Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Eh eh hiv Kati ya njombe , sumbawanga na mbeya na bukoba ni wap lami iliwahi kujengwa

Nyie Hadi leo mnaangaika na barabara za wilaya 2021?



Halafu mtakuwa watu wafupi maneno mengi but nothing nothing
Wewe ndio utwambie ni kukumbushe kuwa barabara ya Dar-Njombe-Songea ni kongwe sana
 
Hiv ukikanyaga hii vumbi unaoga Mara ngap vile
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
View attachment 1928224View attachment 1928225
Mara mia , nyingine hii hapa 👇
Angalia kilometa za mraba za manispaa ya bukokoba tayari eneo lilishajaa the same at moshi and kigoma ujiji maeneo hayo ni madogo kwa mipaka yake hivyo huwezi kuanzisha mradi kwa sababu viwanja vilishajaa leo hii ukitaka hekari 100 uanzishe kiwanda bukoba manispaa huwezi kupata hivyo hawana vyanzo vipya vya mapato tatizo ni ufinyu wa eneo mfano kahama manispaa wanamaeneo makubwa ndio maana viwanda vingi vidogo vikubwa na vya kati vinajengwa hapo najuzi umy mwalimu kafanya kikao cha wakuu wa mikoa waganga wakuu na maafisa lishe nchi nzima wakiwemo na wa njombe ili kujifunza jinsi ya kutumia mapato ya ndani kuanzisha miradi ya maendeleo kahama manispaa imekusanya mapato ya ndani shilingi bilion 9 point 6 imekuwa manispaa ya mfano leo hii wanaweka lami km 5 kwa pesa ya ndani wanabomoa majengo ya mahakama na kujenga gorofa kwa mapato ya ndani halmashauri zingine ikiwemo njombe hazifanyi hivyo wanapeleka matumboni mwao tu
Hii nchi kubwa hivi afu unasema imejaa? Kuchukua adjucent areas kutoka Halmashauri zingine kuna shida gani?

Kwa hizo excuses mtaishia kuwa hovyo hivyo hivyo.Mwanza imechukua Kisesa kutoka Magu na kuifanya sehemu ya Jiji na kuwa Manispaa kabisaa.

Sasa biashara zitakua vipi kwa mtindo huo?
 
Subiri nitafute picha za kahama huko kusini hakuna mji wa kuusogelea
😀😀😀😀😀 Wenzako walitafuta hizo picha toka nimeanzisha Uzi hawajawahi Zions zaidi ya machimbo na vigest houses kadhaa.

Ni hivi huko hakuna kitu
 
Na miji ya kusini yote imetandikwa vibaya mno na mji mmoja tu wa bukoba.
😀😀😀😀 Unachekesha mwenzio kaaga eti anaenda kutafuta picha za Kahama baada ya kuishiwa za Bukoba 😝😝.

Sijamaliza naendelea kuwachapa na Sumbawanga town.Ukipata stand na mitaa kama hii huko Bukoba village town nitag 👇👇

Screenshot_20210907-124944.png


Screenshot_20210907-124955.png


Screenshot_20210907-125012.png


Screenshot_20210907-125001.png


Screenshot_20210907-124932.png


Screenshot_20210907-124420.png


Screenshot_20210906-200304.png


Screenshot_20210906-200149.png
 
Kwa kweli hakuna cha kumpeleka zaidi ya kula vumbi tu.
Tatizo umechelewa Sana kuja kusaidia ndugu zako tunavyowapa kichapo kwa miji ya Kusini.

Kama kawaida yenu mnakuja na mdomo na maneno mengi bila picha za kuonyesha.

Any way you have nothing to show, Poverty zone yote ukipata pics kama hizi nitag.Mafinga town 👇

Screenshot_20210908-080814.png


Screenshot_20210908-080821.png


Screenshot_20210908-080756.png


Screenshot_20210908-080801.png


Screenshot_20210908-080656.png


Screenshot_20210908-080721.png


Screenshot_20210908-080450.png


Screenshot_20210908-080510.png


Screenshot_20210908-080423.png


Screenshot_20210908-080441.png


Screenshot_20210908-080343.png


Screenshot_20210908-080358.png


Screenshot_20210908-080330.png


Screenshot_20210908-080337.png


Screenshot_20210908-080317.png


Screenshot_20210908-080305.png


Screenshot_20210908-080226.png


Screenshot_20210908-080310.png
 
1631088390026.png

Tusiulizane tena kwa nini SGR inapelekwa Mwanza badala ya Kigoma. Hii ni agenda ya kitaifa. Ilihasisiwa na Benjamini William Mkapa, wacheni kumsingizia mwendazake kuwa anaipendelea Kanda ya ziwa.

