura haina hata miaka 5 sijui unaongea nani.
Bukoba mwaka 1972


Lami bukoba ilikuwepo kitambo na kwenda mwanza kulikuwepo meli kibao Kama mv bukoba, Victoria,kishimba, Serengeti nk nk
images%20(83).jpg
images%20(84).jpg
 
Eti na Kabukoba Village town nako kanajiita Manispaa yaani ni aibu hakana street lights,hakuna duala carriage roads,hakana service roads,hakuna stands na mbaya zaidi ni kamanispaa maskini hakuna income generating activities.

Hako kamji kamebakia kutegemea fadhila za serikali Kuu na remittances za wakazi wake walioko nje ya mkoa huo.

Hata airport wanayolingia ni matokeo ya kukosekana kwa barabara za maana kwa miaka mingi kuunganisha na sehemu zingine za nchi ,ikabidi airport iwe suluhisho la fasta kama ilivyo Kigoma.

Kuishi kimji kama Bukoba ni kutaka kufa ukiwa maskini.Nje ya Mwanza na Kahama hakuna kitu Kanda ya Ziwa kulinganisha na Kusini tuna miji mikubwa mingi Sana na inakua na ina mzunguko Mkubwa wa pesa.
Hivi ukiacha jiji uchwara la Mbeya kuna nini huko kusini labda baridi
 
Vipi Kuhusu ile village town ya Bukoba inayoitwa Manispaa kwa nini haina mapato? 😁😁😝😝 Unatapatapa.

Simple answer ni your village town has got no resources generate income.
Angalia kilometa za mraba za manispaa ya bukokoba tayari eneo lilishajaa the same at moshi and kigoma ujiji maeneo hayo ni madogo kwa mipaka yake hivyo huwezi kuanzisha mradi kwa sababu viwanja vilishajaa leo hii ukitaka hekari 100 uanzishe kiwanda bukoba manispaa huwezi kupata hivyo hawana vyanzo vipya vya mapato tatizo ni ufinyu wa eneo mfano kahama manispaa wanamaeneo makubwa ndio maana viwanda vingi vidogo vikubwa na vya kati vinajengwa hapo najuzi umy mwalimu kafanya kikao cha wakuu wa mikoa waganga wakuu na maafisa lishe nchi nzima wakiwemo na wa njombe ili kujifunza jinsi ya kutumia mapato ya ndani kuanzisha miradi ya maendeleo kahama manispaa imekusanya mapato ya ndani shilingi bilion 9 point 6 imekuwa manispaa ya mfano leo hii wanaweka lami km 5 kwa pesa ya ndani wanabomoa majengo ya mahakama na kujenga gorofa kwa mapato ya ndani halmashauri zingine ikiwemo njombe hazifanyi hivyo wanapeleka matumboni mwao tu
 
Tuna Miji mizuri, ya kisasa na iliyojengeka vema. Kama vile Iringa, Mafinga, Songea, Mbeya, Sumbawanga,
Huko kanda ya ziwa ni mwanza pekee,
Bukoba hamna tofauti na halmashauri ya mji wa Kyela.
Ukiondoa mbeya jiji na iringa manispaa hio miji mingine imedumaa washukuru vilami vya bank ya dunia ndio kidogo vimewachangamsha
 
Mfano ukiondoa hio misaada ya bank ya dunia kuweka lami sumbawanga na songea hivi hio miji ingekuwaje maana hata uwezo wa mapato ya ndani wa kujiendesha kwa mapato ya ndani kwa asilimia 70 hawana haya njombe na wao wameomba kuwa manispaa hawajui kama kuna kigezo asilimia 30 ya wakazi wasijishugulishe na mapato yakilimo sasa napata ukakasi kama kipengele hiki njombe watachomoa na hayo maparachichi yao na mbao si nikilimo hicho
 
Back
Top Bottom