Hata kama ikienda Kigoma, bado Kigoma ni Lake zone, ndio mjue potential ilyopo huku lake zone
1631088777170.png
 
Unachekesha mwenzio kaaga eti anaenda kutafuta picha za Kahama baada ya kuishiwa za Bukoba .

Sijamaliza naendelea kuwachapa na Sumbawanga town.Ukipata stand na mitaa kama hii huko Bukoba village town nitag

View attachment 1928833

View attachment 1928834

View attachment 1928835

View attachment 1928836

View attachment 1928837

View attachment 1928838

View attachment 1928839

View attachment 1928840
Unapost Vituo vya mafuta na makanisa
Rais wa nchi yuko kanda ya ziwa saizi, hii ni mara ya tatu ndani ya miezi mitano, kumbuka huyu Rais hapendi kabisa vumbi kwa hiyo nyie wa huko mavumbini subirini kwanza.
 
Ila bado hamuwezi kufikia Bukoba na wala sio leo.
Hivi ukizungumzia mzunguko wa fedha wa kahama na njombe unalingana ?kahama imepewa hadhi ya mkoa TRA kahama ni mkoa wa madini kuna soko kubwa la madini kahama wanaingiza bilion 3 ushuru zao la mpunga kutoka mashine za malunga na kagongwa kahama wana NMB business bank tofauti na ile ya watumishi wanayochukulia mishahara na bank kama hii huko kwenu utaikuta mbeya tu na kanda ya ziwa iko mwanza na kahama tu kuhusu mzunguko wa fedha kanda ya ziwa hamjaweza kuizidi na haitatokea pia kahama peke yake ina matawi 14 ya bank inashindana na jiji la mbeya ukisema sababu ya madini kwani geita hayapo mbona bank hizo hazipo mbona mererani na tarime hazipo
Njombe inakusanya na watu pia wanaendelea.Hiyo ndio tofauti,kinachoitofautisha Njombe na mikoa ya Kanda ya Ziwa ni divesity ya njia za uchumi,Njombe Kuna vitu vingi vya kiuchumi vinavyomnufaisha mtu binafsi moja kwa moja wakati mikoa mingine inategemea wawekezaji wakubwa kukusanya mapato ya serikali tu.Kodi ya wawekezaji inaenda haxina hivyo watu wanasubiri huruma ya serikali kuiridisha kidogo ndio maana mzunguko wa fedha unakua kidogo tofauti na Njombe,sababu nyingine ni Biashara za kati kua nyingi kwa watu wanjombe,unakuta karibu asilimia 30 ya kaya zina mtu anapiga Biashara hivyo inakua Kama Diaspora anayerudisha mzukunguko wa fedha.Ndio maana mikoa ya Nyanda za Juu haitegemei mhindi kuleta biadhaa muhimu au watu wa mbali ni sisi kwa sisi.
 
Rais anarudiarudia kwenda sehemu mbili tu, pwani na lake zone, hapendi vijijini na mavumbini
 
Unapost Vituo vya mafuta na makanisa
Rais wa nchi yuko kanda ya ziwa saizi, hii ni mara ya tatu ndani ya miezi mitano, kumbuka huyu Rais hapendi kabisa vumbi kwa hiyo nyie wa huko mavumbini subirini kwanza.
Aahahaaaa, hivi tokea awe Raisi aliisha kanyaga Southern highland kweli????
 
1631090358062.png


Matajiri wa Southern Highland, huu ubunifu sio wa nchi hii
 
Rais anarudiarudia kwenda sehemu mbili tu, pwani na lake zone, hapendi vijijini na mavumbini
Huko kuna manyumbu wazuri wakati wa kupiga kura 🤭🤭🏃🏃 😆😂 Hata nikiwa mimi narudia hivyo hivyo.

Kwenye elite class huwezi mkuta kwa sababu hatuna ujinga sisi.
 
Huko kuna manyumbu wazuri wakati wa kupiga kura Hata nikiwa mimi narudia hivyo hivyo.

Kwenye elite class huwezi mkuta kwa sababu hatuna ujinga sisi.
Mavumbini kusini kumetengwa, miradi mikubwa kanda ya ziwa na pwani, mkuu wa nchi anarudiarudia kanda ya ziwa na pwani, mavumbini kusini kwake mwiko
 
Back
Top Bottom